Mbowe: Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA

Mbowe: Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA

yaani uchaguzi umeisha 2020, wewe leo unataka ufanye mikutano ya siasa ya hadhara kila siku mitaani mpaka 2025....nini maana ya kuwepo kampeni kwenye uchaguzi?..

Hakuna jambo baya kama kuiweka nchi kwenye tension kila siku na watu kuacha kazi za msingi za kukuza uchumi matokeo yake kuwa busy kudeal na mikutano siasa...

Kama issue ni mikutano na ujenzi wa vyama, mikutano ya ndani na majimboni inatosha na sio active politics za mitaani na mabarabarani kila kukicha na kuleta ugumu kwenye shughuli nyingine za maendeleo na uchumi..

Mambo mengine haya mbona kutafuta marumbano yasiyokuwa na tija. Huu woga wa kuruhusu mikutano unatokea wapi? Tension ipi unayoiongelea?

Iliwahi kutokea wapi au lini tension hiyo?
 
Binafsi nimeshasema hivyo, hawa kumbe bora kuwalamba mijeledi na kuwafanyia umafia tu, ukiwaendekeza huwezi kutawala maana akili zao zakitoto saaana halafu hawajui maana ya siasa na kuongoza nchi..
Mmoja wao alikua kama wewe na akaomba cheo cha kuongoza malaika na hatimae akatunukiwa cheo hicho na kingine cha juu kabisa cha ushujaa.
 
Unaongea Kama mtoto vile....

Kwa hiyo Samia aliyekuwa ni makamu Rais ajiuzulu na kuacha ndoto zake za KISIASA simply kwa sababu ya kutoridhishwa na uwepo wa ndani wa hao UAMSHO ?!! Khaaa....

Political will ninayosemea mimi ni ile "mikono yake mikubwa" KIKATIBA(presidential decree) iliyowatoa WOTE HAO......

Hata JK alikuwa na "MIKONO HIYO"...
Hata JPM alikuwa na "MIKONO HIYO".....

Kwani mh.Samia amewaogopa UAMSHO kufikia wakati wake kutolewa RUMANDE?!!!

Unajizungusha kwa kukataa kukubali tu kuwa mh.SAMIA "ameplay role" kubwa leo UAMSHO kujipiga BIRIANI nyumbani....na Mdude kwenda zake kula maparachichi.....

Halafu hebu ukue basi....uko Marekani eee?!!!

Unaongelea kujiuzulu Afrika kana kwamba ni kupinga "kamasi tu".....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mpuuzi sana huyu sijui nani kamdanganya kwamba Samia ana hati miliki ya nchi hivyo anaweza kuropoka upuuzi wake na Watanzania tukakaa kimya.

Hili taga taahira hua linajificha ficha kwa hofu,hua linajaribu kujitokeza hadharani Kama hivi likiona uislama mixer CCM imeguswa.
 
Hlo ulilozungumza ni sawa,isipokuwa fikra zimeshajengwa ktk nchi hii watu kutegemea ihsan kwa kiongozi wa juu.
Hakika ubovu wa katba iliyopo hata CCM wameonja machungu yake
Of course sote tunataka tupate katiba mpya. Sote Sisi.

Mheshimiwa rais juu ya limited resources zilizokuwepo ametuambia tutlie hilo lipo kwenye agenda zake. Au mnalotaka ni aseme tu kama alivyosema Magufuli kwamba katiba sio agenda yake???

Hivi mkuu, mchakato wa kupatikana kwa katiba mpya tunaujua resources zinazotumika??

Je ndani ya miezi 3 mtu unaweza pata hizo resources?? People, finance and alike??
 
Kuna jamaa aliwaambia kabisa Katiba sio ajenda yake na mkafyata mkia na kuaza kulialia..

Huyu anawaambia ni sehemu ya agenda yake ila anadeal na vipaumbele vyake kwanza kuweka mambo sawa halafu mchakato uendelee..

Wote tunajua uchumi umeyumba na mambo mengi hayako sawa, sasa hizo hela za hiyo Katiba zitatoka wapi...?
Uchumi uneyumba wapi wkt shujaa alisema uchumi wetu ni moja ya uchumi unaikua kwa kasi Africa?Kumbe jamaa alikua muongo eeh.
 
Mmoja wao alikua kama wewe na akaomba cheo cha kuongoza malaika na hatimae akatunukiwa cheo hicho na kingine cha juu kabisa cha ushujaa.
Kufa ni mipango ya Mungu, hata wewe siku yako ikifika utakufa na utafukiwa ardhini tu. Kifupi hakuna atakayeishi milele...

Amekufa akitumikia nchi, ana mabaya na mazuri yake kama binadamu...Mwenyezi Mungu ndio anajua ubaya na uzuri wake zaidi na kama pepo au moto zote ni za Mwenyezi Mungu na ndiye anayeweza kuchagua wapi kwa kumuweka mja wake kama ambavyo hata wewe ukifa..
 
