Mbowe: Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA

Unalaana ww

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Kwanza kabisa Mbowe, huyo ni Rais, si Mama yako.

Ukishaanza kumuita Mama utamuonea aibu kumnanga.
 
Reactions: BAK
Watanzania kama wewe msiojua haki zenu za uraia ni tatizo kubwa sana la hawa wahuni kung’ang’ania madaraka.
Fikra za kijinga kabisa hizi, so mtu anaejenga uchumi ni lazima aumize watu?

Unaleta quotation ya kipuuzi kabisa humu.
 
Jiulize Mkuu hao waliohusika polisi na wanasheria kubambikia kesi FAKE Serikali haiwajui? Unadhani kwanini hawapandishwi kizimbani ili kujibu tuhuma dhidi yao ya kubambikia Watanzania kesi FAKE? Kama wametenda maovu kinyume na sheria za nchi kwanini waendelee kupeta mtaani? Kwanini hawafukuzwi kazi!?
Lakini kwanini hukumu kama hizo zinatoka awamu hii?mbona awamu iliyopita hazikutoka kwani ushahidi kama huo haukuepo au majaji hawakuwepo?
 
Sasa Mbowe anaomba au anapambania haki? Hakuna mtu atatoa ulaji wa bure kwa mshindani wake .

Yeye anatakiwa apambane,ccm ni wale wale
 
Reactions: BAK
Zinapigwa pote pote😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Hao waliohusika kuwabambikia kesi mbona kapiga kimya? Wametumia nyadhifa zao vibaya kubambikia watu kesi. Kwanini waendelee kuajiriwa na Serikali? Kwanini hawafunguliwi mashtaka?

 
Hao waliohusika kuwabambikia kesi mbona kapiga kimya? Wametumia nyadhifa zao vibaya kubambikia watu kesi. Kwanini waendelee kuajiriwa na Serikali? Kwanini hawafunguliwi mashtaka?
Ilipaswa hadi IGP awajibike na ashtakiwe
 
Reactions: BAK
Alidhani Watanzania wote ni wajinga hivyo uongo wake wa kujenga uchumi utakubalika.
 
Kwa hiyo nchi na maisha ya waTanzania yategemee fadhira na huruma ya huyo huyo Rais Samia Suluhu Hassan...

Kuna watu kama nyinyi nadhani huko vichwani kwenu hakuko sawa kabisa kama hamuoni upotofu huu.
 
Kabisa Mkuu badala yake watenda maovu wote waliohusika kubambikia kesi polisi na wanasheria wa Serikali bado mama kawakumbatia. Anaogopa kuwafungulia mashtaka anaogopa kuwafukuza kazi.
Ilipaswa hadi IGP awajibike na ashtakiwe
 
Kabisa Mkuu badala yake watenda maovu wote waliohusika kubambikia kesi polisi na wanasheria wa Serikali bado mama kawakumbatia. Anaogopa kuwafungulia mashtaka anaogopa kuwafukuza kazi.
Anachofanya ni kuwabadilishia tu maeneo yao ya kazi tena wengine anawapandisha vyeo kama alivyofanya kwa DPP mganga
 
Reactions: BAK
Kwa hiyo MBOWE akisema HAPANA ndio anawasemea WATANZANIA WOTE?!!!

Hapana yake ni ya KIJINGA TU.....walisema HAPANA....na hawakutokea pale UBUNGO.....asimbabaishe mtu bana....

#KaziInaendelea
Hapana ukisema wewe ndo tutakusikiliza wewe ni msaidizi wamalaika
 
Reactions: BAK
Kitu ambacho si sawa hata kidogo hao ni wahalifu wanastahili kufukuzwa kazi mara moja na kufunguliwa mashtaka kwa uhuni walioufanya lakini mama anahofia anajua litakuwa balaa ambalo litamgusa na yeye moja kwa moja. Mbona ulikuwa kimya ulipokuwa VP? Hii miezi mitatu ya wewe kuwa madarakani umewezaje kujua kesi zote hizo zilikuwa ni FAKE hivyo umeamua kuzifuta ndani ya miezi mitatu tu?
Anachofanya ni kuwabadilishia tu maeneo yao ya kazi tena wengine anawapandisha vyeo kama alivyofanya kwa DPP mganga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…