Tetesi: Mbowe Hotels na Tanzania Daima kupunguza wafanyakazi na mishahara kushushwa

Tetesi: Mbowe Hotels na Tanzania Daima kupunguza wafanyakazi na mishahara kushushwa

Tunamsubiri kijiweni tunywe nae kahawa na kashata na sigara tumgongee. Mzimu wa Dr. Slaa unamuandama sasa bado na ile gari ya KUB anyang'anywe.
 
  • Thanks
Reactions: jmi
Tangu lini kukopa hela imekuwa dhambi. Dhambi ni pale unaposhindwa kulipa. Serikali ndiyo imeshindwa kulipa madeni yake mpaka hela imepotea kwenye mzunguko.
 
Mtu moja hawezi kufilisi mabenki na mifuko ya.jamii. wataje wengine.
 
Afirisiwe tu ...Tz siyo shamba la bibi
 
...Tatu, kushindwa kwa kesi dhidi ya NHC. Ni ukweli usiopingika kuwa kushindwa kwa kesi hiyo kumemuongezea ugumu wa kufanya Biashara Freeman Mbowe...
Nadhani pia kumemuongezea msongo wa mawazo na kuchanganyikiwa. Ndio maana juzi alikurupuka Bungeni na kusema anao ushahidi wa wabunge wa CCM kuchukua mlungula, lakini anapotakiwa kutoa ushahidi anaanza kuleta tantarira kibao.
 
Ukifika songea ukaona pale Lizaboni palivyo na kupima unayoaandika kila siku basi hakuna kushangaa maana una akisi lizaboni ilivyo hoi na akili hoi ya kujadili watu
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Taarifa nilizopata hivi punde ni kwamba, Mmiliki wa Mbowe Hotels na gazeti la Tanzania Daima, Freeman Mbowe anaisoma Namba. Kwamba, hali ya kifedha ya Mbowe kwa sasa ni dhoofu kutokana na sababu mbalimbali.

Mosi, biashara zake nyingi alikuwa anafanya kijanja ujanja. Alikuwa halipi kodi wala pango ya majengo. Kwa sasa anajiona yupo kwenye wakati mgumu hasa kipindi hiki ambacho Rais Magufuli anaweka msisitizo wa kufuata taratibu katika kufanya biashara na kulipa kodi. Inadaiwa kuwq Mbowe anadaiwq mabilioni ya kodi na TRA na mamlaka nyingine hali inayomuweka kwenye hatari ya kufilisiwa.

Pili, madeni kwenye taasisi za fedha. Taarifa zilizopo ni kwamba, Mbowe ni mmoja wa wanasiasa waliotajwq na Rais Magufuli kukopa kiasi kikubwa cha fedha kwenye mabenki na mashirika ya kijamii kama NSSF. Kwamba, Mbowe anadaiwa mabilioni kwenye benki za CRDB, Twiga Bancorp a TIB. Aidha, Mbowe pia anadaiwa kiasi kikubwa cha fedha NSSF na PSPF.

Tatu, kushindwa kwa kesi dhidi ya NHC. Ni ukweli usiopingika kuwa kushindwa kwa kesi hiyo kumemuongezea ugumu wa kufanya Biashara Freeman Mbowe hasa kutokana na kutakiwa kulipa fidia ya gharama za kuendesha kesi hiyo.

kutokana na hali hiyo taarifa zilizopo ni kwamba Mbowe anapanga kupunguza wafanyakazi kwenye makampuni yake yote. Pia taarifa zilizopo ni kwamba mishahara ya watumishi watakaobaki itapunguzwa ili kupunguza gharama za uendeshaji. Hata hivyo, inaelezwa kuwa hatua hizo ni za dharura

Hatari tupu.
Ndugu yangu utaishia kutapika humu ukisubiri uBWABWA na Fulana wenzio yao yanakwenda!
 
