Uchaguzi 2020 Mbowe itampa wakati mgumu sana kumnadi Lissu

Uchaguzi 2020 Mbowe itampa wakati mgumu sana kumnadi Lissu

Punguwan* nini? Unamwona Lissu anahitaji kunadiwa. Mbona Rungwe, Lupumba, Mutamwega na wagombea wengine mmewasahau?
Ndugu zangu,

Napenda kumshukuru Mungu kwa kunipa siku ya leo.

Katika uchaguzi ambao niliufuatilia kwa karibu kubwa sana tangia nianze kufuatilia siasa na wanasiasa, basi ulikuwa ule wa 2015. Ulikuwa uchaguzi wa kipekee sana kuwahi kutokea hapa nchini, na ulikuwa uchaguzi mgumu sana kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ila CCM walicheza karata kubwa sana ya kumweka Mh. Magufuli. Kwa kutumia rekodi za nyuma za umahili wake wa uchapazi kazi katika kila wizara aliyoteuliwa, ilinifanya kura yangu nimpe huyu ndugu. Na kama CCM wangempitisha Membe, basi kura yangu ingeenda kwa Mh. Lowasa. Na itachukua miaka mingi sana kuwa na uchaguzi kama ule.

Kamari ambayo waliicheza Ukawa, hasa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa kumkaribisa Mh. Lowasa (), Mh. Mbowe alikuwa na furaha mno na confidence kubwa sana huku alikuwa anajua kabisa Lowasa anaenda kuingia Ikulu, kulingana na nyota ya siasa amabayo Lowasa alikuwa nayo ambayo ilisababishwa na kuwa na maandalizi ya muda mrefu kwa nafasi hii kubwa kabisa katika kulitumikia taifa. Kama ukisikia mafuriko ya watu kipindi cha Mh. Lowasa, basi yalikuwa mafuriko kwelikweli, Tundulisu hawezi hata kumfikia nusu yake ()

().

Kipindi hiki naona kama Mh. Mbowe hana ile confidence kabisa ambayo aliyokuwa nayo 2015 kipindi cha Mh. Lowasa (). Kwa kutumia uwezo wangu, ambao amenipa mwenyezi Mungu wa kusoma saikolojia ya mtu, yafuatayo yanaweza kuwa ndio sababu ya Mh. Mbowe kuloose confidence kabisa kuelekea uchaguzi mkuu, yaani hajui kinachoenda kutokea. TL alipokuwa Arusha kusaka wadhamini, wananchi walimtaka Mbowe aongee, Mbowe akaja na hakusema chapuo lolote kwa TL, badala yake alitaja kauli mbiu tu (). Kwa jambo hili kwangu linaweza kubeba hoja zifuatazo:

  • Mbowe alikuwa anajua kabisa kuwa watu walikuwa wanamtaka Tundulisu ili aweze kupeperusha bendera ya uraisi Chadema kwa sababu ya lile tukio la mashambulizi dhidi yake ili kulenga kura za huruma ya wananchi, ila bado najiuliza kwa nini aliamua naye kutangaza nia, baadae akaacha?
  • Au Mbowe aliogopa aibu ya kushindwa na Lisu, maana asilimia kubwa ya wajumbe walikuwa wanataka Lisu apeperushe bendera?
  • Kuna uwezekano Mh. Mbowe alikuwa anajua kabisa, Tundulisu hana uwezo wa kupambana na Magufuli, ila kura atakazopata zitakuwa za huruma ya wananchi, ila kwakuwa mkutano mkuu ulikuwa unamtaka TL, basi hakuwa na namna yoyote zaida ya kuunga mkono
Namalizia nakusema, Mh. Mbowe hana confidence kabisa kwenye uchaguzi huu, japokuwa wengine wanaonekana wanayo, ila ni tofauti sana na huyu ndugu, anajua kabisa Lisu hawezi kuifikia level ya Lowasa, hata nusu yake hawezi, ila ataleta upinzani angalau kidogo tu.

