Ndugu zangu,
Kwanza nipende kumshukuru Mungu kwa nipa siku hii ya leo.
In a nutshell,
Post ya Mh. Mbowe kwenye twitter ni matusi kwa vyama vingine vya siasa nakuviona ni second class political parties.
Asante,
Nawasilisha,
Kejuu
Kwanza nipende kumshukuru Mungu kwa nipa siku hii ya leo.
In a nutshell,
Post ya Mh. Mbowe kwenye twitter ni matusi kwa vyama vingine vya siasa nakuviona ni second class political parties.
- Kwani uchaguzi huu ni CCM vs CHADEMA?
- Mbowe amekuwa msemaji wa Vyama vingine vya Siasa?
- Vitisho hivi kwa NEC au ndiyo jeuri ya mkono wa beberu?
Asante,
Nawasilisha,
Kejuu