Pre GE2025 Mbowe: Lissu kuhutubia Taifa ni kukosa nidhamu na kufanya kazi isiyo yake

Pre GE2025 Mbowe: Lissu kuhutubia Taifa ni kukosa nidhamu na kufanya kazi isiyo yake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Freeman akihojiwa na Crown FM leo Januari 06, 2025 amesema...

“Unaweza ukanitukana tusi lolote halitanitoa katika focus ninachosema sio kwamba nina uhakika wa ushindi kwa sababu ninakubalika na watu..nani asiyekubalika?”

"Kwa mfano nikupe mfano rahisi nimemsikia majuzi ndugu yangu Makamu wangu(Tundu Lissu) anasema anahutubia taifa, ni Makamu Mwenyekiti (wa CHADEMA Bara) anahutubia taifa ameshakuwa kiongozi wa chama anahutubia taifa ni kukosa nidhamu. Sio Mwenyekiti wa chama soma katiba ya chama imeeleza kazi za Mwenyekiti na kazi za Makamu Mwenyekiti kila mmoja amefafanuliwa kwenye katiba kazi zake ni zipi anazifanyaje kama umeweza kwenda kufanya kazi ambayo si ya kwako.”

“Kama navyosema sio kila wakati kuchukua hatua ndiyo kumrekebisha kiongozi…sio kwamba hatumuelezi na hajui lakini mtu anapoamua kutoka nje ya misingi kwa sababu anafikiri labda yeye ni mkubwa kuliko chama kwamba yeye anaweza akafanya chochote anachotaka muda utaongea. Muda utazungumza ni nani mwenye haki na ukweli utabaki kuwa ukweli.”

Mbowe alipoulizwa kwamba Lissu anafanya kwa umakusudi na yeye Mbowe hachukui hatua labda anahisi ni kwa nini Lissu anafanya hivyo anafanya hivyo Mbowe akajibu “hilo swali ungemuuliza yeye angekusaidia zaidi.”
Ila Mnyika na Heche wakihutubia sio shida. lisu ni makamu mwenyekiti, mnyika ni katibu tu na kesho ameita press. kwahiyo anataka ahodhi kila kitu wenzie wasiongee awe anaongea yeye tu, tutawasikiaje sasa wenzake ili tupime uwezo wake na wa wenzake?
 
Freeman akihojiwa na Crown FM leo Januari 06, 2025 amesema...

“Unaweza ukanitukana tusi lolote halitanitoa katika focus ninachosema sio kwamba nina uhakika wa ushindi kwa sababu ninakubalika na watu..nani asiyekubalika?”

"Kwa mfano nikupe mfano rahisi nimemsikia majuzi ndugu yangu Makamu wangu(Tundu Lissu) anasema anahutubia taifa, ni Makamu Mwenyekiti (wa CHADEMA Bara) anahutubia taifa ameshakuwa kiongozi wa chama anahutubia taifa ni kukosa nidhamu. Sio Mwenyekiti wa chama soma katiba ya chama imeeleza kazi za Mwenyekiti na kazi za Makamu Mwenyekiti kila mmoja amefafanuliwa kwenye katiba kazi zake ni zipi anazifanyaje kama umeweza kwenda kufanya kazi ambayo si ya kwako.”

“Kama navyosema sio kila wakati kuchukua hatua ndiyo kumrekebisha kiongozi…sio kwamba hatumuelezi na hajui lakini mtu anapoamua kutoka nje ya misingi kwa sababu anafikiri labda yeye ni mkubwa kuliko chama kwamba yeye anaweza akafanya chochote anachotaka muda utaongea. Muda utazungumza ni nani mwenye haki na ukweli utabaki kuwa ukweli.”

Mbowe alipoulizwa kwamba Lissu anafanya kwa umakusudi na yeye Mbowe hachukui hatua labda anahisi ni kwa nini Lissu anafanya hivyo anafanya hivyo Mbowe akajibu “hilo swali ungemuuliza yeye angekusaidia zaidi.”
Lissu anahutubia Taifa kwa sababu Mbowe ameshindwa kutekeleza wajibu wake!
 
Hiyo hoja ya Mbowe ni dhaifu sana.
Nini maana ya "Kuhutubia taifa"?
Kwa lugha rahisi, ni kuongea huku ukitaka unachokiongea kila mtu katika taifa akiweza akisikie.
Mtu yoyote ana haki ya kulihutubia taifa, wakati wowote, mahali popote.
Sio taifa tu, hata kuhutubia dunia kila mtu ana haķi hiyo.

Lissu ni kiongozi wa juu ndani ya CHADEMA na pia ni mgombea wa uenyekiti ndani ya Chadema, chochote anachokiongea hadharani angependa na angetamani kisikilizwe na watu wote ndani ya Tanzania. Na huko ni kuhutubia taifa, hata asiposema analihutubia taifa. Na viongozi wote wa CHADEMA hufanya hivyo mara nyingi.

