Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 1,198
- 2,695
Jaman tulikatae mbowe liko fisadi mno 😄😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia kitabu cha Erick Kabendera kimewakata stimu hamjakula siku mbili kwasababu mungu wenu kaanikwa hadharani?!Kunasiku mtamuomba radhi Magu kimyakimya.
Ila Mnyika na Heche wakihutubia sio shida. lisu ni makamu mwenyekiti, mnyika ni katibu tu na kesho ameita press. kwahiyo anataka ahodhi kila kitu wenzie wasiongee awe anaongea yeye tu, tutawasikiaje sasa wenzake ili tupime uwezo wake na wa wenzake?Freeman akihojiwa na Crown FM leo Januari 06, 2025 amesema...
“Unaweza ukanitukana tusi lolote halitanitoa katika focus ninachosema sio kwamba nina uhakika wa ushindi kwa sababu ninakubalika na watu..nani asiyekubalika?”
"Kwa mfano nikupe mfano rahisi nimemsikia majuzi ndugu yangu Makamu wangu(Tundu Lissu) anasema anahutubia taifa, ni Makamu Mwenyekiti (wa CHADEMA Bara) anahutubia taifa ameshakuwa kiongozi wa chama anahutubia taifa ni kukosa nidhamu. Sio Mwenyekiti wa chama soma katiba ya chama imeeleza kazi za Mwenyekiti na kazi za Makamu Mwenyekiti kila mmoja amefafanuliwa kwenye katiba kazi zake ni zipi anazifanyaje kama umeweza kwenda kufanya kazi ambayo si ya kwako.”
“Kama navyosema sio kila wakati kuchukua hatua ndiyo kumrekebisha kiongozi…sio kwamba hatumuelezi na hajui lakini mtu anapoamua kutoka nje ya misingi kwa sababu anafikiri labda yeye ni mkubwa kuliko chama kwamba yeye anaweza akafanya chochote anachotaka muda utaongea. Muda utazungumza ni nani mwenye haki na ukweli utabaki kuwa ukweli.”
Mbowe alipoulizwa kwamba Lissu anafanya kwa umakusudi na yeye Mbowe hachukui hatua labda anahisi ni kwa nini Lissu anafanya hivyo anafanya hivyo Mbowe akajibu “hilo swali ungemuuliza yeye angekusaidia zaidi.”
Lissu anahutubia Taifa kwa sababu Mbowe ameshindwa kutekeleza wajibu wake!Freeman akihojiwa na Crown FM leo Januari 06, 2025 amesema...
“Unaweza ukanitukana tusi lolote halitanitoa katika focus ninachosema sio kwamba nina uhakika wa ushindi kwa sababu ninakubalika na watu..nani asiyekubalika?”
"Kwa mfano nikupe mfano rahisi nimemsikia majuzi ndugu yangu Makamu wangu(Tundu Lissu) anasema anahutubia taifa, ni Makamu Mwenyekiti (wa CHADEMA Bara) anahutubia taifa ameshakuwa kiongozi wa chama anahutubia taifa ni kukosa nidhamu. Sio Mwenyekiti wa chama soma katiba ya chama imeeleza kazi za Mwenyekiti na kazi za Makamu Mwenyekiti kila mmoja amefafanuliwa kwenye katiba kazi zake ni zipi anazifanyaje kama umeweza kwenda kufanya kazi ambayo si ya kwako.”
“Kama navyosema sio kila wakati kuchukua hatua ndiyo kumrekebisha kiongozi…sio kwamba hatumuelezi na hajui lakini mtu anapoamua kutoka nje ya misingi kwa sababu anafikiri labda yeye ni mkubwa kuliko chama kwamba yeye anaweza akafanya chochote anachotaka muda utaongea. Muda utazungumza ni nani mwenye haki na ukweli utabaki kuwa ukweli.”
Mbowe alipoulizwa kwamba Lissu anafanya kwa umakusudi na yeye Mbowe hachukui hatua labda anahisi ni kwa nini Lissu anafanya hivyo anafanya hivyo Mbowe akajibu “hilo swali ungemuuliza yeye angekusaidia zaidi.”
CCM ushawahi kumuona makamu anahutubia taifa 😂😂?Inaonekana ameshaiva kutimuliwa au anafanya makusudi ilq atimuliwe.
Kumbe kuongea na watu nako kuna utaratibu wake?
Bora Hashimu Rungwe ana sifa ya kuwa mwenyekiti wa chama Cha siasa kuliko LisuFreeman akihojiwa na Crown FM leo Januari 06, 2025 amesema...
“Unaweza ukanitukana tusi lolote halitanitoa katika focus ninachosema sio kwamba nina uhakika wa ushindi kwa sababu ninakubalika na watu..nani asiyekubalika?”
