barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
HATIMAYE TUKIO LINGINE LIMEFIKA LA WATU KUPATA ANGALAU AIRTIME, heko kamanda Mbowe kwa kudandia matukio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ah! Jifunze ku quote bhana! Unapotezea watu muda.Watu wa aina ya Mbowe ndo hugawa nchi zao kwa wakoloni...
Usijisahaurishe mapema hivyo
Mtaweza wakati hamna uzalendo? kama mtaweza poa.
Hata hivyo tumechoka na misaada yenye masharti wakae nao tu we can make on our own with 1.3 trillion Month. Kwa pamoja tukatae kushobokea weupe
Uliambiwa huo ni mkopo?Mi nadhani Mbowe angepaswa kuliongelea suala la ZnZ bila kuhusisha fedha za MCC Kwani km taifa tunapaswa kujenga uchumi wetu nasi kusubiri wadhamin watupatie hii ni aibu kwa upinzani kuzungumzia mkopo km faida kwa taifa bila kuja na mikakati ya nn kifanyike ili taifa lisonge mbele bila kutegemea misaada
Mbowe na chadema hawana pakushika wamebaki kudandia mambo tuuHabari za Mbowe tumeshazichoka umu, hatuna time na fisadi na muuza chama. Mods unganisha hii.
Kupigania wanyonge kwa kulilia misaada ya wamarekani!!! Hamjielewi Mnataka nini!!
You don't know what you are talking about. How many years will it take before your wishes come true?
Hata hivyo tumechoka na misaada yenye masharti wakae nao tu we can make on our own with 1.3 trillion Month. Kwa pamoja tukatae kushobokea weupe
Habari za Mbowe tumeshazichoka umu, hatuna time na fisadi na muuza chama. Mods unganisha hii.
kula like 1000
Asante mkuu..... ......