Tetesi: Mbowe kujiuzulu mwezi Novemba

Status
Not open for further replies.
WanaJamvi,

Habari iliyoandikwa na MwanaHalisi leo "JPM na Kinana Hapatoshi' ndio iliyopelekea watu wa hapo Lumumba kujaribu kuipoteza kwa kuzusha habari hii ya uongo

Ni mbinu ya kitoto sana.İmeandikwa Kinana anapanga kujiuzulu
kwi kwii kwiiii kwiii
 
Looking for scapegoat . mwanahalisi kagusa mahala Fulani !!!
 
Na hakuna mtu mwingine yeyote anayeruhusiwa kugombea nafasi ya uenyekiti isipokua yeye pekee!
 
Humjui Mbowe wewe......!
 
Kwa hiyo mmekubaliana na Wakudadavua jinsi ya kutoka?
Mbona mnashida sana?
 
Kijana kwani hofu inatoka wapi kama Mbowe akijiuzulu?...hapa ndipo inapokuja hoja...Lowassa na Mbowe ni chadema,Chadema ni Lowassa na Mbowe!
 
Naona mmeamua kujibu mapigo baada ya ule uzi wa Kinana kujiuzulu kushika kasi kama moto wa msituni - kweli buku saba taabu sana maana kuzipata lazima utoe habari - kwa vyovyote vile!
 
Ikitokea nakata gogo toka Mara mpaka Dar, kwa huyu mpenda madaraka haiwezi tokea
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…