Mbowe, Lissu, Dkt Kitima, Jenerali Ulimwengu, Dkt Slaa - ni wapotoshaji kuhusu DP World?

Mbowe, Lissu, Dkt Kitima, Jenerali Ulimwengu, Dkt Slaa - ni wapotoshaji kuhusu DP World?

Taifa la Tanzania limebahatika kuwa wa baadhi ya watu wenye ushawishi ktk jamii - ingawa wakati mwingine watu hawa huweza kupotosha jamii kwa maslahi ya vyama au madhehebu yao.

Hili suala DP World kuwekeza ktk bandari zetu halina hasara kwetu kama Taifa. Lina faida nyingi sana kwetu tofauti na jinsi linavyoumuliwa. CCM hakiwezi kuunza nchi, CCM hakiwezi kuingia ktk Mikataba inayotutia hasara, CCM hakiwezi kuingia Mikataba mibovu.

Kwa hiyo watanzania kwa umoja wetu tuunge Mkono juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Tanzania kwanza
2023
Hao ndio wanaookoa jahazi tuwasikilize kwa umakini mkubwa.
 
Taifa la Tanzania limebahatika kuwa wa baadhi ya watu wenye ushawishi ktk jamii - ingawa wakati mwingine watu hawa huweza kupotosha jamii kwa maslahi ya vyama au madhehebu yao.

Hili suala DP World kuwekeza ktk bandari zetu halina hasara kwetu kama Taifa. Lina faida nyingi sana kwetu tofauti na jinsi linavyoumuliwa. CCM hakiwezi kuunza nchi, CCM hakiwezi kuingia ktk Mikataba inayotutia hasara, CCM hakiwezi kuingia Mikataba mibovu.

Kwa hiyo watanzania kwa umoja wetu tuunge Mkono juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Tanzania kwanza
2023
Yaani wewe ndiyo umewapinga hapa? Hoja zako ziko wapi? Au unatumia uhuru wako wa kikatiba? Wewe na Lusinde mnatofauti gani zaidi ya kutofautiana wingi wa makamasi?

Halafu umesahau kuweka namba yako ya simu hapo chini.
 
Taifa la Tanzania limebahatika kuwa wa baadhi ya watu wenye ushawishi ktk jamii - ingawa wakati mwingine watu hawa huweza kupotosha jamii kwa maslahi ya vyama au madhehebu yao.

Hili suala DP World kuwekeza ktk bandari zetu halina hasara kwetu kama Taifa. Lina faida nyingi sana kwetu tofauti na jinsi linavyoumuliwa. CCM hakiwezi kuunza nchi, CCM hakiwezi kuingia ktk Mikataba inayotutia hasara, CCM hakiwezi kuingia Mikataba mibovu.

Kwa hiyo watanzania kwa umoja wetu tuunge Mkono juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Tanzania kwanza
2023


Acheni kila mtu aongee anachotaka because mfumo ndio uko hivyo

Ilitakiwa before anything kufanyika kwanza wataalamu wetu watupe uelewa, waitishe mikutano, kuwe na majarida, kuwe na makongano

Sasa wataalam wote wapo kimya wamewaachia wanasiasa unategemea nini?

Walishindwa nini since day one kuweka papers on the table na kupata maoni?

Sasa kila kitu done ndio mnakuja kuleta hoja mfu

Acheni waongee the way wao wanaelewa

Hata wewe mwenyewe unaongea mambo ambayo huyajui

Hata nakala ya makubaliano hauna
 
Kwakua CCM imeshindwa kuijenga nchi kwanini isimtafute mwekezaji ainunue CCM.
Kuna kaukweli ndani yake
IMG-20230616-WA0078.jpg
 
Hiyo alama ya kuuliza umeweka ya nini kwenye kichwa cha habari kama umehitimisha hoja kwenye ufafanuzi? Au hujui matumizi yake.!!
 
Hakuna justification kuwa CCM imeshindwa watanzania walitaka lami leo hazijajengwa?

Watanzania walitaka umeme leo bado mnachaji simu nchini Kenya?

