Mbowe jifunze haya kwa mwenzako Zitto

ACT sio tishio kwa ccm, ni pro ccm, kama ilivyokuwa cuf, chadema ndio mwiba kwa ccm, More hata akikaa kwenye uongozi kwa miaka 60+, hakuna shida, hatungi Sera, hakusanyi Kodi!
Cha kushangaza ni ccm wapo msdsrsksni kwa miaka 60+na shida za wansnchi hawazijuhi! Samia anataka aanze kusikiliza shida ya kila MTU mmoja mmoja! So pathetic! "Wengi wansotaka mbowe,aachie uongozi ni ccm, sio chadema"
Uchawi mtupu
 


Sijasoma, kwa maelezo ya kichwa cha habari wewd ni Mpumbavu
 
Ni mpumbavu pekee ndo anaweza kamshauri Mbowe ajifunze kitu kutoka kwa Zitto!
Kifupi tu ni kwamba Zitto ni project ya ccm kwa ajili ya kudhoofisha upinzani.
Kwa Zanzibar ccm wamefanikiwa kwa 100%!
Meowed aweza jiuzulu hata kesho pakitangazwa kuwa Ruzuku za chama hazitakuweko anaondoka.Lakini as long as ruzuku ipo .Meowe hatching ngazi
 
Kama kikundi chao hakina democracy Hawawezi wakawapa watanganyika Democracy yoyote Wapigaji tuu
 
Hapo kwenye no 5 wewe na zitto mkawashauri ccm wenzenu wang'atuke chama kina miaka 70 wananchi kunywa chai ni hanasa.
 
Kumbe Zitto na ACT wameshawahi kupitishwa kwenye nyakati ngumu na CCM, nikumbushe ilikuwa lini kwenye tukio gani?

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Wewe mzee tunakuheshimu huku jf
Mbona ccm hawatak kuachia madaraka au hakuna vyama vingine?
Hizi ndiyo tabia zenu View attachment 2926695
Mkuu mbarika, asante kwa kuniheshimu, Mbarika ubarikiwe sana. Sio CCM hatutaki kuachia madaraka, bali Tanzania hakuna chama, au vyama mbadala kuipumzisha CCM.

Chadema ndicho chama cha upinzani kinachoonyesha angalau angalau Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza? ila Chadema bado sana.


Kikitokea au vikitokea vyama mbadala, CCM itapumzishwa kwa amani.
P
 
Mleta hoja; Zitto kule ACT alishapoteza uelekeo!
Wapemba walishamuona hafai kabisa kuwa nao tena!
Zitto hakuwa na chaguo lingine zadi ya kuondoka!
Mbowe ni ICON ya CDM na anapendwa kwa namna anavyokivusha CHAMA.

Nakushauri kakojoe ukalale
 
Mmewahi kujiuliza kwanini Zitto hajawahi kupitia magumu waliyopitia wapinzani wengine kama vile kupigwa, kuwekwa ndani, kubambikiziwa kesi na mateso mengi sana?
Zitto hakuwa mwanasiasa wa kweli hata kdg BALI "mfanyabiashara wa kisiasa"
Waliosoma "Cuba" wamenilewa!
 
Huwezi kumfananisha Zitto na Mbowe
1. Zitto ni pandikizi la Ccm
2. Zitto huwa ana nunulika
3. Zitto ni ndumi la kuwili ana bei.
4. Zitto hana uchungu na Watanzania
5. Zitto ni binafsi

Hayo yote hapo juu Mbowe hana hata moja. Sasa una mfananishaje Mbowe mwamba na mnafiki Zitto.
Hebu jiulize kwanini Chadema walimkimbiza?
 
CDM ni kikundi kimeundwa ki ukoo ,kina maslahi ya ukoo , kiongozi wa Ukoo ili kutetea masilahi ya ukoo sasa chokoza Nyuki ule Asali
Lumumba buku 7 fc mnateseeeka haswa,mwamba bado yupoyupo sanaa
 

Mbona hushauri Lipumba au Mzee wa Mapesa aka Mzee Cheyo!!
 
Wewe mwenyewe muhun hukuna mnachofanya mnawaza ngono tuu
Mmeambukiza watoto wa watu ukimwi Sana

Mmekuwa kama mbwa asiyekuwa na meno
hizo ni chuki binafsi, mihemko na ghadhabu za maneno ya mkosaji πŸ’

ugumu wa maisha, kufilisika hoja au cha kusema ni kitu mbaya sana,

hata hivyo bado iko fursa ya kutatua changamoto kwa hekima na busara bila kumnenea mtu ubaya au uongo bila manufaa yoyote πŸ’

upotoshaji isiwe ndio ujasiri wa kuondoa stress, hapana unajizidishia sonona πŸ’

kumbuka, siku zote aliwazalo mjinga ndilo litakalo mtokea πŸ’
 
Mbowe anawasumbua kweli.

Siku ambayo mtamchagua Mwenyekiti wa Chama ambae sio Rais (ukiondoa Mwalimu) ndio mtaweza kumnyooshea kidole Mbowe.

Amandla...
Kile chama cha ukoo hawezi kutoka madarani
Mbowe ni mungu wa CHADEMA, kwa sababu chama ni baba mkwe wake hawezi kumwachia chama MTU mwingine.

Kumbe Zitto na ACT wameshawahi kupitishwa kwenye nyakati ngumu na CCM, nikumbushe ilikuwa lini kwenye tukio gani?

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Watetezi wa Mbowe ,kwani bila yeye chama hakiwezi kwenda? Yule kawafanya misukule hakuna wa kumtoa
 
Kile chama cha ukoo hawezi kutoka madarani



Watetezi wa Mbowe ,kwani bila yeye chama hakiwezi kwenda? Yule kawafanya misukule hakuna wa kumtoa
Wewe uwepo wake unakunyima nini? Mbona hamumlalamikii mshirika wenu mzee Cheyo?

Na hata huko kwenu mbona huko juu wengi ni wale wale au ndugu zao? Mnasema CDM ni ya ukoo wakati kwenu mpaka wajukuu wana nafasi za uongozi!

Mbowe amekifikisha chama mbali na wanachama wenzake ndio wataamua kama aendelee kuwaongoza au la.

Amandla...
 
zito mhuni tuu anataka akagombee ubungee
Uongozi wa Chama ungemkataza kugombea ubunge?

2015 alikuwa mbunge akiwa kc
2020 kagombea ubunge akiwa Kc
Iweje 2025 uongozi uumzuie?

Kubalini kujifunza mazuri kwa wanaofanya mazuri
 
Malaya una hoja gani wewe? Yaani MBOWE ajifunze USALITI kwa ZITTO.?Pumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…