Tetesi: Mbowe Hotels na Tanzania Daima kupunguza wafanyakazi na mishahara kushushwa

Tetesi: Mbowe Hotels na Tanzania Daima kupunguza wafanyakazi na mishahara kushushwa

Tangu JPM awatoe nishai akina mayalla magazeti hayanunuliki, watu wanasoma JF basi.
 
Hata kauli za Mbowe zinaonesha ana Msongo sana wa Mawzo:

Serikali imefilisika haina fedha - KUB MBOWE.


Serikali imehonga wabunge wa CCM milioni 10ili wapitishe Muswada wa habari - Asubuhi ( KUB MBOWE )

Wenye akili tunajiuliza huyu Mbowe vipi kama serikali imefilisika hele za kuhonga wametoa wapi ?
 
Hata kauli za Mbowe zinaonesha ana Msongo sana wa Mawzo:

Serikali imefilisika haina fedha - KUB MBOWE.


Serikali imehonga wabunge wa CCM milioni 10ili wapitishe Muswada wa habari - Asubuhi ( KUB MBOWE )

Wenye akili tunajiuliza huyu Mbowe vipi kama serikali imefilisika hele za kuhonga wametoa wapi ?
Sasa serikali iliyofilisika itakuwa na uwezo wa kuhonga? Mbowe bana! Anajichanganya na anawachanganya na wenzake
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Taarifa nilizopata hivi punde ni kwamba, Mmiliki wa Mbowe Hotels na gazeti la Tanzania Daima, Freeman Mbowe anaisoma Namba. Kwamba, hali ya kifedha ya Mbowe kwa sasa ni dhoofu kutokana na sababu mbalimbali.

Mosi, biashara zake nyingi alikuwa anafanya kijanja ujanja. Alikuwa halipi kodi wala pango ya majengo. Kwa sasa anajiona yupo kwenye wakati mgumu hasa kipindi hiki ambacho Rais Magufuli anaweka msisitizo wa kufuata taratibu katika kufanya biashara na kulipa kodi. Inadaiwa kuwq Mbowe anadaiwq mabilioni ya kodi na TRA na mamlaka nyingine hali inayomuweka kwenye hatari ya kufilisiwa.

Pili, madeni kwenye taasisi za fedha. Taarifa zilizopo ni kwamba, Mbowe ni mmoja wa wanasiasa waliotajwq na Rais Magufuli kukopa kiasi kikubwa cha fedha kwenye mabenki na mashirika ya kijamii kama NSSF. Kwamba, Mbowe anadaiwa mabilioni kwenye benki za CRDB, Twiga Bancorp a TIB. Aidha, Mbowe pia anadaiwa kiasi kikubwa cha fedha NSSF na PSPF.

Tatu, kushindwa kwa kesi dhidi ya NHC. Ni ukweli usiopingika kuwa kushindwa kwa kesi hiyo kumemuongezea ugumu wa kufanya Biashara Freeman Mbowe hasa kutokana na kutakiwa kulipa fidia ya gharama za kuendesha kesi hiyo.

kutokana na hali hiyo taarifa zilizopo ni kwamba Mbowe anapanga kupunguza wafanyakazi kwenye makampuni yake yote. Pia taarifa zilizopo ni kwamba mishahara ya watumishi watakaobaki itapunguzwa ili kupunguza gharama za uendeshaji. Hata hivyo, inaelezwa kuwa hatua hizo ni za dharura

Hatari tupu.
Mwambie mgombea urais,kada wa ccm Membe arudishe kwanza usd20m alizokwapua, ndiyo ulete mipasho ya taarabu humu
 
Lizaboni ngoja huu uzi niuhifadhi maana wewe NI KIONA MBALI mambo mengi unayo predict huwa yanatokea!
 
Nchi imefilisika, viwanda vya bia na soda vinapunguza wafanya kazi, wewe umemuona mbowe tu? Acheni unafiki kwenye ukweli
 
Tanzania Daima habari wanatayarisha kwa kuegemea paja,ndio mwandishi aandike,fenicha zote zipo kwa dalali

Mkuu mim nilishaawahi kumuonya br wangu mbowe,TANZANIA DAIMA ,KUWA CONNECTED NA CDM , kwa hiyo Cdm ikipanda ,chati kwa kuikosoa serikali kwa hoja zenye mashiko nalo linapanda , kipindi cha kikwete 2010-2014., gezeti lilifanya vizuri sana ,kwa udhaifu wa kikweta, na liliaminika kwa sasa hasa baada ya kumleta lowasa haliaminiki ,na kamwe halitakaa liandike ubaya wowote wa cdm , kimsingi hili gazeti lilipswa kujiendeshe kwa uhuru ,bila kumpendelea ,mmiliki wa Cdm ,na lingefankiwa sana ,hata kama brand ya cdm inashuka gezeti linakuwa kwenye hali yake ya kawaida
 
Hata kauli za Mbowe zinaonesha ana Msongo sana wa Mawzo:

Serikali imefilisika haina fedha - KUB MBOWE.


Serikali imehonga wabunge wa CCM milioni 10ili wapitishe Muswada wa habari - Asubuhi ( KUB MBOWE )

Wenye akili tunajiuliza huyu Mbowe vipi kama serikali imefilisika hele za kuhonga wametoa wapi ?

Mweli kwa wale watu wa pychology wakimuona mbowe utaona kabisa amepanic vya kutosha ,na anahasira sana na serikali ya jpm
 
Kila mtu, taasisi au Serikali ina njia zake za kubana matumizi kwa mfano kupunguza watumishi, kusitisha ajira na kuondoa safari na posho kwa watumishi.
 
Umemuona mbowe tu,hizo hotel zinazogeuzwa kuwa hostel ni za mbowe?maisha yamekuwa magumu sababu ni mbowe?pesa haionekani mtaani sababu ni mbowe?wanafunzi wananyimwa Mikopo sababu ni mbowe? Wabunge wa CCM wanagawana mil10 sababu ni mbowe? Watumishi hawana nyongeza ya mshahara sababu ni mbowe? Mambo binafsi ya mbowe yamekuwa ndio agenda yenu,wenzako wamepewa mil10 we buku7 inahangaika kuchafua mwenzio.hali ngumu kwa Kila mtanzania hata ww mtoa thread Hali Mbaya ndio maana inahangaika buku7.unakuwa kama umekunywa maji ya co___m iliyotumika*#£;:'*℅[emoji769][emoji768][emoji767]$¥€=¶×π¢
 
wakati mwingine UJINGA ni kipaji cha mtu binafsi.
 
Hali ya uchumi sasa kwa uchumi ni mbaya,sio Mbowe tu atakae fanya hayo hata tigo wameshachkua hatua kama hizo ...mwenye akili ndogo atasema kama mleta mada anavyoaamin
 
Back
Top Bottom