Pre GE2025 Mbowe iokoe CHADEMA kwa kuchukua maamuzi mazito ya kumuunga mkono Lissu, usisubiri kesho!

Pre GE2025 Mbowe iokoe CHADEMA kwa kuchukua maamuzi mazito ya kumuunga mkono Lissu, usisubiri kesho!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
You cant fight your master and win...
You need to get away from this fallacy. Who is the "master"? There's only one master in Tanzania, and that is the woman an man in the villages, and everywhere where yo can find them in this great nation.
 
Whether Tanzanians needs him or not, he should submit to his master who was feeding him for the past 20 years ..

Whether CDM will stand and be trusted after this cause is the question for another day .
I must say, you're totally confused. You're not even standing on "wobbly legs"! You're kneeling dowd submitting yourself to the devil.
 
There's a stuck difference between the two' you can't even begin mistaking one for another!

Mbowe's dirty tricks are finally laid bare for everyone to see! Evidence is abundant and unmistakable; evidence that is finally laid clear on issues that were not easily explained in the past. Lowassa's candidacy, COVID- 19; hard to explain expenditures in the party. But his adventures with Samia, into the so called "Maridhiano", this has been the tipping point of his downfall from grace.
Look at this shameful misadventure in a final nail into his coffin as a respected political figure! Why would one want to play into a pond full of dirt and expect to come out clean!

All clear, even if not Proven beyond reasonable doubt i agree with you on one point, he has lost the public trust and there fore should submit his responsibility to some one else with the top quality to be trusted again, TL is the one, at least to take us here, for a short term project, overthrowing "walamba asali and wasubir asali" type.

In Principle i 100% agree with you we need someone else to lead this revolution...


We are dead stuck with lots of compromised folks running political parties in the name of opposition.

I have issues with TL approach on fighting for the crown... I dont believe that it shall end well with him, unless the major differences between them are resolved

There is no way TL will make it at ballot box.... Noo way, i dont see his networks within the party to doing so...
 
You need to get away from this fallacy. Who is the "master"? There's only one master in Tanzania, and that is the woman an man in the villages, and everywhere where yo can find them in this great nation.
Literally speaking right?
Power is on the people you say?
Not now, not here.. sorry !
 
Hana cha kupoteza kwa sasa ndiyo maana hajali madhara yoyote yatakayotokea kwa sababu ya ung'ang'anizi wake.
 
People of this nation have shown over and over how powerful they are when there is leadership they trust.
When,
1995, 2000, 2005, 2015, 2020?

They have no power,

All power vested somewhere else, somewhere..

May be sometime later....
 
When,
1995, 2000, 2005, 2015, 2020?

They have no power,

All power vested somewhere else, somewhere..

May be sometime later....
We can't waste time arguing on this one. It will require me spending a tremendous amount of time explaining the nitty gritty of what it takes for a trusted leader to unleash this powerful force.
 
Hahaha pambaneni na khali zenu, HAKUNA kuachiwa, mtazoea kubebwa kila siku kulia lia tu.

AACHIWE ili iweje?

Mbowe ni dhaifu, Mbowe hana ushawishi tena, Mbowe hamuwezi Lisu kwa hoja, Halafu kila siku hamtaki Lisu, Mahiri wa hoja, mwenye maono, ashindanishwe na Mbowe dhaifu, mnaakili kweli nyie?
 
Can you by name of God say with confidence who is indriving these agenda?
Naweza kukuambia kwa uhakika hii ni '' Intrinsic motivation'
As to why FAM is portrayed as so bad and corrupt now but not 3 years ago?
Ukiona hivyo ujue jambo limepita ''yield point'

Siamini kama FAM ni corrupt . Ninachofahamu katika miaka 3 amefanya 'fyongo' nyingi , kubwa ikiwa ni Maridhiano.
Kumbuka, wakati wa JPM , FAM alipanda ndege kwenda kuomba maridhiano uwanja wa Kirumba.

Watu hawaelewi ni kwanini CDM waumizwe halafu wao waombe maridhiano!

