Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ndio wanaookoa jahazi tuwasikilize kwa umakini mkubwa.Taifa la Tanzania limebahatika kuwa wa baadhi ya watu wenye ushawishi ktk jamii - ingawa wakati mwingine watu hawa huweza kupotosha jamii kwa maslahi ya vyama au madhehebu yao.
Hili suala DP World kuwekeza ktk bandari zetu halina hasara kwetu kama Taifa. Lina faida nyingi sana kwetu tofauti na jinsi linavyoumuliwa. CCM hakiwezi kuunza nchi, CCM hakiwezi kuingia ktk Mikataba inayotutia hasara, CCM hakiwezi kuingia Mikataba mibovu.
Kwa hiyo watanzania kwa umoja wetu tuunge Mkono juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.
Tanzania kwanza
2023
Yaani wewe ndiyo umewapinga hapa? Hoja zako ziko wapi? Au unatumia uhuru wako wa kikatiba? Wewe na Lusinde mnatofauti gani zaidi ya kutofautiana wingi wa makamasi?Taifa la Tanzania limebahatika kuwa wa baadhi ya watu wenye ushawishi ktk jamii - ingawa wakati mwingine watu hawa huweza kupotosha jamii kwa maslahi ya vyama au madhehebu yao.
Hili suala DP World kuwekeza ktk bandari zetu halina hasara kwetu kama Taifa. Lina faida nyingi sana kwetu tofauti na jinsi linavyoumuliwa. CCM hakiwezi kuunza nchi, CCM hakiwezi kuingia ktk Mikataba inayotutia hasara, CCM hakiwezi kuingia Mikataba mibovu.
Kwa hiyo watanzania kwa umoja wetu tuunge Mkono juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.
Tanzania kwanza
2023
Taifa la Tanzania limebahatika kuwa wa baadhi ya watu wenye ushawishi ktk jamii - ingawa wakati mwingine watu hawa huweza kupotosha jamii kwa maslahi ya vyama au madhehebu yao.
Hili suala DP World kuwekeza ktk bandari zetu halina hasara kwetu kama Taifa. Lina faida nyingi sana kwetu tofauti na jinsi linavyoumuliwa. CCM hakiwezi kuunza nchi, CCM hakiwezi kuingia ktk Mikataba inayotutia hasara, CCM hakiwezi kuingia Mikataba mibovu.
Kwa hiyo watanzania kwa umoja wetu tuunge Mkono juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.
Tanzania kwanza
2023
Kuna kaukweli ndani yakeKwakua CCM imeshindwa kuijenga nchi kwanini isimtafute mwekezaji ainunue CCM.
Hakuna justification kuwa CCM imeshindwa watanzania walitaka lami leo hazijajengwa?
Watanzania walitaka umeme leo bado mnachaji simu nchini Kenya?
# Watanzania mkitaka maji leo bado mnakoswa maji?
# Watanzania mkitaka elimu leo bado mnatembea umbali mrefu kufuata elimu?
# Sasa CCM imeshindwa wapi?
Na ukitoka hapa unaenda kulipwà et???Taifa la Tanzania limebahatika kuwa wa baadhi ya watu wenye ushawishi ktk jamii - ingawa wakati mwingine watu hawa huweza kupotosha jamii kwa maslahi ya vyama au madhehebu yao.
Hili suala DP World kuwekeza ktk bandari zetu halina hasara kwetu kama Taifa. Lina faida nyingi sana kwetu tofauti na jinsi linavyoumuliwa. CCM hakiwezi kuunza nchi, CCM hakiwezi kuingia ktk Mikataba inayotutia hasara, CCM hakiwezi kuingia Mikataba mibovu.
Kwa hiyo watanzania kwa umoja wetu tuunge Mkono juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.
Tanzania kwanza
2023
Msamehe ni wengi tu hawajui matumizi ya alama hasa zifiatazo. !, ?, ; na '. Mfano ng'ambo (n'gambo).Hiyo alama ya kuuliza umeweka ya nini kwenye kichwa cha habari kama umehitimisha hoja kwenye ufafanuzi? Au hujui matumizi yake.!!
Chukulia UN. Sisi ni wanachama tangu 1961 bila kutajwa ukomo. Ndani ya UN kuna miradi ya malaria (WHO) miaka 5. Kuna ya mazingira ( UNEP) miaka 3. Na kila miaka 5 kuna Uchaguzi mradi wa UNDP mwaka mmoja. Baadaye itakuja miradi ya ukimwi na ya climate change (miaka mingapi, lini, hatujui). As long as tu wanachama wa UN miradi itazidi kuja, Inshaallah. Hatuna sababu ya kutoka UN wala wao kutufukuza, kwa hiyo kutaka kujibu maswali yako ni vigumu.Sawa jibu hoja zao...
Mosi mkataba ni muda Gani?
Miez 12?
Miaka 5?
Miaka 50?
