Pre GE2025 Mbowe iokoe CHADEMA kwa kuchukua maamuzi mazito ya kumuunga mkono Lissu, usisubiri kesho!

Pre GE2025 Mbowe iokoe CHADEMA kwa kuchukua maamuzi mazito ya kumuunga mkono Lissu, usisubiri kesho!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mag3

Platinum Member
Joined
May 31, 2008
Posts
13,413
Reaction score
23,592
Mheshimiwa mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe, ukitangaza leo kwamba baada ya tafakuri nzito umeamua kutogombea kwa mara nyingine uenyekiti wa Chadema leo utakuwa umeua ndege wawili kwa jiwe moja.
  1. Utaijengea CHADEMA heshima
  2. Utajijengea heshima kubwa zaidi
Kwa kuijengea CHADEMA heshima utakuwa umefuta kabisa dhana ile ya bila Mbowe hakuna CHADEMA hivyo kudhihirisha ukomavu wa CHADEMA kama chama chenye misingi imara.

Kwa kujijengea heshima utakuwa umedhihirisha ukomavu wako kidemokrasia kama mstaafu aliyeheshimu, kutetea na kulinda demokrasia kwa vitendo ndani na nje ya uongozi.

Ningependa kuwaona mmekaa pamoja wakati ukitangaza uamuzi wako huo na nakuhakikishia, utashangaa jinsi wananchi wengi wazalendo wakatavyoupokea uamuzi wako huo.
 
Mheshimiwa mwenyekiti wa Chadema, Freeman Aikaeli Mbowe, ukitangaza leo kwamba baada ya tafakuri nzito umeamua kutogombea kwa mara nyingine uenyekiti wa Chadema leo utakuwa umeua ndege wawili kwa jiwe moja.
  1. Utaijengea Chadema heshima
  2. Utajijengea heshima kubwa zaidi
Kwa kuijengea Chadema heshima utakuwa umefuta kabisa dhana ile ya bila Mbowe hakuna CDM na hivyo kudhihirisha ukomavu wa CDM kama chama chenye misingi imara.

Kwa kujijengea heshima utakuwa umedhihirisha ukomavu wako kidemokrasia kama mstaafu aliyeheshimu, kutetea na kulinda demokrasia kwa vitendo ndani na nje ya uongozi.

Ningependa kuwaona mmekaa pamoja wakati ukitangaza uamuzi wako huo na nakuhakikishia
utashangaa jinsi wananchi wengi wazalendo wakatavyoupokea uamuzi wako huo.
Upumbavu mtupu..!
 
Ungejua who is sponsoring these outfits, you wouldn't have said that...
...
Ningependa kuona muamko mpya wa CDM kupitia TL,

Lakini wanaochochea haya mabadiliko ni watu wenye nia ovu sana na hicho chama pengine zaid na nchi yetu.


Tundu will f#$k it.
 
Mheshimiwa mwenyekiti wa Chadema, Freeman Aikaeli Mbowe, ukitangaza leo kwamba baada ya tafakuri nzito umeamua kutogombea kwa mara nyingine uenyekiti wa Chadema leo utakuwa umeua ndege wawili kwa jiwe moja.
  1. Utaijengea Chadema heshima
  2. Utajijengea heshima kubwa zaidi
Kwa kuijengea Chadema heshima utakuwa umefuta kabisa dhana ile ya bila Mbowe hakuna CDM na hivyo kudhihirisha ukomavu wa CDM kama chama chenye misingi imara.

Kwa kujijengea heshima utakuwa umedhihirisha ukomavu wako kidemokrasia kama mstaafu aliyeheshimu, kutetea na kulinda demokrasia kwa vitendo ndani na nje ya uongozi.

Ningependa kuwaona mmekaa pamoja wakati ukitangaza uamuzi wako huo na nakuhakikishia, utashangaa jinsi wananchi wengi wazalendo wakatavyoupokea uamuzi wako huo.
Ni wazo zuri. Ila linahitaji kuboreshwa. Kwa vile Mbowe ni mhimili wa aina yake pale CHADEMA, aendelee kushiriki kukilea chama. Mzee Mtei na Bob Makani waliweza. So, Katiba yao iboreshwe , kiwepo cheo cha kiitifaki cha watu kama kina Mbowe.
 