Maridhiano ni ''reconciliation'' kukiwa na kuhitilifiana! CDM wanafungwa, wanauawa , wanasingiziwa kesi na kila aina ya uchafu halafu M/Kiti anaomba maridhiano! Wanaotakiwa kuomba maridhiano ni CCM na serikali yao.
Watu wanajiuliza, hadi lini!
And TL is so clean, saint from heaven who will distribute 107M to all over 1200 CDM leaders?
Not sure! but there comes a time the status quo is untenable
Turbidity politics revolving around the intention is what scares me a lot.
Kuna fact ambayo ni undisputed, CDM imepoteza mwelekeo. Hiyo Turbidity ni nature inayofanya kazi baada ya wahusika kushindwa kusoma alama za nyakati. Je, TAL ni panacea ? not sure! nature inatuambia '' mutatis mutandis''
 
Mbowe agombee ili tupate mwenyekiti halali, msitafute huruma.
 
Baada ya miaka 20 kama mwenyekiti na sura ya chama kama inavyodaiwa, Chadema katika uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu imeambulia chini ya asilimia 1%.

Uongozi wa juu kabisa hauwezi kukwepa lawama kwa msimamo wao kuhusu uchafuzi waliokubali kushiriki kama chama.

"We cannot solve our problems with the same thinking we used when we created them", alisema Einstein.

Uongozi wa juu kabisa wa Chadema ulikuwa mwepesi kudanganyika ukiwa na imani potofu jinsi uchaguzi ungeendeshwa baada ya maridhiano...sababu?
Kuna mtu nimenjibu kwamba ''reaction' anayoiona ni kutokana na madudu mengi chini ya 'Maridhiano.

FAM alikamatwa Mwanza kwasababu ya kongamano la Katiba! Alikaa magereza miezi 8
Akiwa Magereza BAVICHA /BAWACHA Walikuwa moto na Katiba!

FAM alipotoka na kuingia maridhiano akaenda Mwanza na kusema '' Hatuwezi kudai Katiba , muda ni mfupi hadi uchaguzi mkuu. Tutapigania reform katika Tume ya Uchaguzi na mabadiliko ya usimamizi serikali za Mitaa''

FAM akajiunga na ACT waliotaka upuuzi wa ''minimal reforms''. CCM wakapeleka mswada wakatumia mhuri wa Bunge! Hakuna Katiba hakuna 'reform''. Hizi flip flop zinamhusu FAM.
 
Kuna mtu nimenjibu kwamba ''reaction' anayoiona ni kutokana na madudu mengi chini ya 'Maridhiano.
Kuita kilichotokea ni maridhiano ni misnomer. Yale yalikuwa ni majadiliano kuelekea kwenye maridhiano. Maridhiano yangekuwa yamefikiwa wangesaini mkataba. Mfano ni mazungumzo yanayoendelea kati ya Hamas na Israel. Lengo ni ceasefire, matekwa kuachiwa na wafungwa kuachia. Hatua ya kwanza ndio ilisababisha mateka na wafungwa wengi kuachiwa. Mazungumzo ya maridhiano ndio yalipelekea wanachama na wafuasi wengi wa Chadema kuachiwa, viongozi waliokuwa uhamishoni kuweza kurudi, mikutano ya kisiasa ya hadhara kuruhusiwa na Chadema kuweza kuanza kupokea ruzuku iliyowapa nguvu zaidi ya kuendesha chama chao. Sehemu kubwa iliyobaki ni Katiba Mpya, Tume Huru ya Uchaguzi na Covid-19. Chadema ilipoona kuwa hakuna movement yeyote hapo Chadema ika suspend ushiriki wao. Faida nyingine ambayo Chadema waliyoipata ni kuwa machoni mwa nchi na mashirika ya kitaifa walionekana kuwa ni watu reasonable.
Mimi nigependa kujua ni hiyo alternative anayoizungumzia Lissu ni ipi? Chadema wasifanye mazungumzo yeyote kabla ya Katiba Mpya kupatikana, Tume Huru kutangazwa na Covid-19 kuachiwa? Kwa leverage gani waliyokuwa nayo?
FAM alikamatwa Mwanza kwasababu ya kongamano la Katiba! Alikaa magereza miezi 8
Akiwa Magereza BAVICHA /BAWACHA Walikuwa moto na Katiba!
Tunakumbukumbu tofauti. Ninavyokumbuka mimi ni kuwa wakati Mbowe yuko rumande juhudi kubwa zilikuwa ni kuhakikisha kuwa kesi yake inafutwa. Ni juhudi za vijana kama Martin Maranja Masese za kutoa taarifa za yanayoendelea kila siku mahakamani, wakina mama wa Bawacha kama yule Mwakipesile ambao walienda pamoja na uchache wao kujigalagala nje ya Ubalozi wa Marekani. Wanawake hao wa Bawacha wakawa wanafanya jogging kama sehemu ya shinikizo hilo. Juhudi hizo zilitiwa nguvu pia na mwakilishi mmoja wa ubalozi wa nchi za magharibi kuhudhuria mahakamani kila siku. Nguvu karibu zote zilielekezwa Mahakamani. Mbowe alipotoka, na mikutano ya hadhara kuruhusiwa Chadema walifanya maandamano makubwa katika miji mikubwa ya kudai Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi. Wakati hayo yanafanyika, mazungumzo kuhusu maridhiano yalikuwa yana endelea.
FAM alipotoka na kuingia maridhiano akaenda Mwanza na kusema '' Hatuwezi kudai Katiba , muda ni mfupi hadi uchaguzi mkuu. Tutapigania reform katika Tume ya Uchaguzi na mabadiliko ya usimamizi serikali za Mitaa''

