- Thread starter
- #21
Wanaopigiana Makelele ni Vyura wao 😀
Walikwambia wana vyura ndugu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaopigiana Makelele ni Vyura wao 😀
Ni vizuri chama kuchukua hatua kudhibiti nidhamu ndani ya chama.
ANGALIZO: Hatua hizo zifuate HAKI ya mwanachama kuitwa na kuhojiwa, kamwe hatua hizo zisiwe chanzo Cha kuminya DEMOKRASIA na uhuru wa Kutoa maoni.
Tutafika tu.
CHADEMA inaweza kufanya vizuri zaidi na mno, kuliko kumwendekeza mhuni yeyote.[emoji419][emoji375]
CCM ndio wanafanya fitina zote hizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaishi kwa kukariri!
Wao wenyewe ndio walimvimbisha kichwa
Upo sahihi kabisaa aisee hii ni mistake wamefanya wao wenyewe Acha aendelee kuharibu mambo !!!
Wameshauriwa sana, chama cha siasa kimejaa vijana wa hovyo waliojaa matusi mitandaoni kama akina Martin. Na kwa sasa hao watu wakisema jambo kinatafsiriwa na wengi kuwa ndio mwelekeo wa chama.
Tutajitahidi kuwaelimisha mpaka wataelewa na kubadilika maana kwao wanaona maisha bila ccm maisha hayawezi songa,dhana hiyo tunastahili kwa pamoja kutoa darasa ili kupunguza idadi ya wahuni.
Ngoja tuone...
Nimesema hivyo nina hakika,we nenda kule twitter mseme Mbowe kwa jambo la ukweli utaona hizo comment na pia mseme na Lissu kwenye jambo pia la ukweli au hata uongo utaona comment zake ,kisha rudi hapa tujadili.Wahuni hawana vitambulisho wala utambulisho. Kulikoni kutaka kuwafungamanisha na awaye yote ambaye hajasema au kukwambia wahuni unaowasema ni wake?
Nikukumbushe pia, mada haihusu uchaguzi. Zaidi sana nikuitishe kujikita kwenye mada Mkuu.
Vinginevyo maCCM makaanga mbuyu huwa hayachelewi ku kujikaribisha "uninvited" na upotoshaji wao uliopitiliza.
Waungwana imhotep, Elli, Zawadini, denoo JG, Pascal Mayalla, WALOLA VUNZYA, Rabbon, Pakawa, johnthebaptist na wenye nchi wenzangu angalau kupeana mashamba darasa wandugu.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Yupo humu ,huyo mtu yeye kila kitu anajua,,siku moja kuna jamaa alimvaa kumbe anamjua akaanza kumtolea siri jinsi anavyodandia mali za wanaume wenzake na kutamba nazo mjini ikiwemo magari kwa mara ya kwanza alishindwa hiyo vita.Kuna mjinga wao mmoja yupo kule twitter kazi yake ni kuwatukana watu mbalimbali wakiwemo viongozi wastaafu kama chadema wangekuwa watu makini Yule kijana mjinga angeshafukuzwa kitambo.
Huyu mjinga anakatisha Tamaa Sana na siasa zake za matusi
CHADEMA chukueni hatua dhidi ya kijana wenu Martin Masese huyu jamaa anawaharibia Sana na amevunja umoja wenu na wanachama wenu
Chama makini hakiwezi kuwa na wajinga kama huyo na msitegemee vijana kuwaunga mkono Kwa wapumbavu kama Martin
Lissu mpaka naye akasema now chama kuna vijana wanakiharibu hawataki kukosolewa wanataka kukigawa chama.Kuliko Makonda na Nape.
Usifiche maradhi"Huu ni ushauri wa bure kwenu waungwana."
Ni muhimu kuyatambua yafuatayo:
1. CHADEMA kimekuwa ni chama chaguo la wengi kwa muda mrefu.
2. Si kwa sababu ni chama bora sana, ila ni kwa kuwa kinayo nafasi ya kufanya maboresho.
3. Kwamba ndani ya changamoto zilizopo, hatimaye tutafika.
4. Haipo siri kuwa katika siku za karibuni hali inataka kuelekea kubaya badala ya kuliko tarajiwa (changamoto safarini).
5. Kauli za kushangaza (kibri, matusi, kejeli, nk) kutokea kwa baadhi ya wenye kujinasibu kuwa wanachama, zimekuwa zikisikika.
6. Imekuwa ni kama zogo la magenge ya wahuni.
7. Hali hii haiwezi kuwavutia wenye akili zao kwa binafsi zao au hata kwa makundi yao.
9. Ukombozi unahitaji uungwaji mkono kutokea makundi mbalimbali hasa asasi za dini, kiraia, nchi, vyama washirika, nk.
10. Uhuni au wahuni hawawezi kuwa sehemu, kwenye uvutiaji wa uungwaji mkono huo.
11. Hali hii haipaswi kuachwa kuendelea au hata kuvumiliwa.
12. Ni muhimu zikachukuliwa hatua sahihi zenye kuonekana ili kuweka nidhamu kamili chamani.
13. Wahuni hawawezi kuachwa kujinasibu kwa niaba ya chama kwenye lolote lisilokuwa na ridhaa ya chama.
14. "Lissu, Mbowe chukueni jukumu hili sasa."
CHADEMA inaweza kufanya vizuri zaidi na mno, kuliko kumwendekeza mhuni yeyote.
Mhuni ni mhuni tu!
"Huu ni ushauri wa bure kwenu waungwana."