Mheshimiwa mwenyekiti wa Chadema, Freeman Aikaeli Mbowe, ukitangaza leo kwamba baada ya tafakuri nzito umeamua kutogombea kwa mara nyingine uenyekiti wa Chadema leo utakuwa umeua ndege wawili kwa jiwe moja.
  1. Utaijengea Chadema heshima
  2. Utajijengea heshima kubwa zaidi
Kwa kuijengea Chadema heshima utakuwa umefuta kabisa dhana ile ya bila Mbowe hakuna CDM na hivyo kudhihirisha ukomavu wa CDM kama chama chenye misingi imara.

Kwa kujijengea heshima utakuwa umedhihirisha ukomavu wako kidemokrasia kama mstaafu aliyeheshimu, kutetea na kulinda demokrasia kwa vitendo ndani na nje ya uongozi.

Ningependa kuwaona mmekaa pamoja wakati ukitangaza uamuzi wako huo na nakuhakikishia, utashangaa jinsi wananchi wengi wazalendo wakatavyoupokea uamuzi wako huo.
Yeye kama yeye asingekuwa na shida kabisa! External force nje ya chama ndio tatizo kubwa
Unajua hakuna ambaye hajaacha nyayo kote alikopita.. Kuna kutishiwa na system kafanya ABC usipisikiliza matakwa yao!
Kitisho kikubwa hapo ni LISSU nje na ndani ya chama.. Indio maana tunahitaji kudra za Mwenyezi Mungu kuinusuru CHADEMA

Huu ni wakati wa TAL
20241218_051429.jpg
 
Hivi kwani Lissu akianzisha chama chake yeye na wafuasi wake amwachie Mbowe Chadema na wafuasi wake kutatokea nini?
 
Mbona Kenya wanachama wa ODM hawajawahi taka Raila Odinga aachie madaraka ODM pamoja na kuunga mkono Serikali ya Uhuru Kenyata na sasa Ruto pia
 
Mheshimiwa mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe, ukitangaza leo kwamba baada ya tafakuri nzito umeamua kutogombea kwa mara nyingine uenyekiti wa Chadema leo utakuwa umeua ndege wawili kwa jiwe moja.
  1. Utaijengea CHADEMA heshima
  2. Utajijengea heshima kubwa zaidi
Kwa kuijengea CHADEMA heshima utakuwa umefuta kabisa dhana ile ya bila Mbowe hakuna CHADEMA hivyo kudhihirisha ukomavu wa CHADEMA kama chama chenye misingi imara.

Kwa kujijengea heshima utakuwa umedhihirisha ukomavu wako kidemokrasia kama mstaafu aliyeheshimu, kutetea na kulinda demokrasia kwa vitendo ndani na nje ya uongozi.

Ningependa kuwaona mmekaa pamoja wakati ukitangaza uamuzi wako huo na nakuhakikishia, utashangaa jinsi wananchi wengi wazalendo wakatavyoupokea uamuzi wako huo.
Wewe mtu huwa nakuaminia sana humu jukwaani, Napigiria msumari hili bandiko lako. Mh Mbowe lisome na msikilize huyu muleta Bandiko mambo yaende. Tunawahitaji nyote- Lissu na Mbowe na kwa kuwa utakuwa kamati kuu hadi milele, muache na huyo Lissu awemo pia. Utam- control tokea huko. Kwa kweli sisi wafuasi wenu mumetugawa sana na tuko njia panda. Muachie mwenzako aje awe kiongozi na wewe uwe ndani ya hiyo kamati kuu, akiachia ngazi, yeye pia atakuwemo, na mutaendeleza vema hiyo CDM kwa manufaa mapana ya chama pendwa. Chondechonde mheshima, sikiliza kilio cha sisi watanzania tunachokiomba toka kwako. Tafadhari Pumzika na wewe chukua uskani huko kamati kuu ambako utakuwepo had mauti. Chonde chonde Mh.Mbowe.
 
Back
Top Bottom