FAM akajiunga na ACT waliotaka upuuzi wa ''minimal reforms''. CCM wakapeleka mswada wakatumia mhuri wa Bunge! Hakuna Katiba hakuna 'reform''. Hizi flip flop zinamhusu FAM.
Kiukweli ni kuwa muda ulikuwa mfupi hadi kufikia uchaguzi Mkuu hasa ukizingatia representation iliyopo sasa hivi katika Bunge na kuwa CCM haiko tayari kufanya mabadiliko ambayo yata threaten nafasi waliyokuwa nayo. Sana sana wangeweza kuleta Katiba Mpya kama ile waliyopendekeza awali na ikapitishwa na Bunge na hamna mtu ambae angekuwa na uwezo wa kuwazuia.
Mnamlaumu Mbowe kwa kukubali kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa. Alichokifanya ni ali call the bluff ya serikali kuwa uchaguzi chini ya taratibu zilizopo utakuwa wa huru na haki. Nadhani huo ujumbe haukuwafikia wasimamizi wa uchaguzi ambapo matokeo yamewafanya wenyewe waone aibu. Aidha, kushiriki kwao kumethibitishia uma kuwa walikuwa sahihi kuwa na wasiwasi kuhusu mwenendo wa uchaguzi. Hii inawapa leverage zaidi katika kudai reforms kwenye uendeshaji wa uchaguzi Mkuu. Sidhani kama safari hiyo CCM watataka washinde kwa 98%.
Kama CDM wangesusia kama safari iliyopita wasimamizi wangeweza kusema kuwa uchaguzi ulikuwa wa haki na uwazi, zile zilikuwa ni hofu za CDM tu. Zaidi ya kususia sijui Lissu alitaka CDM wafanye nini.
Mifano hii niliyoitoa ndio inayonifanya niamini kuwa Mbowe ni strategist mzuri kuliko Lissu. Hao washauri wake wa diaspora wameshindwa kuandamana kwa wingi katika nchi ambayo hiyo ni haki ya msingi. Wakiita maandamano hawatokezi zaidi ya watu kumi! Kwa nini hiyo pressure wasianze nayo huko? Naamini kwa dhati kuwa CDM ikimpa Uenyekiti Lissu watajuta sana hapo mbeleni. Nakiri kuwa inawezekana watu wa kawaida wana matumaini makubwa kwake. Lakini ni hao hao watu wa kawaida ambao walikuwa na imani kubwa kwa Babu wa Loliondo na watu kama Mwamposa na Kiboko cha Wachawi. Siku zote wanapenda majibu mepesi kwa maswali magumu. Kwa sababu hiyo sitashangaa wakimpa ushindi Lissu. Wahenga walituambia kuwa mtoto akililia wembe mpe. Muda ndio utakaomfundisha.

Amandla...
 
