Pre GE2025 Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa

Pre GE2025 Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbona yeye alibadili gia angani 2015 kwa Lowassa? Yeye Lissu akibadili gia angani kugombea uwenyekiti kuna shida gani?

Ameingia mtego kumuongelea vibaya Lissu wakati Lissu anajenga hoja kuhusiana na chama na sio Mbowe binafsi.
Mbowe huwaua na kuwahujumu wale wanaotia nia mapema ya kugombea uenyekiti kama alivyopata kufanya kwa wangwe zito na juzi Heche , Alichofanya Lisu ni kumshitukiza ghafra ili kukwepa mitego ya kuuawa au kudhoofishwa na kamati yake ya Roho mbaya inayoongozwa na Mdee, Boniface, Wenje na Sugu
 
Kwahiyo Mhe Mbowe ni kwamba hiyo nafasi ya Uenyekiti ni kwamba alijipanga kugombea
Na siyo kweli kwamba alilazimishwa na ile nyomi ya watu iliyovamia nyumbani kwake na kumshauri agombee?
Tuamini lipi kati ya haya mawili aliyoyasema?
Kule nyumbani kwake alitengeneza maigizo kwani watu waliovamia wasingeweza kupata viti vingi vya kukaa ina maana alipanga mapema
 
Mbowe huiba pesa za chadema kisha huzitakatisha kwa kisingizio kuwa anarejesha Deni lake alilokopesha chama, hutengeneza madeni hewa feki kuharalisha ufisadi wake
 
Kwani kusema FAM amekataliwa ni ujasiri? wakati jambo ambalo lipo wazi tuu huku mtaani
Kwa hio amekataliwa mtaani?😀😀😀
Kwani si ni sikuzote mnawakataa mtaani na kwenye sanduku la kura?hata mkiitwa maandamano hamtokei makamanda?

Inakuwaje sasa mnajifanya ndio mnaanza kumkataa wakati siku zote mnakataa harakati zao

Maandamano umejifungia ndani na mkeo anatokea mwenyewe leo ukurupuke umtoe kizembe,hakuna kitu kama hicho Duniani 😀,hata mimi sikubali

Acheni unafiki
 
Kwa hio amekataliwa mtaani?😀😀😀
Kwani si ni sikuzote mnawakataa mtaani na kwenye sanduku la kura?hata mkiitwa maandamano hamtokei makamanda?

Inakuwaje sasa mnajifanya ndio mnaanza kumkataa wakati siku zote mnakataa harakati zao

Maandamano umejifungia ndani na mkeo anatokea mwenyewe leo ukurupuke umtoe kizembe,hakuna kitu kama hicho Duniani 😀,hata mimi sikubali

Acheni unafiki
Hoja yako ipi maana mbowe tushamkataa
 
Nliowahamasisha wote kupiga kura LGE nimewaenezea sumu ya kukataa chama endapo FAM akishinda
Yani chama kikataliwe au kife kwa kua flani kashindwa?mkakati wenu ni upi sasa?
Mtatapa tapa mpk akili ziwakae sawa.
Yaani mtanyooka
ACT ipo inahitaji wafuasi kama nyie

Kama hizi ndio akili za makamanda,bora Mbowe abaki mwenyewe 😝

Ndio maana mnaitwa Nyumbu,akili zenu hazina akili,mnaongozwa na hisia,wafuasi msio na akili
 
Usiweke wingi hapo

Sema Umemkataa wewe pamoja na
Na hizi audio zinasikilizwa kwenye sabufa kila mtu amsikie
Yani chama kikataliwe au kife kwa kua flani kashindwa?mkakati wenu ni upi sasa?
Mtatapa tapa mpk akili ziwakae sawa.
Yaani mtanyooka
ACT ipo inahitaji wafuasi kama nyie

Kama hizi ndio akili za makamanda,bora Mbowe abaki mwenyewe 😝

Ndio maana mnaitwa Nyumbu,akili zenu hazina akili,mnaongozwa na hisia,wafuasi msio na akili
Mwache abaki mwenyewe
 
Na hizi audio zinasikilizwa kwenye sabufa kila mtu amsikie

Mwache abaki mwenyewe
Ondoka haraka,sepa hakuna atakae kuwaza
kwani ulipojiunga ulitangaza?au kuja kupost hapa jf

Unatakiwa usepe kimya kimya kama ulivojiunga kamanda


Vyama vipo 19,vingine huvioni?
Nendeni chauma,Cuf au Act,mkaendelee kupambana
 
Ondoka haraka,sepa hakuna atakae kuwaza
kwani ulipojiunga ulitangaza?au kuja kupost hapa jf

Unatakiwa usepe kimya kimya kama ulivojiunga kamanda
Mbona chawa unaumia sana? Kwani nikitangaza unaumia nini wewe kibaraka?
 
Nyumbu ni nyie chawa wa mbowe miaka 21 anaiba pesa za chadema na kuzitakatisha kwa visingizio kuwa alikopesha chama maseni hewa mmezubaa tu mnamtukuza
 
Mbowe anatumia pesa nyingi kununua uenyekiti kwa hofu kuwa aliingia mwenyekiti mpya ataibua madudu yake mengi ikiwemo Rishwa za ngono kwa viti maalum
 
Mbona chawa unaumia sana? Kwani nikitangaza unaumia nini wewe kibaraka?
Unamtangazia nani?na ili iweje?
mtu mmoja hauna athari yeyote

kazi kuandika andika tu humu jf
Acheni kulia lia kama wanawake,umeamua kuondoka ondoka,unamtangazia nani,unataka ubembelezwe,kwani mapenzi haya
 
Unamtangazia nani?na ili iweje?
mtu mmoja hauna athari yeyote

kazi kuandika andika tu humu jf
Acheni kulia lia kama wanawake,umeamua kuondoka ondoka,unamtangazia nani,unataka ubembelezwe,kwani mapenzi haya
Ewe chawa wa mbowe, kwani chadema ni mali yenu na mmeo??
Ile ni mali ya umma, ruzuku (kodi) zetu inapokea kila mwezi...tumia akili kufikiri!.
 
Back
Top Bottom