# Watanzania mkitaka maji leo bado mnakoswa maji?

# Watanzania mkitaka elimu leo bado mnatembea umbali mrefu kufuata elimu?

# Sasa CCM imeshindwa wapi?
1687262105429.png
 
Taifa la Tanzania limebahatika kuwa wa baadhi ya watu wenye ushawishi ktk jamii - ingawa wakati mwingine watu hawa huweza kupotosha jamii kwa maslahi ya vyama au madhehebu yao.

Hili suala DP World kuwekeza ktk bandari zetu halina hasara kwetu kama Taifa. Lina faida nyingi sana kwetu tofauti na jinsi linavyoumuliwa. CCM hakiwezi kuunza nchi, CCM hakiwezi kuingia ktk Mikataba inayotutia hasara, CCM hakiwezi kuingia Mikataba mibovu.

Kwa hiyo watanzania kwa umoja wetu tuunge Mkono juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Tanzania kwanza
2023
Na ukitoka hapa unaenda kulipwà et???
 
Hiyo alama ya kuuliza umeweka ya nini kwenye kichwa cha habari kama umehitimisha hoja kwenye ufafanuzi? Au hujui matumizi yake.!!
Msamehe ni wengi tu hawajui matumizi ya alama hasa zifiatazo. !, ?, ; na '. Mfano ng'ambo (n'gambo).
 
Sawa jibu hoja zao...

Mosi mkataba ni muda Gani?
Miez 12?
Miaka 5?
Miaka 50?
Toa huu ukakasi kwanza then tuje na hoja nyingine
Chukulia UN. Sisi ni wanachama tangu 1961 bila kutajwa ukomo. Ndani ya UN kuna miradi ya malaria (WHO) miaka 5. Kuna ya mazingira ( UNEP) miaka 3. Na kila miaka 5 kuna Uchaguzi mradi wa UNDP mwaka mmoja. Baadaye itakuja miradi ya ukimwi na ya climate change (miaka mingapi, lini, hatujui). As long as tu wanachama wa UN miradi itazidi kuja, Inshaallah. Hatuna sababu ya kutoka UN wala wao kutufukuza, kwa hiyo kutaka kujibu maswali yako ni vigumu.
 
Chukulia UN. Sisi ni wanachama tangu 1961 bila kutajwa ukomo. Ndani ya UN kuna miradi ya malaria (WHO) miaka 5. Kuna ya mazingira ( UNEP) miaka 3. Na kila miaka 5 kuna Uchaguzi mradi wa UNDP mwaka mmoja. Baadaye itakuja miradi ya ukimwi na ya climate change (miaka mingapi, lini, hatujui). As long as tu wanachama wa UN miradi itazidi kuja, Inshaallah. Hatuna sababu ya kutoka UN wala wao kutufukuza, kwa hiyo kutaka kujibu maswali yako ni vigumu.
Hyo sio UN mkataba ni Tanzania na DP..wewe acha kuish Kwa madhaanio..
 
Taifa la Tanzania limebahatika kuwa wa baadhi ya watu wenye ushawishi ktk jamii - ingawa wakati mwingine watu hawa huweza kupotosha jamii kwa maslahi ya vyama au madhehebu yao.

Hili suala DP World kuwekeza ktk bandari zetu halina hasara kwetu kama Taifa. Lina faida nyingi sana kwetu tofauti na jinsi linavyoumuliwa. CCM hakiwezi kuunza nchi, CCM hakiwezi kuingia ktk Mikataba inayotutia hasara, CCM hakiwezi kuingia Mikataba mibovu.

Kwa hiyo watanzania kwa umoja wetu tuunge Mkono juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Tanzania kwanza
2023
Wapuuzi sana na vile wote ni Wapinzani wanatafuta kiki
 
Badala ya Kujadili Hoja kwanini ni Mzuri unajadili watu kwamba ndio wanapotosha; Jibu Hoja zao ;

Na hoja yangu ni kwamba kwanini tusiwape kule Tanga au Kigoma; na kama issue ni Technical Know How kwanini watu wetu wasipate hio technical know how...