Na hiyo sio mara ya kwanza, mara kadhaa Lissu ameandaliwa na uongozi wa Chadema kulihutubia taifa tena wakati mwingine akiwa bado kitandani nje ya nchi.
 
Freeman akihojiwa na Crown FM leo Januari 06, 2025 amesema...

“Unaweza ukanitukana tusi lolote halitanitoa katika focus ninachosema sio kwamba nina uhakika wa ushindi kwa sababu ninakubalika na watu..nani asiyekubalika?”

"Kwa mfano nikupe mfano rahisi nimemsikia majuzi ndugu yangu Makamu wangu(Tundu Lissu) anasema anahutubia taifa, ni Makamu Mwenyekiti (wa CHADEMA Bara) anahutubia taifa ameshakuwa kiongozi wa chama anahutubia taifa ni kukosa nidhamu. Sio Mwenyekiti wa chama soma katiba ya chama imeeleza kazi za Mwenyekiti na kazi za Makamu Mwenyekiti kila mmoja amefafanuliwa kwenye katiba kazi zake ni zipi anazifanyaje kama umeweza kwenda kufanya kazi ambayo si ya kwako.”

“Kama navyosema sio kila wakati kuchukua hatua ndiyo kumrekebisha kiongozi…sio kwamba hatumuelezi na hajui lakini mtu anapoamua kutoka nje ya misingi kwa sababu anafikiri labda yeye ni mkubwa kuliko chama kwamba yeye anaweza akafanya chochote anachotaka muda utaongea. Muda utazungumza ni nani mwenye haki na ukweli utabaki kuwa ukweli.”

Mbowe alipoulizwa kwamba Lissu anafanya kwa umakusudi na yeye Mbowe hachukui hatua labda anahisi ni kwa nini Lissu anafanya hivyo anafanya hivyo Mbowe akajibu “hilo swali ungemuuliza yeye angekusaidia zaidi.”
Bora Hashimu Rungwe ana sifa ya kuwa mwenyekiti wa chama Cha siasa kuliko Lisu
 
Lissu alikusudia kuongea na wananchi wake wa IKUNGI.. Vyombo vya habari ndo vikakosea vikarusha matangazo Dunia nzima...kisa eti ni freedom of speech...wamekosea sana wangemwuliza mwenyekiti kwanza kabla ya kufanya coverage ile.
 
Hapa katoa jabu ya hatari! Na sababu za kumtimua Lissu zimeishapatikana! Na ni sababu za Msingi.

Mtu ambaye hajui mipaka ya kazi zake ndiye mmpe Chama mtakuwa mmekwisha! Lissu Alivyoshambulia Uongozi wa Uganda na Rwanda nilijua na nilisema/ andika hapa kuwa amejimaliza; wengi walinishambulia hadharani na wengine kimoyo moyo!
Huna hoja chawa wewe
 
Freeman akihojiwa na Crown FM leo Januari 06, 2025 amesema...

“Unaweza ukanitukana tusi lolote halitanitoa katika focus ninachosema sio kwamba nina uhakika wa ushindi kwa sababu ninakubalika na watu..nani asiyekubalika?”

"Kwa mfano nikupe mfano rahisi nimemsikia majuzi ndugu yangu Makamu wangu(Tundu Lissu) anasema anahutubia taifa, ni Makamu Mwenyekiti (wa CHADEMA Bara) anahutubia taifa ameshakuwa kiongozi wa chama anahutubia taifa ni kukosa nidhamu. Sio Mwenyekiti wa chama soma katiba ya chama imeeleza kazi za Mwenyekiti na kazi za Makamu Mwenyekiti kila mmoja amefafanuliwa kwenye katiba kazi zake ni zipi anazifanyaje kama umeweza kwenda kufanya kazi ambayo si ya kwako.”

“Kama navyosema sio kila wakati kuchukua hatua ndiyo kumrekebisha kiongozi…sio kwamba hatumuelezi na hajui lakini mtu anapoamua kutoka nje ya misingi kwa sababu anafikiri labda yeye ni mkubwa kuliko chama kwamba yeye anaweza akafanya chochote anachotaka muda utaongea. Muda utazungumza ni nani mwenye haki na ukweli utabaki kuwa ukweli.”

Mbowe alipoulizwa kwamba Lissu anafanya kwa umakusudi na yeye Mbowe hachukui hatua labda anahisi ni kwa nini Lissu anafanya hivyo anafanya hivyo Mbowe akajibu “hilo swali ungemuuliza yeye angekusaidia zaidi.”
Kosa ni kugombea umwenyekiti. Yaan mtu achukue form ya umwenyekiti na agombee afu aache kuhutubia taifa wapiga kura watajuaje ..? Hizi mambo zingine n very local.and primitive. Ayatollay achia ngazi tu
 
Back
Top Bottom