Asante,
Nawasilisha
Kejuu
 
Hayo ni mawazo yako, utashangaa matokeo. Chadema hawawezi kupata urais lakini upinzani utachukua nafasi kubwa ya majimbo . na hii inatokana na NEC kusema kwamba atakayeshinda atangazwe
 
Nimekuuliza swali langu nataka ujinibu! Kampuni inayojenga uwanja wa ndege wa Chato ni ya nani?? Na mchakato wa iyo kampuni kujenga huo uwanja ulipitishwaje??? Kwa utaratibu gani????
We unajua ya nani?
Mimi nikuhakikishie jambo moja.


UPINZANI haukuwahi kupata mgombea Urais kama huyu wa Sasa.

Huyi ndio aina ya wagombea Urais kutoka Upinzan ambao Dunian kote ndio huleta mageuzi .

Sio watu lege lege.
Ni kweli kabisa haijawahi tokea raisi wa tz kuwa na microchip ambaye anaremotiwa na mabeberu
 
We unajua ya nani?

Ni kweli kabisa haijawahi tokea raisi wa tz kuwa na microchip ambaye anaremotiwa na mabeberu
Kwa iyo hujui ni ya nani?? Basi endelea kumpigia chapuo huyo magufuli wako huku mwenzako anazidi kuwa tajiri tu. Kalagha bao punguani wa mataga we!!
 
kwa kutumia narrative yako, tunaweza ku draw logically simple conclusion kama ifuatavyo....

kwa vile high confidence ya Mbowe 2015 ilipelekea Lowasa kushindwa uchaguzi, it means Mbowe's confidence is indirectly proportional to election victory and therefore the following hypothesis is true:

2015: Mbowe's high confidence, Lowasa lost
2020: Mbowe's low confidence, Lissu to win

sijatunga kitu chochote hapa bali nimetumia narrative yako mwenyewe mleta mada!
Analysis za kipopoma kabisa, umfananishe mbowe na tl? Muache basi mzee wa watu, usimdharishe
 
Hayo ni mawazo yako, utashangaa matokeo. Chadema hawawezi kupata urais lakini upinzani utachukua nafasi kubwa ya majimbo . na hii inatokana na NEC kusema kwamba atakayeshinda atangazwe
Hujui mbowe ana wasi wasi mkubwa sana, hata inampelekea kuloose confidence?
 
We unajua ya nani?

Ni kweli kabisa haijawahi tokea raisi wa tz kuwa na microchip ambaye anaremotiwa na mabeberu
Unakuta nawewe ni msomi lakini umejazwa na ujinga ,matope ya kufugia minyooo kichwan.

Kama umeoa basi moja ya wanawake waliolewa na wanaume wanaojiona wajanja lkn wake zao wanajua wameolewa na vilaza ila wanavumilia tu..ni Mkeo .



Bonge la kilazaaaa weee jamaa.
 
Hivi wewe unamjua Magu, usijitoe ufahamu, Magu is one of the best president of our life time ever! Dunia nzima wanamjua wewe usilete utani kabisa. Amelipa heshima kubwa saba taifa letu
Amefanya nini cha maana mpaka awe the best . ameshindwa kuongeza mishahara miaka 5 , amaeiba fedha za wakulima wa korosho mtwara na Lindi, ameshind kila eneo linalogusa makundi ya jamii
 
Umeongea ukweli mtupu, ila kuna watu humu watakuja wanafikiri kwa kutumia midomo watakuja kukutukana.
Ndugu zangu,

Napenda kumshukuru Mungu kwa kunipa siku ya leo.

Katika uchaguzi ambao niliufuatilia kwa karibu kubwa sana tangia nianze kufuatilia siasa na wanasiasa, basi ulikuwa ule wa 2015. Ulikuwa uchaguzi wa kipekee sana kuwahi kutokea hapa nchini, na ulikuwa uchaguzi mgumu sana kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ila CCM walicheza karata kubwa sana ya kumweka Mh. Magufuli. Kwa kutumia rekodi za nyuma za umahili wake wa uchapazi kazi katika kila wizara aliyoteuliwa, ilinifanya kura yangu nimpe huyu ndugu. Na kama CCM wangempitisha Membe, basi kura yangu ingeenda kwa Mh. Lowasa. Na itachukua miaka mingi sana kuwa na uchaguzi kama ule.

