UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Ina maana wanapomshangilia mama kwa kila analofanya wanataka aendelee kufanya hivyo ili ashindwe nao wapate cha kumsema?Hii ndio furaha ya upinzani, kuona serikali ina haribu na kufeli maana kwao ndio points za ushindi hizo.
Wame mute wanasubiri uteuziHapa hutaona Lissu, Lema wala Mbowe wakilaani shughuli za wananchi kusimama na kupanga foleni ya kununua umeme.!!
Ebu ondoa taka zakoMbona kwenye madini alikemea akasema tutashitakiwa MIGA?
Sasa ni kipindi cha wananchi kuwa wapinzani wa serikali badala ya chadema. Ili wananchi waone na waonje utamu wa wizi wa kura pamoja na umuhimu wa katiba mpya.Kweli tumefikia hatua ya kupanga foleni kununua umeme?
Yaani kwa wakati mmoja mfumo wa TRA unasumbua, mfumo wa bandari unasumbua, mfumo wa LUKU unasumbua na TFF nao wamekula hela za wananchi.
Hapa hutaona Lissu, Lema wala Mbowe wakilaani shughuli za wananchi kusimama na kupanga foleni ya kununua umeme.!!
Hiyo tanesco imejaa sukuma gang ifumuliwe.Ila Mama awe mkali.La sivyo kutakua na genge la watu watakaojaribu kufanya kila njia kumkwamisha.Aache upole upole uliopitiliza .Oooohooo!!!
kwani wewe mwendazake,ALIKUFANYA aje???Team Legacy ya mwenda zake..
ila mtoa Post unaugua Posttraumatic stress disorder au Obsessive compulsive disorder...
kuna kitu CHADEMA walikufanyia.. kina kuuma mpaka leo..
Kwanini CCM wasilaani na wakati wapinzani wamechelewesha maendeleo?Kweli tumefikia hatua ya kupanga foleni kununua umeme?
Yaani kwa wakati mmoja mfumo wa TRA unasumbua, mfumo wa bandari unasumbua, mfumo wa LUKU unasumbua na TFF nao wamekula hela za wananchi.
Hapa hutaona Lissu, Lema wala Mbowe wakilaani shughuli za wananchi kusimama na kupanga foleni ya kununua umeme.!!
Safi sn nchi ya viwanda
CHADEMA imekufa, watakemeaje?Kweli tumefikia hatua ya kupanga foleni kununua umeme?
Yaani kwa wakati mmoja mfumo wa TRA unasumbua, mfumo wa bandari unasumbua, mfumo wa LUKU unasumbua na TFF nao wamekula hela za wananchi.
Hapa hutaona Lissu, Lema wala Mbowe wakilaani shughuli za wananchi kusimama na kupanga foleni ya kununua umeme.!!
Saa hizi ndio unaona umuhimu wao? PambaneniKweli tumefikia hatua ya kupanga foleni kununua umeme?
Yaani kwa wakati mmoja mfumo wa TRA unasumbua, mfumo wa bandari unasumbua, mfumo wa LUKU unasumbua na TFF nao wamekula hela za wananchi.
Hapa hutaona Lissu, Lema wala Mbowe wakilaani shughuli za wananchi kusimama na kupanga foleni ya kununua umeme.!!
Dah jibu tamu kweliCHADEMA imekufa, watakemeaje?
Ukali haupo kweny good leadership, so kua mkali haikufanyi uwe kiongoz bora!! Kuna kanuni na taratibu ambazo hufuatwa ili kuendesha nchiIla Mama awe mkali.La sivyo kutakua na genge la watu watakaojaribu kufanya kila njia kumkwamisha.Aache upole upole uliopitiliza .Oooohooo!!!
Yaani ndani ya CCM kuna baadhi ya watu ni ng'ombe kabisaEti leo pro Magufuli mnataka sapot ya Mbowe na Lema mliowafunga gerezani na Liaau mliyempiga risasi
Ushindi bila kombeHii ndio furaha ya upinzani, kuona serikali ina haribu na kufeli maana kwao ndio points za ushindi hizo.
SawaView attachment 1791457Ukali haupo kweny good leadership, so kua mkali haikufanyi uwe kiongoz bora!! Kuna kanuni na taratibu ambazo hufuatwa ili kuendesha nchi
Wana majenereta hao. Wacha wazee wa watu wapumzike. Walinyanyaswa sana kwenye nchi yao. Nadhani sasa hivi bado wanatafakari kilichotokea wanabaki kumshangaa Mungu!!!Kweli tumefikia hatua ya kupanga foleni kununua umeme?
Yaani kwa wakati mmoja mfumo wa TRA unasumbua, mfumo wa bandari unasumbua, mfumo wa LUKU unasumbua na TFF nao wamekula hela za wananchi.
Hapa hutaona Lissu, Lema wala Mbowe wakilaani shughuli za wananchi kusimama na kupanga foleni ya kununua umeme.!!
Umesahau daftari la kaya tulilokuwa tunajaziwa na mjumbe wa nyumba kumi. Anakupangia kilo za kununua!!!!Sisi tulilala na Koroboi na Asubuhi tulikuwa tunapanga foleni ya Sabuni ya kuogea
Tulikuwa tunajaza fomu ili kununua dawa ya Mswaki
Acha kudekadeka