OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Tatizo ni kuu ni serikaliTatizo lipo Kwa wapambe wanaomzunguka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ni kuu ni serikaliTatizo lipo Kwa wapambe wanaomzunguka
Tatizo COVID-19Mheshimiwa mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe, ukitangaza leo kwamba baada ya tafakuri nzito umeamua kutogombea kwa mara nyingine uenyekiti wa Chadema leo utakuwa umeua ndege wawili kwa jiwe moja.
Kwa kuijengea CHADEMA heshima utakuwa umefuta kabisa dhana ile ya bila Mbowe hakuna CHADEMA hivyo kudhihirisha ukomavu wa CHADEMA kama chama chenye misingi imara.
- Utaijengea CHADEMA heshima
- Utajijengea heshima kubwa zaidi
Kwa kujijengea heshima utakuwa umedhihirisha ukomavu wako kidemokrasia kama mstaafu aliyeheshimu, kutetea na kulinda demokrasia kwa vitendo ndani na nje ya uongozi.
Ningependa kuwaona mmekaa pamoja wakati ukitangaza uamuzi wako huo na nakuhakikishia, utashangaa jinsi wananchi wengi wazalendo wakatavyoupokea uamuzi wako huo.
Mkuu huo mfumo jike je unafkiri utakubali mbowe ajaribu kutamka maneno hayo? kabla ya Mbowe kuchukua fomu unajua mbowe alisema apewe masaa 48 atafakari? unaweza jua hayo masaa 48 nini kilitokea mpaka jamaa akaja waziwaz na kusema atagombea?Mheshimiwa mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe, ukitangaza leo kwamba baada ya tafakuri nzito umeamua kutogombea kwa mara nyingine uenyekiti wa Chadema leo utakuwa umeua ndege wawili kwa jiwe moja.
Kwa kuijengea CHADEMA heshima utakuwa umefuta kabisa dhana ile ya bila Mbowe hakuna CHADEMA hivyo kudhihirisha ukomavu wa CHADEMA kama chama chenye misingi imara.
- Utaijengea CHADEMA heshima
- Utajijengea heshima kubwa zaidi
Kwa kujijengea heshima utakuwa umedhihirisha ukomavu wako kidemokrasia kama mstaafu aliyeheshimu, kutetea na kulinda demokrasia kwa vitendo ndani na nje ya uongozi.
Ningependa kuwaona mmekaa pamoja wakati ukitangaza uamuzi wako huo na nakuhakikishia, utashangaa jinsi wananchi wengi wazalendo wakatavyoupokea uamuzi wako huo.
Naona wako ambao hili hawalioni. Kushindwa kwa Kamala kwa kiasi fulani kulichangiwa na watu kuamua kutopiga kura. Hatari kama hiyo iko kwa mgombea wa CDM.CDM wakigawana wanachama 2025 itakuwa a free ride...
Mimi si mwana Chadema lakini ni mwanademokrasia na ni mpenzi wa chama chochote kile kinachohimiza utawala usio juu ya sheria, utawala unaosimamia haki na uhuru.Yeye kama yeye asingekuwa na shida kabisa! External force nje ya chama ndio tatizo kubwa
Unajua hakuna ambaye hajaacha nyayo kote alikopita.. Kuna kutishiwa na system kafanya ABC usipisikiliza matakwa yao!
Kitisho kikubwa hapo ni LISSU nje na ndani ya chama.. Indio maana tunahitaji kudra za Mwenyezi Mungu kuinusuru CHADEMA
Huu ni wakati wa TAL
Kuna mmoja hapo anaishi na mke wa mtu wakampa na viti maalumuWenje, Sugu, Kigaila na Mrema 🐼
Ramli chonganishi hazina maanaDua la kuku halimpati mwewe!
Lissu kura hazitatosha!
"Mbowe yupo kimya anatafuta kura, Lissu yupo bize mitandaoni kukilaumu chama"Ramli chonganishi hazina maana
Asipokubali hiki ndicho kitaenda kutokea.View attachment 3185456
Twende mbele turudi nyuma, kila mtu bongo, anatfuta jinsi ya kupiga pesa, kwa njia haramu au halali, hawa wana siasa, kutetea maslahi mapana ya nchi, huwa ni njia tu, ya kutafuta ulaji, wapo kama Malaya tu, watawala wakiweka mzigo mzito mezani,wananunurika kirahisi tu, niliwalaumu Sana, kina Mdee, Kafulila,kukimbilia ccm, lakini nilipomsikiliza Mbowe, akitoa vijembe huku akicheka Cheka kama zuzu! "Eti watu wanasema Mimi ndio natia mzigo mkubwa chamani,aaah basi hii ni heshima kubwa" Nikajua tu hawa ni wapiga deals tu, vyama vya siasa ni vehicle ya kupigia pesa tu, chadema, ccm, wote ni majizi tu, hatujajuhi mabaya ya chadema, kwa vile hawajashika madaraka, ukiwapa ikulu, wanaweza kuwa makenge zaidi ya ccmMheshimiwa mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe, ukitangaza leo kwamba baada ya tafakuri nzito umeamua kutogombea kwa mara nyingine uenyekiti wa Chadema leo utakuwa umeua ndege wawili kwa jiwe moja.
Kwa kuijengea CHADEMA heshima utakuwa umefuta kabisa dhana ile ya bila Mbowe hakuna CHADEMA hivyo kudhihirisha ukomavu wa CHADEMA kama chama chenye misingi imara.
- Utaijengea CHADEMA heshima
- Utajijengea heshima kubwa zaidi
Kwa kujijengea heshima utakuwa umedhihirisha ukomavu wako kidemokrasia kama mstaafu aliyeheshimu, kutetea na kulinda demokrasia kwa vitendo ndani na nje ya uongozi.
Ningependa kuwaona mmekaa pamoja wakati ukitangaza uamuzi wako huo na nakuhakikishia, utashangaa jinsi wananchi wengi wazalendo wakatavyoupokea uamuzi wako huo.
Siku ya kura nitakuwa Belgium!Hacha box la kura liamue maana kura hukomesha mashindano
Kwa hiyo unaona ni heri ukabaki na chama hicho hicho kwa woga kuwa hata kikija chama kingine mambo yatabakia yale yale, really?vyama vya siasa ni vehicle ya kupigia pesa tu, chadema, ccm, wote ni majizi tu, hatujajuhi mabaya ya chadema, kwa vile hawajashika madaraka, ukiwapa ikulu, wanaweza kuwa makenge zaidi ya ccm
Tatizo ni kiapo, kala hela za watu nyingi sana. Akienda kinyume na makubaliano ya mzee kibaoMheshimiwa mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe, ukitangaza leo kwamba baada ya tafakuri nzito umeamua kutogombea kwa mara nyingine uenyekiti wa Chadema leo utakuwa umeua ndege wawili kwa jiwe moja.
Kwa kuijengea CHADEMA heshima utakuwa umefuta kabisa dhana ile ya bila Mbowe hakuna CHADEMA hivyo kudhihirisha ukomavu wa CHADEMA kama chama chenye misingi imara.
- Utaijengea CHADEMA heshima
- Utajijengea heshima kubwa zaidi
Kwa kujijengea heshima utakuwa umedhihirisha ukomavu wako kidemokrasia kama mstaafu aliyeheshimu, kutetea na kulinda demokrasia kwa vitendo ndani na nje ya uongozi.
Ningependa kuwaona mmekaa pamoja wakati ukitangaza uamuzi wako huo na nakuhakikishia, utashangaa jinsi wananchi wengi wazalendo wakatavyoupokea uamuzi wako huo.