Huu ni mtazamo wako! That guy kwa tafsiri nilionayo alikuwa a solid leader! Sio mtu wa ku meander ama ku compromise...Sasa watu wengi walizoea utawala wa kuwa baby sitted kudekezwa kwake hakuwa na hilo! Ni kama baba wa Kamboπ€£π€£π€£Alitaka kujifurahisha nafsi yake zaidi
Kwenye suala la katiba kidogo anahitaji some space maana ni suala la kibajeti pia ila mikutano ina athari gani kiuchumi sasa yani kusema tu au leo hii mikutano ingekuwepo uchumi utazidi shuka???
Nyie watu hivi mna huruma Kama binadamu nyie. Mbona mmejawa na chuki kwa kiwango cha kupitiliza???
Kwahio sahizi pesa za waosha vioo vya magari hamna chief? Au we huwapagi tu?Acha uongo,pesa ilikuwepo hadi kwa waosha vioo vya magari barabarani!
Ajira kama sekta ya Afya na Elimu ilikuwa uhakika,kulikuwa hakuna kuapply bali watu walisubiri kupangiwa tu vituo vya kazi mara baada ya kuhitimu!
Au ulikuwa mdogo?
Mkuu haya Majinga hayaoni mbele...Wanachokipigania kitakusaidia na wewe, swala la katiba haliwahusu mbowe peke yake hata mm mwanaccm linaniusu, wakati fulani itikadi ni vyema tukaweka pembeni
Waache tu kudaadeki zaoMnamuona faala sasa mwamsheni halafu muanze kutupigia kelele kila anayekuja kwenu m baya hata dunia itawashangaa, nilijua tu hii mara mbeya mara wapi haina jema mlikuwa mnapima upepo, ingieni barabara mtakwenda wasimulia wake zenu, Sisi tupo watoa pole
Swala la katiba sio swala la mtu binafsi ni swala la kitaifa, na hata wewe unahitaji katiba mpyaMama amekwishasema yeye yoyoooo people power na ulevi wa Konyagi na mwenyekiti milele wasubiri.Big up mama na mkimtest hapigi na mikanda kama Baba atawafinya na kuwamwagia radhi mpate laana.
Mkuu saivi nikimuona anasogea namzuia,gari naosha mwenyewe nikipata nafasi!Kwahio sahizi pesa za waosha vioo vya magari hamna chief? Au we huwapagi tu?
Braza hata jero hutoi mzee babaπππ acha hizo bana kaka! Mie sio fan wa kupeleka gari car wash ila dah nawapaga coin wale madogoMkuu saivi nikimuona anasogea namzuia,gari naosha mwenyewe nikipata nafasi!
So hata mzunguko kwao umepungua,watu wamekuwa wagumu kweli!
Ni kweli mkuu lakini kutengeneza katiba ni mchakato ambao hawezi kufanyika ndani ya miezi 3Exactly,ndiyo point yake huyo zuzu. Halafu watu tukisema nchi kuongozwa kwa "mfumo wa mtu mmoja" ni upumbavu wa hali ya juu,wanasema tunakosea.
Mh. Rais Samia akitaka hii nchi ipige hatua kikweli kweli, basi aruhusu kutengenezwa kwa "mfumo wa pamoja". Na mfumo unaanza kutengenezwa kwa katiba ya wananchi.
..Mama ameteleza.
..Eti anarekebisha uchumi!
..Na kutengeneza ajira!!
..hizo ni kazi ENDELEVU, hufanyi miezi miwili mitatu halafu ukapumzika.
Mavazi tu
Na uchumi huo utajengwa mpaka lini???? Mbona tunadanganywa kama watoto wadogo, magufuli alisema hivyohivyo, Amepita badala ya uchumi kupanda ndo kushuka, leo na mama Naye anajenga uchumi, mpaka lini????Akili ya kuambiwa changanya na ya kwako,mambo wanayodai wapinzani yapo kwenye Katiba au hakuna?tuanzie hapo,
Haya mambo ya kusema niache nijenge uchumi kwanza,haki za binadamu na kisiasa baadae,ndiyo yaliyotuletea Chato kuwa mkoa,airport ya Chato,wasiojurikana,1.5tilioni kupotea.
Halafu wewe....utakuwa ni mama Samia Suluhu Hassan ...Bisha!!.Fanyeni kazi nyinyi, acheni porojo. Uchumi kwanza.
Mpaka uwe sawa πππ nafikiri kwenye 2028 mwishoni utakuwa umeshakaa sawa kidogo kwahivyo tutaanza mchakato wa rasimu ya katiba mpya!Na uchumi huo utajengwa mpaka lini???? Mbona tunadanganywa kama watoto wadogo, magufuli alisema hivyohivyo, Amepita badala ya uchumi kupanda ndo kushuka, leo na mama Naye anajenga uchumi, mpaka lini????
Kwa hiyo hata tigo waweza kug@w@ simply because mama kafanya hili na like.Mdude Nyagali ametoka RUMANDE kwa huruma ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan......
Masheikh wa UAMSHO wanakula biriani mtaani kwa sababu ya huruma ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan......
Mbowe amefutiwa kesi yake na kurudishiwa milioni zake 300 kwa sababu ya huruma ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan......
Kwani MDUDE NA WENZAKE wangeendelea kukaa RUMANDE kingebadilika KIPI huku mitaani ?!!!!!!
#ChademaWameanzaKubeep
Mkuu hadi fungu la 10 nimelipinga panga sana!Yaani nimebana kila kona kiasi kwamba ninaokoa kama 250,000/= kila mwezi kutoka kwenye bajeti yangu ya awali!Braza hata jero hutoi mzee babaπππ acha hizo bana kaka! Mie sio fan wa kupeleka gari car wash ila dah nawapaga coin wale madogo
Kimoyo moyo una kubali kuwa bila yeye matakwa yenu mengi yasingefanikiwa.
Uamsho
Mdude
Kina mbowe kurudishiwa fedha zao
Kesi ya kina Tito magoti na mengine mengi. Si mlikuwa mnapigania siku nyingi na amelegeza kamba. Kwanini unabisha tu ili mradi ubishe? Chadema bwana...
Na bado Kuna mambo mengi tu kutwa mnamuomba mama alegeze, analegeza na bado mnamponda
Mimi sihitaji sababu hainisaidii lolote, ningekuwa mwanasiasa ningeishobokea labda! Hainiletei nafuu yeyote tabu ziko pale paleSwala la katiba sio swala la mtu binafsi ni swala la kitaifa, na hata wewe unahitaji katiba mpya
Fungu la kumi hilo nalo achana nalo banaπ π π yani unampelekea hela Mc Pilipili au Masanja mchekeshaji?Mkuu hadi fungu la 10 nimelipinga panga sana!Yaani nimebana kila kona kiasi kwamba ninaokoa kama 250,000/= kila mwezi kutoka kwenye bajeti yangu ya awali!