Kuita kilichotokea ni maridhiano ni misnomer.
OK! kwa minajili ya mjadala tukubali ni misnomer
Yale yalikuwa ni majadiliano kuelekea kwenye maridhiano.
Maridhiano kati ya nani na nani ! Maridhiano ya ugomvi gani na unohusisha akina nani.
Maridhiano yangekuwa yamefikiwa wangesaini mkataba.
Mkataba kati ya nani! ni sheria gani ya nchi inayoeleza mikataba baina ya raia wake!
Mfano ni mazungumzo yanayoendelea kati ya Hamas na Israel.
Huu ni mfano mzuri sana! Hawa wameumizana kwa muda mrefu. Kinachtafutwa ni mazungumzo ya maridhiano
Chadema imeumizana na nani?
Mazungumzo ya maridhiano ndio yalipelekea wanachama na wafuasi wengi wa Chadema kuachiwa, viongozi waliokuwa uhamishoni kuweza kurudi, mikutano ya kisiasa ya hadhara kuruhusiwa na Chadema kuweza kuanza kupokea ruzuku iliyowapa nguvu zaidi ya kuendesha chama chao.
Je haya ni fadhila au haki ! Je, yalihitaji maridhiano. Unawezaje kutafuta maridhiano kwa haki iliyoporwa.
Kurudishiwa haki si maridhiano wala matokeo ya maridhiano! Ni kurudishiwa haki tu
Sehemu kubwa iliyobaki ni Katiba Mpya, Tume Huru ya Uchaguzi na Covid-19.
Ukisoma kinachosemwa madai ya TAL , suala kubwa lilikuwa Katiba na Tume ya uchaguzi
Ninavyokumbuka mimi ni kuwa wakati Mbowe yuko rumande juhudi kubwa zilikuwa ni kuhakikisha kuwa kesi yake inafutwa. Ni juhudi za vijana kama Martin Maranja Masese za kutoa taarifa za yanayoendelea kila siku mahakamani, wakina mama wa Bawacha kama yule Mwakipesile ambao walienda pamoja na uchache wao kujigalagala nje ya Ubalozi wa Marekani. Wanawake hao wa Bawacha wakawa wanafanya jogging kama sehemu ya shinikizo hilo.
Mikoani kulikuwa na BAWACHA /BAVICHA wakiwa na TV set tena online wakihimiza Katiba mpya.
Hata Mbowe alipoletwa Mhakamani agenda ilikuwa ''Katiba mpya sasa''.
Ni kweli hayo uliyosema yalitokea, kumbuka shinikizo lililomtoa Mbowe ni joto la Katiba! Ndio maana alipotoka rumande alikwenda Ikulu kupoozwa.
Mbowe alipotoka, na mikutano ya hadhara kuruhusiwa Chadema walifanya maandamano makubwa katika miji mikubwa ya kudai Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi. Wakati hayo yanafanyika, mazungumzo kuhusu maridhiano yalikuwa yana endelea.
Hapana! Mkutano wa kwanza baada ya Ikulu ulikuwa Iringa (BAWACHA) . Watu walitaka kusikia msimamo wa M/Kiti.

Kwa kujizuia Mbowe akataja Katiba, hakuzungumzia. Kama utakumbuka kuanzia hapo Wanachama wao wakasema amelamba ASALI. Hoja hiyo ilimkera sana, alipokuwa USA aliiongelea akiwaita wanaokataa maridhiano Wahafidhina.

FAM akiwa katika Maridhiano aliwakataza vijana kuwa na ndimi nzuri wakati wa kudai katiba.
Kuanzia hapo suala la Katiba likaingia ''ICU'' hadi leo. Kuvia kwa Katiba kulitokana na Maridhiano ya FAM.

Baada ya Mbowe kuachiwa na kukubali maridhiano, Watu walishangaa kuundwa kwa Tume ya Mkandala.
Hii ni baada tu ya Mbowe kutoka na ilikuwa namna ya kupooza issue iliyokuwa moto! ilifanikiwa.

FAM akiwa akiwa katika Maridhiano hakuhoji Tume ya Mkandala ni ya nini wakati wanazungumza?
Watu walimuonya kwamba Maridhiano ni danganya toto! Yeye akawaita Wahafidhina!
Kiukweli ni kuwa muda ulikuwa mfupi hadi kufikia uchaguzi Mkuu hasa ukizingatia representation iliyopo sasa hivi katika Bunge na kuwa CCM haiko tayari kufanya mabadiliko ambayo yata threaten nafasi waliyokuwa nayo. Sana sana wangeweza kuleta Katiba Mpya kama ile waliyopendekeza awali na ikapitishwa na Bunge na hamna mtu ambae angekuwa na uwezo wa kuwazuia.
Hapana! Hoja ilikuwa kurudi katika rasimu ya Warioba. Muda ulikuwepo, kilichopoteza muda ni Maridhiano.

Jambo lililoudhi watu ni Mbowe kuwa msemaji wa ''CCM na Serikali'' kwa kueleza ufinyu wa Muda.
Kama muda haukutosha , Tume ya Mkandala ilikuwa ya nini?
 
Back
Top Bottom