Mpuuzi sana huyu sijui nani kamdanganya kwamba Samia ana hati miliki ya nchi hivyo anaweza kuropoka upuuzi wake na Watanzania tukakaa kimya.
Hahah vijana wanajitoa ufahamu tu,mfano tukiwauliza ni wapi kwny Katiba imeandikwa mwanasiasa haruhusiwi kutoka Jimbo 1 Hadi kingine kupiga siasa?Yatabaki yanalia Lia tu.
 
Mdude Nyagali ametoka RUMANDE kwa huruma ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan......

Masheikh wa UAMSHO wanakula biriani mtaani kwa sababu ya huruma ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan......

Mbowe amefutiwa kesi yake na kurudishiwa milioni zake 300 kwa sababu ya huruma ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan......

Kwani MDUDE NA WENZAKE wangeendelea kukaa RUMANDE kingebadilika KIPI huku mitaani ?!!!!!!


#ChademaWameanzaKubeep
Kumbe we jitu la hovyo darasa la saba
 
Kimoyo moyo una kubali kuwa bila yeye matakwa yenu mengi yasingefanikiwa.
Uamsho
Mdude
Kina mbowe kurudishiwa fedha zao
Kesi ya kina Tito magoti na mengine mengi. Si mlikuwa mnapigania siku nyingi na amelegeza kamba. Kwanini unabisha tu ili mradi ubishe? Chadema bwana...
Na bado Kuna mambo mengi tu kutwa mnamuomba mama alegeze, analegeza na bado mnamponda
Ndio maana Magu alikuwa anawadharau sana chadema!

Na juzi hapa walikuwa wanademka kumsifia eti anawakomesha mataga
 
Kufa ni mipango ya Mungu, hata wewe siku yako ikifika utakufa na utafukiwa ardhini tu. Kifupi hakuna atakayeishi milele...

Amekufa akitumikia nchi, ana mabaya na mazuri yake kama binadamu...Mwenyezi Mungu ndio anajua ubaya na uzuri wake zaidi na kama pepo au moto zote ni za Mwenyezi Mungu na ndiye anayeweza kuchagua wapi kwa kumuweka mja wake kama ambavyo hata wewe ukifa..
Mtetezi wa wanyonge watu wako wanatoa sadaka ya shukrani kila wiki huku makanisani,eti mniombeeeee.

Yaani Mimi uninyime mkono halafu uniambie nikusainie mafao yako ukatibiwe,sikusaini ng'oooo-Akimwambia Maalimu hapo.


Yaani yule jamaa alijionaga kama jackie Chan vile.
 
Sasa kuna kipindi nitaacha kulaumu Tabia za hayati Magufuli, na CHADEMA waangalie sana maana mama anawapa tabasamu watanzania sasa msije mkazalisha dikteta mpya.
KUNA DIKTETA KWA ASIRI NA DIKTETA WA KUTENGENEZWA. Hata kwenye ndoa kuna tabia za mke zina weza kumfanya mume kuwa mlevi au kuwa na nyumba ndogo
 
Kule Misri kuna RAIS aiitwaye EL SISI....huyo asingechezewa na hawa akina MBOWE.....

EL SISI amewaweza nduguze MUSLIM BROTHERHOOD....Leo akina MBOWE NA TUNDU LISSU wanamshambulia mh.Rais Samia Suluhu kiasi hiki ?!!!! Khaaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

REST IN PEACE OUR BELOVED JOHN POMBE MAGUFULI ,AMEN!!!

#KaziInaendelea
#StaunchSupporterOfSSH
Kamfuate Jiwe umbusu huko aliko
 
Hawa maccm Warioba na Butiku wanaoujua umuhimu mkubwa wa Katiba mpya mbona wanaifagilia katiba mpya? Wacha ujinga wa kutaka kuendeleza UCHAFUZI wa kura. Na Mbowe na Chadema kudai uchaguzi huru na wa haki hawambabaishi yoyote yule bali ni haki yao ya kikatiba kupinga uminywaji wa haki na uhuru wa Watanzania kuchagua Viongozi tuwatakao badala ya hawa wanaopitishwa kwa mtutu wa bunduki na ile tume FAKE ya UPORAJI wa kura.
Mnataka hyo katiba ili hii inch isitawalike..kila siku tuwe tunakimbizana mahakaman na kina lisu..hii ni africa wew
 
Sasa kuna kipindi nitaacha kulaumu Tabia za hayati Magufuli, na CHADEMA waangalie sana maana mama anawapa tabasamu watanzania sasa msije mkazalisha dikteta mpya.
KUNA DIKTETA KWA ASIRI NA DIKTETA WA KUTENGENEZWA. Hata kwenye ndoa kuna tabia za mke zina weza kumfanya mume kuwa mlevi au kuwa na nyumba ndogo
Naona una mpango wa kufanywa nyumba ndogo.
 
Back
Top Bottom