Said Cosmetics
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 2,001
- 1,591
Unalaana wwSikubali UNAFIKI mimi wa yeye kuukumbatia udikteta huku akienjoy utamu wa kitumbua chake kisha kutaka kujifanya anajiweka mbali na maovu ya dhalimu magufuli wakati huo huo anashindwa kuwachukulia hatua muafaka wahuni wote waliowabambikia kesi masheikh wa uamsho, Viongozi wa Chadema, Mdude na Watanzania wengine chungu nzima.
Narudia mama huyo ni dikteta hafai kuaminiwa hata chembe. Miezi mitatu inatosha sana kujua mtu mwenye nia njema na Watanzania au mwenye nia OVU. Samia ana nia OVU na Watanzania ya kuendelea kuminya uhuru na haki zetu za kuchagua Viongozi tuwatakao bila kuingiliwa na mtutu wa bunduki au Tume FAKE ya uchaguzi.
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app