Mbowe kafanyabiashara mda mrefu bila kulipa kodi zama hizi siyo za utani lazima atakaa tu.
 
Lizaboni acha unafiki.Wakopaji ni wengi kwa hilo umemuona Mbowe tu.Nakushangaa una njaa na unahangaika na maisha ya mwenzio.Aibu yako.
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Taarifa nilizopata hivi punde ni kwamba, Mmiliki wa Mbowe Hotels na gazeti la Tanzania Daima, Freeman Mbowe anaisoma Namba. Kwamba, hali ya kifedha ya Mbowe kwa sasa ni dhoofu kutokana na sababu mbalimbali.

Mosi, biashara zake nyingi alikuwa anafanya kijanja ujanja. Alikuwa halipi kodi wala pango ya majengo. Kwa sasa anajiona yupo kwenye wakati mgumu hasa kipindi hiki ambacho Rais Magufuli anaweka msisitizo wa kufuata taratibu katika kufanya biashara na kulipa kodi. Inadaiwa kuwq Mbowe anadaiwq mabilioni ya kodi na TRA na mamlaka nyingine hali inayomuweka kwenye hatari ya kufilisiwa.

Pili, madeni kwenye taasisi za fedha. Taarifa zilizopo ni kwamba, Mbowe ni mmoja wa wanasiasa waliotajwq na Rais Magufuli kukopa kiasi kikubwa cha fedha kwenye mabenki na mashirika ya kijamii kama NSSF. Kwamba, Mbowe anadaiwa mabilioni kwenye benki za CRDB, Twiga Bancorp a TIB. Aidha, Mbowe pia anadaiwa kiasi kikubwa cha fedha NSSF na PSPF.

Tatu, kushindwa kwa kesi dhidi ya NHC. Ni ukweli usiopingika kuwa kushindwa kwa kesi hiyo kumemuongezea ugumu wa kufanya Biashara Freeman Mbowe hasa kutokana na kutakiwa kulipa fidia ya gharama za kuendesha kesi hiyo.

kutokana na hali hiyo taarifa zilizopo ni kwamba Mbowe anapanga kupunguza wafanyakazi kwenye makampuni yake yote. Pia taarifa zilizopo ni kwamba mishahara ya watumishi watakaobaki itapunguzwa ili kupunguza gharama za uendeshaji. Hata hivyo, inaelezwa kuwa hatua hizo ni za dharura

Hatari tupu.
Kuyumba kwa biashara na mishahara, kwa jinsi yake, si jambo jema.
Litaumiza watu wengi, familia zao na sehemu ya jamii
 
naskia hdi ufipa jengo liliwekwa rehani wakakopa kuendesha chama
 
Pamoja na kuitafuna ruzuku ya chama peke yake bado hawalipi mishahara wafanyakazi wake!!??
Mwaka jana the DON LOWASSA Alikuwa anagawa MITONYO SANA MAKANISANI NA MISIKITINI, KABUMA NINI.Au Magufuli kakata mrija wao wa mtonyo kama alivyomkatia ZITTO NSSF
 
Watanzania tunafurahia sana kufilisika kwa wenzetu lakini hapo hapo ajira zinapungua, kodi na mzunguko unapungua.
 
Subiri soon ajira zitamwagwa
Kwa jeuri ipi na miujiza ipi?
Mpaka sasa hiv bado mnahakiki academic certificates mkimaliza mnaanza tena vya ndoa(2017), 2018 mnaingia vya ubatizo unafikiri ni leo au kesho lbda 2019 ili muombee kura vizuri.
Km Jafo na Simbachawene waliwadanganya watz tena bungeni, na mukulu naye akasema miez 2 baada ya miez 5 ndiyo anatoa tamko(tena huyu ndiye msema kweli mpenzi wa Mungu). Utakuwa ww?
Mm siwez kuiamin serikali ya ssm tena sbb wao kusema uongo ni kitu cha kawaida sana kwao.
 
Back
Top Bottom