Mbowe, Lissu, Dkt Kitima, Jenerali Ulimwengu, Dkt Slaa - ni wapotoshaji kuhusu DP World?

Mbowe, Lissu, Dkt Kitima, Jenerali Ulimwengu, Dkt Slaa - ni wapotoshaji kuhusu DP World?

Attachments

  • 662441A9-5561-48E4-8FEC-582A3D8CBFC2.jpeg
    662441A9-5561-48E4-8FEC-582A3D8CBFC2.jpeg
    34.1 KB · Views: 2
  • C72C76BD-E173-45FC-98BB-E6E177BD9D3B.jpeg
    C72C76BD-E173-45FC-98BB-E6E177BD9D3B.jpeg
    76.1 KB · Views: 2
  • 28A59893-7200-4FAD-B57B-7B5D19C448EF.jpeg
    28A59893-7200-4FAD-B57B-7B5D19C448EF.jpeg
    35.1 KB · Views: 2
  • FE61204D-D1CE-4E85-A207-8BC4BFCFF10F.jpeg
    FE61204D-D1CE-4E85-A207-8BC4BFCFF10F.jpeg
    66.1 KB · Views: 2
Hakuna justification kuwa CCM imeshindwa watanzania walitaka lami leo hazijajengwa?

Watanzania walitaka umeme leo bado mnachaji simu nchini Kenya?

# Watanzania mkitaka maji leo bado mnakoswa maji?

# Watanzania mkitaka elimu leo bado mnatembea umbali mrefu kufuata elimu?

# Sasa CCM imeshindwa wapi?
Hivi wewe naye akili imo kwel hivyo vitu tajwa Kwako ndiyo unaona ni vitu pekee CCM ilipaswa kuifanyia Tanganyika yako blood!?
 
Taifa la Tanzania limebahatika kuwa wa baadhi ya watu wenye ushawishi ktk jamii - ingawa wakati mwingine watu hawa huweza kupotosha jamii kwa maslahi ya vyama au madhehebu yao.

Hili suala DP World kuwekeza ktk bandari zetu halina hasara kwetu kama Taifa. Lina faida nyingi sana kwetu tofauti na jinsi linavyoumuliwa. CCM hakiwezi kuunza nchi, CCM hakiwezi kuingia ktk Mikataba inayotutia hasara, CCM hakiwezi kuingia Mikataba mibovu.

Kwa hiyo watanzania kwa umoja wetu tuunge Mkono juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Tanzania kwanza
2023
Timu RC hao..

Mara zote Huwa nasema na imechunguza Kila Rais akiwa Muislamu Huwa wanazusha chokochoko sana Hawa watu,Mimi sio Muislamu Wala sio Mzanzibari ila unafiki wa Wakristo ni mkubwa sana..

Saizi wanahubiri Ubaguzi wa wazi Kwa kujitambulisha Watanganyika ambao wanatawaliwa na Wazanzibar..

Si Bora Watanganyika Wavunje Muungano maana wao ndio Wanawang'ang'ania Wazanzibar.
 
Taifa la Tanzania limebahatika kuwa wa baadhi ya watu wenye ushawishi ktk jamii - ingawa wakati mwingine watu hawa huweza kupotosha jamii kwa maslahi ya vyama au madhehebu yao.

Hili suala DP World kuwekeza ktk bandari zetu halina hasara kwetu kama Taifa. Lina faida nyingi sana kwetu tofauti na jinsi linavyoumuliwa. CCM hakiwezi kuunza nchi, CCM hakiwezi kuingia ktk Mikataba inayotutia hasara, CCM hakiwezi kuingia Mikataba mibovu.

Kwa hiyo watanzania kwa umoja wetu tuunge Mkono juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Tanzania kwanza
2023
Hivi gesi ni yetu ?kama ni yetu taifa linapata kiasi gani dhidi ya wawekezaji.Madini ni yetu au ya wawekezaji?kama ni yetu tunapata nini dhidi ya wawekezaji.IPTL tulipata nini dhidi ya muwekezaji? Nk.Tusitetee kiitikadi ya vyama bali kiuzalende wote wanaohoji mkataba huu ni wazalendo.
 
Taifa la Tanzania limebahatika kuwa wa baadhi ya watu wenye ushawishi ktk jamii - ingawa wakati mwingine watu hawa huweza kupotosha jamii kwa maslahi ya vyama au madhehebu yao.

Hili suala DP World kuwekeza ktk bandari zetu halina hasara kwetu kama Taifa. Lina faida nyingi sana kwetu tofauti na jinsi linavyoumuliwa. CCM hakiwezi kuunza nchi, CCM hakiwezi kuingia ktk Mikataba inayotutia hasara, CCM hakiwezi kuingia Mikataba mibovu.

Kwa hiyo watanzania kwa umoja wetu tuunge Mkono juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Tanzania kwanza
2023
Wewe ni raia wa Tanzania? Naunaishi wapi?

Je, unaishi humuhumu Tanzania na huelewi haya mambo?

Yaani hujui kuwa tulishapigwa sana kwenye ishu ya mikataba ya kijinga na kipumbavu kama hii huku CCM wenyewe wakikikiri baadae kuwa walifanya makosa?

Hivi Hayati Rais John P. Magufuli alikuwa mwana CHADEMA au ndio CCM halisi wenyewe?

Unamkumbuka alisema nini mara nyingi miaka kati ya 2016 na 2017 na hususani wakati ule akipokea ripoti ya kamai ya kuchunguza mikataba ya madini ya kina Prof. Mruma na Ossoro?

Alisema "nchi hii imeibiwa sana kupitia mikataba mibovu ya madini na maliasili zetu zingine ambazo wapewa wageni Kwa jina la "uwekezaji"" na zaidi sana zikatolewa mpaka takwimu za fedha tulizoibiwa kwa njia ya mikataba hii ya uwekezaji kuwa ni zaidi trillion 390!!

Sasa leo wewe unasema nini hapa? Nakuuliza tena, wewe unaishi Tanzania kweli wewe? Na unataka wakosee mara ngapi ili akili yako iamke??

Safari hii wamekosea njia na kuamua kuweka wazi mkataba huu ili watanzania wajue namna wanavyoiba ili Mungu aone sisi wana wa nchi hii ni wajinga na tutashangilia na kupiga makofi tu au ni werevu kiasi cha kuona shida ilipo na kuchukua hatua stahiki...!!

Rais Samia Suluhu Hassan, Kwa hili katukosea sana Watanganyika na ni LAZIMA tukatae na tuchukue hatua stahiki..!!
 
Timu RC hao..

Mara zote Huwa nasema na imechunguza Kila Rais akiwa Muislamu Huwa wanazusha chokochoko sana Hawa watu,Mimi sio Muislamu Wala sio Mzanzibari ila unafiki wa Wakristo ni mkubwa sana..

Saizi wanahubiri Ubaguzi wa wazi Kwa kujitambulisha Watanganyika ambao wanatawaliwa na Wazanzibar..

Si Bora Watanganyika Wavunje Muungano maana wao ndio Wanawang'ang'ania Wazanzibar.
Nani ana mtaka mwenzie kati ya wabara na visiwan!? Au unadhani hao wa visiwani Wanatufaidisha nini sisi Zaid ya kututegemea wabara..!?
 
Back
Top Bottom