Mbowe: Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA

Mbowe: Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA

Ndugu,

Kwani movement hizi zinazotaka kuanzishwa ni kwa ajili ya nini haswa?? Kwa mfano hii movement wanayoifanya chadema na watu wao wa Twitter ni kwa ajili ya nini???
Tujadiliane
Ni kwa ajili ya katiba mpya,hii si hitaji la CDM,ni hitaji la wananchi,Katiba hii ilipoandikwa mwaka 1977 ni dhahiri kwamba hata 30% ya population (population ilikuwa 17m)haikuwa imezaliwa,kuna shida gani watu kuulizwa na kuchangia mawazo wanataka waongozweje???Kama wanataka kuburuzwa tutajua kwenye mchakato,kwa nini hamtaki, kusikia maoni ya watanzania??kuna shida gani??.Kuna hofu gani,Vazi 1977,mnasema linafaha kuvaliwa 2021,pamoja na mapungufu yote yaliyo dhahiri.
 
Kule Misri kuna RAIS aiitwaye EL SISI....huyo asingechezewa na hawa akina MBOWE.....

EL SISI amewaweza nduguze MUSLIM BROTHERHOOD....Leo akina MBOWE NA TUNDU LISSU wanamshambulia mh.Rais Samia Suluhu kiasi hiki ?!!!! Khaaaaa 🤣🤣🤣🤣

REST IN PEACE OUR BELOVED JOHN POMBE MAGUFULI ,AMEN!!!

#KaziInaendelea
#StaunchSupporterOfSSH
Ilo tu ndo unaliona la maana
 
Kwa hiyo MBOWE akisema HAPANA ndio anawasemea WATANZANIA WOTE?!!!

Hapana yake ni ya KIJINGA TU.....walisema HAPANA....na hawakutokea pale UBUNGO.....asimbabaishe mtu bana....

#KaziInaendelea

Kuna tofauti ya kumwunga mkono mama na kuwa Chawa wa Mama. Hata vyawa wa mzee baba hatukuacha kuwaasa hivyo.
 
Wanasiasa hasa wa CDM wajitahidi kuishi kwa busara, nchi iko kwenye tension na utulivu 1unahitajika saaana kuliko tunavyofikiri...

wapo watu kazi yao kumwaga petrol kila penye moto na ukiwaka kuzimika itakuwa haiwezekani tena, huu utoto mnaoleta matokeo yake ni mabaya kuliko mnavyofikiri na tukiendelea na huu ujinga siku tutaikuta nchi imegawika vipande vipande hii...tensio ambayo nchi iko nayo kubwa sana baada ya kifo cha mzee hasa lile kundi kubwa la kanda ile halafu bado na nyie CDM mnakuja na yenu ( mnafikiri mtawawin wale jamaa wenye ajenda yao kule lake?)....
 
wafuasi wa chama chakavu wengi ni chawa mazezeta
Wanasiasa hasa wa CDM wajitahidi kuishi kwa busara, nchi iko kwenye tension na utulivu 1unahitajika saaana kuliko tunavyofikiri...

wapo watu kazi yao kumwaga petrol kila penye moto na ukiwaka kuzimika itakuwa haiwezekani tena, huu utoto mnaoleta matokeo yake ni mabaya kuliko mnavyofikiri na tukiendelea na huu ujinga siku tutaikuta nchi imegawika vipande vipande hii...tensio ambayo nchi iko nayo kubwa sana baada ya kifo cha mzee hasa lile kundi kubwa la kanda ile halafu bado na nyie CDM mnakuja na yenu ( mnafikiri mtawawin wale jamaa wenye ajenda yao kule lake?)....
 
Acha UNAFIKI wewe!!! Mama ana staha ipi? Hukumsikia kutumia neno KUDEMKA ni staha hiyo? Wewe UONYE humu kama nani!? 😳😳😳
ACHA KUJIKWEZA zuzu wewe!!! kawatishe wengine siyo mimi.
Tutakachowapa ni undezi tu muanze kulia lia.

Nyinyi si mnajifanya mipunda hamuendi bila kupigwa magongo???

Nani kakutisha?? Au unahisi kutishwa?? Unajifanya hamnazo sio??

Haya sasa endeleeni na mikutano yenu ya kijinga muone
 
Mimi mwana CCM, lakini ni ujinga kuwa na mitazamo kama hiyo. Hatuhitaji haki kupatikana kwa HURUMA.
Kutokutaka kwako hakuondoi uhalisia.

