Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Nipo msela ila aisee chadema ziiiiii πππ hamna sera mpya tulieni tul8 tusije wapigisha kichura na tuna tinga tinga karudishwa madarakaniMpigania haki yupi hakupata misuko suko ya kuwekwa mbaroni na wengine hata kuuwawa?
Ni Mandela, Nyerere, Kenyatta, Seif, Mtikila, Hichilema, nk? Mrejesho wako tafadhali.
Usiku saa sana hizi. Isije kuwa "kibongo bongo" waandika ukiwa usingizini na hapo upo ndotoni?
Usiige, wengine tuko night shift, macho makavu!
Nipo msela ila aisee chadema ziiiiii πππ hamna sera mpya tulieni tul8 tusije wapigisha kichura na tuna tinga tinga karudishwa madarakani
Acha tu sasa tufanyaje huyu mtu ni nuksi hujui tu
Mtabaki Wabwabwajaji na watoa taarifa
Acha tu sasa tufanyaje huyu mtu ni nuksi hujui tu
Asante ila nipo mbali kwa sasaHao ni wa kukemea mapema asubuhi.
Mhuni ni mhuni tu. Ni wahuni! --- Aliskika Polepole akisema.
Karibu Mwakaleli kuna jambo letu:
Mwabukusi: Maandamano yapo 9/11 kama ilivyopangwa
Asante ila nipo mbali kwa sasa
Kwa Mbowe anza na Martin,Bony na Yule bint lydia kama sikosei wengine ukienda twitter utawajua. Lisu yeye sijaona shabiki zake maana anapiga kwenye mshono bila kujali kama yupo tofauti na mwenyekiti wake.Hebu nitajie members wa kundi la Mbowe, na members wengine wa kundi la Lissu nami niwafahamu..
Muda utaongea mkuu,tujipe subra(subira).Kama hiki ndio kigezo chako cha kusema Chadema kuna makundi umefeli, ina maana twitter kumbe inaongozwa na Mbowe na kundi lake, hilo sio kosa lake, na iweje hivyo, wakati kila siku tumekuwa tukiaminishana Lissu hana mpinzani, anakubalika kote, sasa iweje kule twitter akose watetezi?
Usichanganye mtu kutoa maoni yake na kuwa shabiki wa fulani, utambue, kama mtu huyo leo yuko upande wa Mbowe kwa jambo moja, kesho mtu huyo huyo anaweza kuwa upande wa Lissu kwa upande mwingine, usitengeneze makundi simply because fulani anatetea jambo usilopenda litetewe, au kama anafanya hivyo, mpinge kwa hoja, lakini usilazimishe wote tufanane mawazo kila wakati.