Toa huu ukakasi kwanza then tuje na hoja nyingine
Hyo sio UN mkataba ni Tanzania na DP..wewe acha kuish Kwa madhaanio..Chukulia UN. Sisi ni wanachama tangu 1961 bila kutajwa ukomo. Ndani ya UN kuna miradi ya malaria (WHO) miaka 5. Kuna ya mazingira ( UNEP) miaka 3. Na kila miaka 5 kuna Uchaguzi mradi wa UNDP mwaka mmoja. Baadaye itakuja miradi ya ukimwi na ya climate change (miaka mingapi, lini, hatujui). As long as tu wanachama wa UN miradi itazidi kuja, Inshaallah. Hatuna sababu ya kutoka UN wala wao kutufukuza, kwa hiyo kutaka kujibu maswali yako ni vigumu.
Wapuuzi sana na vile wote ni Wapinzani wanatafuta kikiTaifa la Tanzania limebahatika kuwa wa baadhi ya watu wenye ushawishi ktk jamii - ingawa wakati mwingine watu hawa huweza kupotosha jamii kwa maslahi ya vyama au madhehebu yao.
Hili suala DP World kuwekeza ktk bandari zetu halina hasara kwetu kama Taifa. Lina faida nyingi sana kwetu tofauti na jinsi linavyoumuliwa. CCM hakiwezi kuunza nchi, CCM hakiwezi kuingia ktk Mikataba inayotutia hasara, CCM hakiwezi kuingia Mikataba mibovu.
Kwa hiyo watanzania kwa umoja wetu tuunge Mkono juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.
Tanzania kwanza
2023
Kapeleka ripoti Kwa mabwana zake 😁😁Taifa la Tanzania limebahatika kuwa wa baadhi ya watu wenye ushawishi ktk jamii - ingawa wakati mwingine watu hawa huweza kupotosha jamii kwa maslahi ya vyama au madhehebu yao.
Hili suala DP World kuwekeza ktk bandari zetu halina hasara kwetu kama Taifa. Lina faida nyingi sana kwetu tofauti na jinsi linavyoumuliwa. CCM hakiwezi kuunza nchi, CCM hakiwezi kuingia ktk Mikataba inayotutia hasara, CCM hakiwezi kuingia Mikataba mibovu.
Kwa hiyo watanzania kwa umoja wetu tuunge Mkono juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.
Tanzania kwanza
2023
Muda katika mkataba ni jambo muhimu sana. Makaratasi yanayoonyeshwa hayana kipengere cha muda. Sawa kabisa. Hii maana yake ni kuwa HAKUNA MKATABA na kwa ujumla kuita hayo makaratasi mkataba ni kupotoshaSawa jibu hoja zao...
Mosi mkataba ni muda Gani?
Miez 12?
Miaka 5?
Miaka 50?
Toa huu ukakasi kwanza then tuje na hoja nyingine
Nakubali tena si watu wa kuwasikiliza. Hawafai kabisa na ni maadui wa taifa na utu.Taifa la Tanzania limebahatika kuwa wa baadhi ya watu wenye ushawishi ktk jamii - ingawa wakati mwingine watu hawa huweza kupotosha jamii kwa maslahi ya vyama au madhehebu yao.
Hili suala DP World kuwekeza ktk bandari zetu halina hasara kwetu kama Taifa. Lina faida nyingi sana kwetu tofauti na jinsi linavyoumuliwa. CCM hakiwezi kuunza nchi, CCM hakiwezi kuingia ktk Mikataba inayotutia hasara, CCM hakiwezi kuingia Mikataba mibovu.
Kwa hiyo watanzania kwa umoja wetu tuunge Mkono juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.
Tanzania kwanza
2023
Ungekua karibu ningekutia vibao,shenzHakuna justification kuwa CCM imeshindwa watanzania walitaka lami leo hazijajengwa?
Watanzania walitaka umeme leo bado mnachaji simu nchini Kenya?
# Watanzania mkitaka maji leo bado mnakoswa maji?
# Watanzania mkitaka elimu leo bado mnatembea umbali mrefu kufuata elimu?
# Sasa CCM imeshindwa wapi?
Kelele zipo huku JF na katika mitandao mingine ya habari. Hao wenye kujielewa walioongea wakiwa panelists jana ni watu wenye upeo mpana wa mambo.Taifa la Tanzania limebahatika kuwa wa baadhi ya watu wenye ushawishi ktk jamii - ingawa wakati mwingine watu hawa huweza kupotosha jamii kwa maslahi ya vyama au madhehebu yao.
Hili suala DP World kuwekeza ktk bandari zetu halina hasara kwetu kama Taifa. Lina faida nyingi sana kwetu tofauti na jinsi linavyoumuliwa. CCM hakiwezi kuunza nchi, CCM hakiwezi kuingia ktk Mikataba inayotutia hasara, CCM hakiwezi kuingia Mikataba mibovu.
Kwa hiyo watanzania kwa umoja wetu tuunge Mkono juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.
Tanzania kwanza
2023
Jibu ni ndiyo. Anaweza akaenda kuolewa Oman, au tayari ana ndoa huko.Assumption: Je unaweza kuuza huko ukaenda kuolewa kule?