Ni muhimu kuyatambua yafuatayo:
1. CHADEMA kimekuwa ni chama chaguo la wengi kwa muda mrefu.
2. Si kwa sababu ni chama bora sana, ila ni kwa kuwa kinayo nafasi ya kufanya maboresho.
3. Kwamba ndani ya changamoto zilizopo, hatimaye tutafika.
4. Haipo siri kuwa katika siku za karibuni hali inataka kuelekea kubaya badala ya kuliko tarajiwa (changamoto safarini).
5. Kauli za kushangaza (kibri, matusi, kejeli, nk) kutokea kwa baadhi ya wenye kujinasibu kuwa wanachama, zimekuwa zikisikika.
6. Imekuwa ni kama zogo la magenge ya wahuni.
7. Hali hii haiwezi kuwavutia wenye akili zao kwa binafsi zao au hata kwa makundi yao.
9. Ukombozi unahitaji uungwaji mkono kutokea makundi mbalimbali hasa asasi za dini, kiraia, nchi, vyama washirika, nk.
10. Uhuni au wahuni hawawezi kuwa sehemu, kwenye uvutiaji wa uungwaji mkono huo.
11. Hali hii haipaswi kuachwa kuendelea au hata kuvumiliwa.
12. Ni muhimu zikachukuliwa hatua sahihi zenye kuonekana ili kuweka nidhamu kamili chamani.
13. Wahuni hawawezi kuachwa kujinasibu kwa niaba ya chama kwenye lolote lisilokuwa na ridhaa ya chama.
14. "Lissu, Mbowe chukueni jukumu hili sasa."
CHADEMA inaweza kufanya vizuri zaidi na mno, kuliko kumwendekeza mhuni yeyote.
Mhuni ni mhuni tu!
Chadema ni chama mfu wacha kupoteza muda wako bure"Huu ni ushauri wa bure kwenu waungwana."
Ni muhimu kuyatambua yafuatayo:
1. CHADEMA kimekuwa ni chama chaguo la wengi kwa muda mrefu.
2. Si kwa sababu ni chama bora sana, ila ni kwa kuwa kinayo nafasi ya kufanya maboresho.
3. Kwamba ndani ya changamoto zilizopo, hatimaye tutafika.
4. Haipo siri kuwa katika siku za karibuni hali inataka kuelekea kubaya badala ya kuliko tarajiwa (changamoto safarini).
5. Kauli za kushangaza (kibri, matusi, kejeli, nk) kutokea kwa baadhi ya wenye kujinasibu kuwa wanachama, zimekuwa zikisikika.
6. Imekuwa ni kama zogo la magenge ya wahuni.
7. Hali hii haiwezi kuwavutia wenye akili zao kwa binafsi zao au hata kwa makundi yao.
9. Ukombozi unahitaji uungwaji mkono kutokea makundi mbalimbali hasa asasi za dini, kiraia, nchi, vyama washirika, nk.
10. Uhuni au wahuni hawawezi kuwa sehemu, kwenye uvutiaji wa uungwaji mkono huo.
11. Hali hii haipaswi kuachwa kuendelea au hata kuvumiliwa.
12. Ni muhimu zikachukuliwa hatua sahihi zenye kuonekana ili kuweka nidhamu kamili chamani.
13. Wahuni hawawezi kuachwa kujinasibu kwa niaba ya chama kwenye lolote lisilokuwa na ridhaa ya chama.
14. "Lissu, Mbowe chukueni jukumu hili sasa."
CHADEMA inaweza kufanya vizuri zaidi na mno, kuliko kumwendekeza mhuni yeyote.
Mhuni ni mhuni tu!
Hebu nitajie members wa kundi la Mbowe, na members wengine wa kundi la Lissu nami niwafahamu..Wahuni wote wenye matusi wapo upande wa Mbowe yaani ukimgusa mbowe utatukanwa mpaka basi. Lissu nina aminj hata uchaguzi ujao ana kazi kubwa kushinda maana yeye hana siasa Za kinafki kama za viongozi wengine.
Kama hiki ndio kigezo chako cha kusema Chadema kuna makundi umefeli, ina maana twitter kumbe inaongozwa na Mbowe na kundi lake, hilo sio kosa lake, na iweje hivyo, wakati kila siku tumekuwa tukiaminishana Lissu hana mpinzani, anakubalika kote, sasa iweje kule twitter akose watetezi?Nimesema hivyo nina hakika,we nenda kule twitter mseme Mbowe kwa jambo la ukweli utaona hizo comment na pia mseme na Lissu kwenye jambo pia la ukweli au hata uongo utaona comment zake ,kisha rudi hapa tujadili.
Hivi katika chama cha siasa kipi bora, kuwa na wahuni wengi au kuwa na wanafiki wengi?Unasema ni chama bora, alafu kwenye andiko lako unasema kimejaza wahuni!
Mbona unajichanganya sana?
Kuna mjinga wao mmoja yupo kule twitter kazi yake ni kuwatukana watu mbalimbali wakiwemo viongozi wastaafu kama chadema wangekuwa watu makini Yule kijana mjinga angeshafukuzwa kitambo.
Huyu mjinga anakatisha Tamaa Sana na siasa zake za matusi
CHADEMA chukueni hatua dhidi ya kijana wenu Martin Masese huyu jamaa anawaharibia Sana na amevunja umoja wenu na wanachama wenu
Chama makini hakiwezi kuwa na wajinga kama huyo na msitegemee vijana kuwaunga mkono Kwa wapumbavu kama Martin