Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmeishiwa nyinyiiii.Uzuri aliyewaweka ndani ni muislam mwenzao JK na aliyewatoa ndani ni muislam mwenzao Samia.
Imeisha hio.
Takbiiiir.
Akufukuzaye hakwambii toka! Au hamjui?Huyo mama si alikuwa mmoja wa timu magufuli kama aliona maovu kwanini hakusema hadharani? Kitumbua chake alikiona muhimu sana kuliko haki za Watanzania kudhulumiwa?
Unakuwaje shukrani na dikteta anayetaka eti atengeneze uchumi kwanza kisha ndiyo katiba mpya. Uchumi atautengeneza kwa miaka miaka mingapi? 10, 20 au 30!?
Wewe usimuheshimu kwanza sio lazima.Kwani hujui kwamba tulikuwa na DIKTETA? Kwanini Kikwete alikubali wahamishiwe Bara kwa tuhuma za Visiwani? Jaribu kutumia akili japo kiduchu. Unadhani huyo Samia alikuwa hajui kuhusu dhuluma na udhalimu uliokuwa unafanywa na dhalimu magufuli!? Si ALIUFYATA ili kitumbua chake kisiingie mchanga? Kama ni political will kwanini hakumpinga hadharani? Kwanini hakujiuzulu!?
Hakuna ukweli wowote wakati huyo mama alikuwa amekumbatia maovu yote ya dhalimu kwa miaka mitano leo anataka kujifanya eti ana usafi!!!!
Ningemuheshimu sana kama angepinga maovu hadharani au kujiuzulu vinginevyo ni mnafiki tu ambaye anataka kujisafisha na kujiweka mbali na dhalimu mwendazake wakati kwa miaka mitano hayo maovu anayoyaona leo hii HAKUYAONA.
Kuna wengi hawakuweka mtu yeyote ndani (Professor Balegu, Maalim Seif), nao hatunao tena!Aliyewaweka ndani wenzake leo Yuko wapi mkuu?
chadema bhana, wanategemea sisiemu icheze kila biti wanalopiga...
Itafika wakati mama atasema fvck these guys, kumbe ndio wako hizi....to hell with them, i will do it my fvcking way....Mama amekwishasema yeye yoyoooo people power na ulevi wa Konyagi na mwenyekiti milele wasubiri.Big up mama na mkimtest hapigi na mikanda kama Baba atawafinya na kuwamwagia radhi mpate laana.
Ndugu,..Mama ameteleza.
..Eti anarekebisha uchumi!
..Na kutengeneza ajira!!
..hizo ni kazi ENDELEVU, hufanyi miezi miwili mitatu halafu ukapumzika.
These people are not being realisticUnaongea Kama mtoto vile....
Kwa hiyo Samia aliyekuwa ni makamu Rais ajiuzulu na kuacha ndoto zake za KISIASA simply kwa sababu ya kutoridhishwa na uwepo wa ndani wa hao UAMSHO ?!! Khaaa....
Political will ninayosemea mimi ni ile "mikono yake mikubwa" KIKATIBA(presidential decree) iliyowatoa WOTE HAO......
Hata JK alikuwa na "MIKONO HIYO"...
Hata JPM alikuwa na "MIKONO HIYO".....
Kwani mh.Samia amewaogopa UAMSHO kufikia wakati wake kutolewa RUMANDE?!!!
Unajizungusha kwa kukataa kukubali tu kuwa mh.SAMIA "ameplay role" kubwa leo UAMSHO kujipiga BIRIANI nyumbani....na Mdude kwenda zake kula maparachichi.....
Halafu hebu ukue basi....uko Marekani eee?!!!
Unaongelea kujiuzulu Afrika kana kwamba ni kupinga "kamasi tu".....
Demi,Sasa Kaka, Kwanini hawakuachiwa kipindi Cha Magufuli au kipindi Cha JK na wanasheria walikuwepo? Hili suala mama samia anapaswa kupongezwa. Bado hamuoni Kama kafanya jambo jema. Ni Kama vile hamna shukrani kwake
Hawa watu wana agenda yao ya siri. Sio maendeleo tu ya Tanzania.Kimoyo moyo una kubali kuwa bila yeye matakwa yenu mengi yasingefanikiwa.
Uamsho
Mdude
Kina mbowe kurudishiwa fedha zao
Kesi ya kina Tito magoti na mengine mengi. Si mlikuwa mnapigania siku nyingi na amelegeza kamba. Kwanini unabisha tu ili mradi ubishe? Chadema bwana...
Na bado Kuna mambo mengi tu kutwa mnamuomba mama alegeze, analegeza na bado mnamponda
Wewe usimuheshimu kwanza sio lazima.
Nyinyi watu sijui akili zenu zikoje. Nilionya humu kwamba mama ameamua kuwa na staha na busara, kuweni na staha na busara.
Mkijifanya mandezi mtaletewa undezi.
Mimi mwana CCM, lakini ni ujinga kuwa na mitazamo kama hiyo. Hatuhitaji haki kupatikana kwa HURUMA.Mdude Nyagali ametoka RUMANDE kwa huruma ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan......
Masheikh wa UAMSHO wanakula biriani mtaani kwa sababu ya huruma ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan......
Mbowe amefutiwa kesi yake na kurudishiwa milioni zake 300 kwa sababu ya huruma ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan......
Kwani MDUDE NA WENZAKE wangeendelea kukaa RUMANDE kingebadilika KIPI huku mitaani ?!!!!!!
#ChademaWameanzaKubeep
Mama tulia upewe na furahia cha asubuhi. Haya huyawezi.
Sasa hiyo katiba ndio unadhani inapatikana tu???Katiba ndio msingi na muelekeo wa taifa sasa ukisema tusubiri yaani. Maisha tuyaweke tena mkononi mwa mtu mmoja .HAPANA . Huu ndio mustakabali wetu n.a. vizazi vijavyo .