Hivyo ndivyo ilivyo kwamba maamuzi ya mahakama kwa muda mrefu sasa yamekuwa yanatokana au yanaingiliwa kwa namna moja au nyingine na uongozi ulioko madarakani.

Bila katiba mpya, hakutakuwa na jipya chini ya utawala wa ccm.
 
Angalia mpumbavu huyu!!! Hebu nitolee ujinga wako hapa ZWAZWA wewe! Ujinga wako huko huko kwa wapuuzi wenzio siyo humu.
Tutakachowapa ni undezi tu muanze kulia lia.

Nyinyi si mnajifanya mipunda hamuendi bila kupigwa magongo???

Nani kakutisha?? Au unahisi kutishwa?? Unajifanya hamnazo sio??

Haya sasa endeleeni na mikutano yenu ya kijinga muone
 
Mmeishiwa nyinyiiii.

Mlisema ni magaidi hawatoki, Leo wanaitwa kwenye majukwaa kuzungumzia namna gani tunaweza ijenga Tanzania
Wala hujakosea mama watoto.

Wanaitwa kuzungumza huku mmeshawekea chupa wakalie nyuma huko mpk wanavuja majimaji Kama walivyosema wenyewe mahakamani,wengine mmewaingizia spoku kwny tundu la mboo.Kweli nyinyi ni wazalendo.

Takbiiiir
 
Mdude Nyagali ametoka RUMANDE kwa huruma ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan......

Masheikh wa UAMSHO wanakula biriani mtaani kwa sababu ya huruma ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan......

Mbowe amefutiwa kesi yake na kurudishiwa milioni zake 300 kwa sababu ya huruma ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan......

Kwani MDUDE NA WENZAKE wangeendelea kukaa RUMANDE kingebadilika KIPI huku mitaani ?!!!!!!


#ChademaWameanzaKubeep
Kwahiyo mhimili wa Mahakama unaingiliwa na Rais Samia....!!!?[emoji849]
 
Tutakachowapa ni undezi tu muanze kulia lia.

Nyinyi si mnajifanya mipunda hamuendi bila kupigwa magongo???

Nani kakutisha?? Au unahisi kutishwa?? Unajifanya hamnazo sio??

Haya sasa endeleeni na mikutano yenu ya kijinga muone

Mkuu penye red ni kitisho. Mjini wanaitwa mkwara mbuzi:

IMG_20210629_065920_814.jpg

Ya mama ni mawazo yake kila mtu ana haki ya kuwa na mawazo yake ila kondoo.
 
Hiv suala la katiba ni ihsan ya kiongozi????
Of course sote tunataka tupate katiba mpya. Sote Sisi.

Mheshimiwa rais juu ya limited resources zilizokuwepo ametuambia tutlie hilo lipo kwenye agenda zake. Au mnalotaka ni aseme tu kama alivyosema Magufuli kwamba katiba sio agenda yake???

Hivi mkuu, mchakato wa kupatikana kwa katiba mpya tunaujua resources zinazotumika??

Je ndani ya miezi 3 mtu unaweza pata hizo resources?? People, finance and alike??
 
Itafika wakati mama atasema fvck these guys, kumbe ndio wako hizi....to hell with them, i will do it my fvcking way....

Binafsi nimeshasema hivyo, hawa kumbe bora kuwalamba mijeledi na kuwafanyia umafia tu, ukiwaendekeza huwezi kutawala maana akili zao zakitoto saaana halafu hawajui maana ya siasa na kuongoza nchi..
 
Angalia mpumbavu huyu!!! Hebu nitolee ujinga wako hapa ZWAZWA wewe! Ujinga wako huko huko kwa wapuuzi wenzio siyo humu.
Hili taga taahira hua linajificha ficha kwa hofu,hua linajaribu kujitokeza hadharani Kama hivi likiona uislama mixer CCM imeguswa.
 
Kuna jamaa aliwaambia kabisa Katiba sio ajenda yake na mkafyata mkia na kuaza kulialia..

Huyu anawaambia ni sehemu ya agenda yake ila anadeal na vipaumbele vyake kwanza kuweka mambo sawa halafu mchakato uendelee..

Wote tunajua uchumi umeyumba na mambo mengi hayako sawa, sasa hizo hela za hiyo Katiba zitatoka wapi...?
 
Back
Top Bottom