"Kwa mfano nikupe mfano rahisi nimemsikia majuzi ndugu yangu Makamu wangu(Tundu Lissu) anasema anahutubia taifa, ni Makamu Mwenyekiti (wa CHADEMA Bara) anahutubia taifa ameshakuwa kiongozi wa chama anahutubia taifa ni kukosa nidhamu. Sio Mwenyekiti wa chama soma katiba ya chama imeeleza kazi za Mwenyekiti na kazi za Makamu Mwenyekiti kila mmoja amefafanuliwa kwenye katiba kazi zake ni zipi anazifanyaje kama umeweza kwenda kufanya kazi ambayo si ya kwako.”
“Kama navyosema sio kila wakati kuchukua hatua ndiyo kumrekebisha kiongozi…sio kwamba hatumuelezi na hajui lakini mtu anapoamua kutoka nje ya misingi kwa sababu anafikiri labda yeye ni mkubwa kuliko chama kwamba yeye anaweza akafanya chochote anachotaka muda utaongea. Muda utazungumza ni nani mwenye haki na ukweli utabaki kuwa ukweli.”
Mbowe alipoulizwa kwamba Lissu anafanya kwa umakusudi na yeye Mbowe hachukui hatua labda anahisi ni kwa nini Lissu anafanya hivyo anafanya hivyo Mbowe akajibu “hilo swali ungemuuliza yeye angekusaidia zaidi.”
..Katika hili Mbowe amekosea.
..alipaswa kukosoa HOJA za Tundu Lissu, na sio kumkosoa binafsi.
..nani amemzuia Mbowe kulihutubia taifa kama ana kitu cha kuwaambia wananchi?
Lissu mmoja ni sawa na CCM wote mchi nzima pamoja na mwenyekiti wao ,ndio maana mbowe kaona aungane na CCM ili apambaneLissu amejaa sifa kichwani, hajui siasa hakuanza yeye, yupo wapi Kassim Hanga?
Na wewe unacheza muziki wake?Mwanamwana wewe ni mwenda wazimu. Ndani ya dk 5 umeanzisha nyuzi tatu za kumhusu kamanda mbowe.
Huna kazi ya kufanya?
Na ndio mwenyekiti wa makamanda hadi sasa😎Mbowe anaroho mbaya sana,...
Umekosa hoja umeanza vitisho?Lissu amejaa sifa kichwani, hajui siasa hakuanza yeye, yupo wapi Kassim Hanga?
Huna hoja chawa weweHapa katoa jabu ya hatari! Na sababu za kumtimua Lissu zimeishapatikana! Na ni sababu za Msingi.
Mtu ambaye hajui mipaka ya kazi zake ndiye mmpe Chama mtakuwa mmekwisha! Lissu Alivyoshambulia Uongozi wa Uganda na Rwanda nilijua na nilisema/ andika hapa kuwa amejimaliza; wengi walinishambulia hadharani na wengine kimoyo moyo!
Kosa ni kugombea umwenyekiti. Yaan mtu achukue form ya umwenyekiti na agombee afu aache kuhutubia taifa wapiga kura watajuaje ..? Hizi mambo zingine n very local.and primitive. Ayatollay achia ngazi tuFreeman akihojiwa na Crown FM leo Januari 06, 2025 amesema...
“Unaweza ukanitukana tusi lolote halitanitoa katika focus ninachosema sio kwamba nina uhakika wa ushindi kwa sababu ninakubalika na watu..nani asiyekubalika?”
"Kwa mfano nikupe mfano rahisi nimemsikia majuzi ndugu yangu Makamu wangu(Tundu Lissu) anasema anahutubia taifa, ni Makamu Mwenyekiti (wa CHADEMA Bara) anahutubia taifa ameshakuwa kiongozi wa chama anahutubia taifa ni kukosa nidhamu. Sio Mwenyekiti wa chama soma katiba ya chama imeeleza kazi za Mwenyekiti na kazi za Makamu Mwenyekiti kila mmoja amefafanuliwa kwenye katiba kazi zake ni zipi anazifanyaje kama umeweza kwenda kufanya kazi ambayo si ya kwako.”
“Kama navyosema sio kila wakati kuchukua hatua ndiyo kumrekebisha kiongozi…sio kwamba hatumuelezi na hajui lakini mtu anapoamua kutoka nje ya misingi kwa sababu anafikiri labda yeye ni mkubwa kuliko chama kwamba yeye anaweza akafanya chochote anachotaka muda utaongea. Muda utazungumza ni nani mwenye haki na ukweli utabaki kuwa ukweli.”
Mbowe alipoulizwa kwamba Lissu anafanya kwa umakusudi na yeye Mbowe hachukui hatua labda anahisi ni kwa nini Lissu anafanya hivyo anafanya hivyo Mbowe akajibu “hilo swali ungemuuliza yeye angekusaidia zaidi.”
Tukimbwaga naagiza ndafu.Na ndio mwenyekiti wa makamanda hadi sasa😎