Kamari ambayo waliicheza Ukawa, hasa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa kumkaribisa Mh. Lowasa (), Mh. Mbowe alikuwa na furaha mno na confidence kubwa sana huku alikuwa anajua kabisa Lowasa anaenda kuingia Ikulu, kulingana na nyota ya siasa amabayo Lowasa alikuwa nayo ambayo ilisababishwa na kuwa na maandalizi ya muda mrefu kwa nafasi hii kubwa kabisa katika kulitumikia taifa. Kama ukisikia mafuriko ya watu kipindi cha Mh. Lowasa, basi yalikuwa mafuriko kwelikweli, Tundulisu hawezi hata kumfikia nusu yake ()

().

Kipindi hiki naona kama Mh. Mbowe hana ile confidence kabisa ambayo aliyokuwa nayo 2015 kipindi cha Mh. Lowasa (). Kwa kutumia uwezo wangu, ambao amenipa mwenyezi Mungu wa kusoma saikolojia ya mtu, yafuatayo yanaweza kuwa ndio sababu ya Mh. Mbowe kuloose confidence kabisa kuelekea uchaguzi mkuu, yaani hajui kinachoenda kutokea. TL alipokuwa Arusha kusaka wadhamini, wananchi walimtaka Mbowe aongee, Mbowe akaja na hakusema chapuo lolote kwa TL, badala yake alitaja kauli mbiu tu (). Kwa jambo hili kwangu linaweza kubeba hoja zifuatazo:

  • Mbowe alikuwa anajua kabisa kuwa watu walikuwa wanamtaka Tundulisu ili aweze kupeperusha bendera ya uraisi Chadema kwa sababu ya lile tukio la mashambulizi dhidi yake ili kulenga kura za huruma ya wananchi, ila bado najiuliza kwa nini aliamua naye kutangaza nia, baadae akaacha?
  • Au Mbowe aliogopa aibu ya kushindwa na Lisu, maana asilimia kubwa ya wajumbe walikuwa wanataka Lisu apeperushe bendera?
  • Kuna uwezekano Mh. Mbowe alikuwa anajua kabisa, Tundulisu hana uwezo wa kupambana na Magufuli, ila kura atakazopata zitakuwa za huruma ya wananchi, ila kwakuwa mkutano mkuu ulikuwa unamtaka TL, basi hakuwa na namna yoyote zaida ya kuunga mkono
Namalizia nakusema, Mh. Mbowe hana confidence kabisa kwenye uchaguzi huu, japokuwa wengine wanaonekana wanayo, ila ni tofauti sana na huyu ndugu, anajua kabisa Lisu hawezi kuifikia level ya Lowasa, hata nusu yake hawezi, ila ataleta upinzani angalau kidogo tu.

Asante,
Nawasilisha
Kejuu
 
Amefanya nini cha maana mpaka awe the best . ameshindwa kuongeza mishahara miaka 5 , amaeiba fedha za wakulima wa korosho mtwara na Lindi, ameshind kila eneo linalogusa makundi ya jamii
Dogo tafiti ndugu yangu ujue unachoongea
 
Mahela yote yale mliogawa ila bado mnawasi wasi na Lissu ? Upinzani haukwepeki.
CCM waliomba sana chadema wampitishe Nyalandu kwa sababu Ndio walikuwa wanamuweza. Sasa wasiye mtaka kapitishwa,kila mmoja Analia, nape Amalia, bashiru Analia, Pole pole Analia. Hii inatokana na Lisu hana makando kando hivyo hoja yao imebaki moja tu ametumwa na mabeberu ndio watakayoinandi majukwaani. Lakini hoja kama hoja CCM hawana zaidi ya hiyo. Kwa sababu LISSU ni msafi kuliko Magu
 
Back
Top Bottom