Mbowe, Lissu, Dkt Kitima, Jenerali Ulimwengu, Dkt Slaa - ni wapotoshaji kuhusu DP World?

Mbowe, Lissu, Dkt Kitima, Jenerali Ulimwengu, Dkt Slaa - ni wapotoshaji kuhusu DP World?

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
Taifa la Tanzania limebahatika kuwa wa baadhi ya watu wenye ushawishi ktk jamii - ingawa wakati mwingine watu hawa huweza kupotosha jamii kwa maslahi ya vyama au madhehebu yao.

Hili suala DP World kuwekeza ktk bandari zetu halina hasara kwetu kama Taifa. Lina faida nyingi sana kwetu tofauti na jinsi linavyoumuliwa. CCM hakiwezi kuunza nchi, CCM hakiwezi kuingia ktk Mikataba inayotutia hasara, CCM hakiwezi kuingia Mikataba mibovu.

Kwa hiyo watanzania kwa umoja wetu tuunge Mkono juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Tanzania kwanza
2023
 
Taifa la Tanzania limebahatika kuwa wa baadhi ya watu wenye ushawishi ktk jamii - ingawa wakati mwingine watu hawa huweza kupotosha jamii kwa maslahi ya vyama au madhehebu yao.

Hili suala DP World kuwekeza ktk bandari zetu halina hasara kwetu kama Taifa. Lina faida nyingi sana kwetu tofauti na jinsi linavyoumuliwa. CCM hakiwezi kuunza nchi, CCM hakiwezi kuingia ktk Mikataba inayotutia hasara, CCM hakiwezi kuingia Mikataba mibovu.

Kwa hiyo watanzania kwa umoja wetu tuunge Mkono juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Tanzania kwanza
2023
Kwakua CCM imeshindwa kuijenga nchi kwanini isimtafute mwekezaji ainunue CCM.
 
Kwakua CCM imeshindwa kuijenga nchi kwanini isimtafute mwekezaji ainunue CCM.
Hakuna justification kuwa CCM imeshindwa watanzania walitaka lami leo hazijajengwa?

Watanzania walitaka umeme leo bado mnachaji simu nchini Kenya?

# Watanzania mkitaka maji leo bado mnakoswa maji?

# Watanzania mkitaka elimu leo bado mnatembea umbali mrefu kufuata elimu?

# Sasa CCM imeshindwa wapi?
 
Taifa la Tanzania limebahatika kuwa wa baadhi ya watu wenye ushawishi ktk jamii - ingawa wakati mwingine watu hawa huweza kupotosha jamii kwa maslahi ya vyama au madhehebu yao.

Hili suala DP World kuwekeza ktk bandari zetu halina hasara kwetu kama Taifa. Lina faida nyingi sana kwetu tofauti na jinsi linavyoumuliwa. CCM hakiwezi kuunza nchi, CCM hakiwezi kuingia ktk Mikataba inayotutia hasara, CCM hakiwezi kuingia Mikataba mibovu.

Kwa hiyo watanzania kwa umoja wetu tuunge Mkono juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Tanzania kwanza
2023
6, 000, 000/- unaifanyia kazi sasa
 
Taifa la Tanzania limebahatika kuwa wa baadhi ya watu wenye ushawishi ktk jamii - ingawa wakati mwingine watu hawa huweza kupotosha jamii kwa maslahi ya vyama au madhehebu yao.

Hili suala DP World kuwekeza ktk bandari zetu halina hasara kwetu kama Taifa. Lina faida nyingi sana kwetu tofauti na jinsi linavyoumuliwa. CCM hakiwezi kuunza nchi, CCM hakiwezi kuingia ktk Mikataba inayotutia hasara, CCM hakiwezi kuingia Mikataba mibovu.

Kwa hiyo watanzania kwa umoja wetu tuunge Mkono juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Tanzania kwanza
2023
Hoja yako ni kwamba hao uliowataja ndio wenye ufahamu zaidi kuliko Watanzania wasio na vyeo, madaraka au kujulikana kwa jamii? Jishutumu mwenyewe
 
Ukiachana na mambo ya banndari I've never believed in those guys...huwa nawaona wababaishaji flani hivi.
 
Taifa la Tanzania limebahatika kuwa wa baadhi ya watu wenye ushawishi ktk jamii - ingawa wakati mwingine watu hawa huweza kupotosha jamii kwa maslahi ya vyama au madhehebu yao.

Hili suala DP World kuwekeza ktk bandari zetu halina hasara kwetu kama Taifa. Lina faida nyingi sana kwetu tofauti na jinsi linavyoumuliwa. CCM hakiwezi kuunza nchi, CCM hakiwezi kuingia ktk Mikataba inayotutia hasara, CCM hakiwezi kuingia Mikataba mibovu.

Kwa hiyo watanzania kwa umoja wetu tuunge Mkono juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Tanzania kwanza
2023
Mikataba ya Madini aliyokuja kuivunja JPM aliingia nani ?ya Gas ? Makubaliano ya Bandari Bagamoyo alioupinga JPM nayo nani alikubaliana?
Ya IPTL nayo na Richmond haikuitia nchi hasara? Acha ubwege wa kichawa chawa hadi unapata upofu!
Haipingwi DP W bali aina ya mikataba ya kimangungo Ndio watu now wako aware tofauti na mwanzo

Watu hawapingi tu ila wana experiences ya yaliyotokea nyuma.. walishaumwa na nyoka!
 
Taifa la Tanzania limebahatika kuwa wa baadhi ya watu wenye ushawishi ktk jamii - ingawa wakati mwingine watu hawa huweza kupotosha jamii kwa maslahi ya vyama au madhehebu yao.

Hili suala DP World kuwekeza ktk bandari zetu halina hasara kwetu kama Taifa. Lina faida nyingi sana kwetu tofauti na jinsi linavyoumuliwa. CCM hakiwezi kuunza nchi, CCM hakiwezi kuingia ktk Mikataba inayotutia hasara, CCM hakiwezi kuingia Mikataba mibovu.

Kwa hiyo watanzania kwa umoja wetu tuunge Mkono juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Tanzania kwanza
2023
Wewe kweli ni Mjinga !!.


Umeuliza swali ? Alafu Ndani unapiga blaa blaaa.

Siuonyeshe Kwa namna gan hao watu ni wapotoshaji?.
 
Inawezekana mkataba n mzur kwetu.

Selikali badala ya kuwaandama watu jitahidini kujibu hoja....

Toeni elimu Kwa wananchi ....

Mkataba wenye maslah makubwa Kwa nchi kwnn Bunge limetumia massa tu kuujadili???
swali zuri
 
Taifa la Tanzania limebahatika kuwa wa baadhi ya watu wenye ushawishi ktk jamii - ingawa wakati mwingine watu hawa huweza kupotosha jamii kwa maslahi ya vyama au madhehebu yao.

Hili suala DP World kuwekeza ktk bandari zetu halina hasara kwetu kama Taifa. Lina faida nyingi sana kwetu tofauti na jinsi linavyoumuliwa. CCM hakiwezi kuunza nchi, CCM hakiwezi kuingia ktk Mikataba inayotutia hasara, CCM hakiwezi kuingia Mikataba mibovu.

Kwa hiyo watanzania kwa umoja wetu tuunge Mkono juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Tanzania kwanza
2023
We ni msukuma mtetea waarabu!
 
Back
Top Bottom