Issue kama ni mitambo wao ndio wana exclusivity ya kununua mitambo ? Kama issue ni kuendesha manpower sisi hatuwezi tunashindwa nini kuwaleta kama expatriates watufundishie watu wetu ?

Sisemi hili ni baya na kila kitu tufanye ndani ila cancer ya kwamba hatuwezi kila kitu na tufanyiwe nachelea kujiuliza ni kipi tunaweza.....

Kama tumeshindwa kuwasimamia watu wetu wenyewe wanapofuja hao tutawabana vipi ? Kama incompetence ni serikali kwa kufanya hivi ndio itakuwa competent....

Yanayofanyika sasa ni kujaribu ku-band aid a leg which needs amputation...
 
Taifa la Tanzania limebahatika kuwa wa baadhi ya watu wenye ushawishi ktk jamii - ingawa wakati mwingine watu hawa huweza kupotosha jamii kwa maslahi ya vyama au madhehebu yao.

Hili suala DP World kuwekeza ktk bandari zetu halina hasara kwetu kama Taifa. Lina faida nyingi sana kwetu tofauti na jinsi linavyoumuliwa. CCM hakiwezi kuunza nchi, CCM hakiwezi kuingia ktk Mikataba inayotutia hasara, CCM hakiwezi kuingia Mikataba mibovu.

Kwa hiyo watanzania kwa umoja wetu tuunge Mkono juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Tanzania kwanza
2023
Kapeleka ripoti Kwa mabwana zake 😁😁
 
Sawa jibu hoja zao...

Mosi mkataba ni muda Gani?
Miez 12?
Miaka 5?
Miaka 50?
Toa huu ukakasi kwanza then tuje na hoja nyingine
Muda katika mkataba ni jambo muhimu sana. Makaratasi yanayoonyeshwa hayana kipengere cha muda. Sawa kabisa. Hii maana yake ni kuwa HAKUNA MKATABA na kwa ujumla kuita hayo makaratasi mkataba ni kupotosha
 
Taifa la Tanzania limebahatika kuwa wa baadhi ya watu wenye ushawishi ktk jamii - ingawa wakati mwingine watu hawa huweza kupotosha jamii kwa maslahi ya vyama au madhehebu yao.

Hili suala DP World kuwekeza ktk bandari zetu halina hasara kwetu kama Taifa. Lina faida nyingi sana kwetu tofauti na jinsi linavyoumuliwa. CCM hakiwezi kuunza nchi, CCM hakiwezi kuingia ktk Mikataba inayotutia hasara, CCM hakiwezi kuingia Mikataba mibovu.

Kwa hiyo watanzania kwa umoja wetu tuunge Mkono juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Tanzania kwanza
2023
Nakubali tena si watu wa kuwasikiliza. Hawafai kabisa na ni maadui wa taifa na utu.
 
Hakuna justification kuwa CCM imeshindwa watanzania walitaka lami leo hazijajengwa?

Watanzania walitaka umeme leo bado mnachaji simu nchini Kenya?

# Watanzania mkitaka maji leo bado mnakoswa maji?

# Watanzania mkitaka elimu leo bado mnatembea umbali mrefu kufuata elimu?

# Sasa CCM imeshindwa wapi?
Ungekua karibu ningekutia vibao,shenz
 
Taifa la Tanzania limebahatika kuwa wa baadhi ya watu wenye ushawishi ktk jamii - ingawa wakati mwingine watu hawa huweza kupotosha jamii kwa maslahi ya vyama au madhehebu yao.

Hili suala DP World kuwekeza ktk bandari zetu halina hasara kwetu kama Taifa. Lina faida nyingi sana kwetu tofauti na jinsi linavyoumuliwa. CCM hakiwezi kuunza nchi, CCM hakiwezi kuingia ktk Mikataba inayotutia hasara, CCM hakiwezi kuingia Mikataba mibovu.

Kwa hiyo watanzania kwa umoja wetu tuunge Mkono juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Tanzania kwanza
2023
Kelele zipo huku JF na katika mitandao mingine ya habari. Hao wenye kujielewa walioongea wakiwa panelists jana ni watu wenye upeo mpana wa mambo.
 
Back
Top Bottom