Unaujua huu msemo..."kuna ilivyo na kuna inavyotakiwa kuwa"Acha kuandika ujinga wewe! Eti ametoka kwa huruma ya mama wakati hukumu inasema kwamba hakukuwa na ushahidi wa kumtia hatiani. Kwanini unaandika uongo kiasi hili kama vile wengine hatukusikia hukumu husika? Na nani aliyekudanganya huruma ya mama ndiyo iliwatoa masheikh wa uamsho!? Uwe unasikiliza kwa makini badala ya kuja hapa na kupindisha ukweli husika.
Hahah vijana wanajitoa ufahamu tu,mfano tukiwauliza ni wapi kwny Katiba imeandikwa mwanasiasa haruhusiwi kutoka Jimbo 1 Hadi kingine kupiga siasa?Yatabaki yanalia Lia tu.
Kwani uchumi wetu uliyumba lini jomba?Muacheni mama aijenge nchi, hatuna shida ya mikutano ya kisiasa tunahitaji maendeleo, uchumi wetu upae hasa ktk janga hili la Corona wimbi la Tatu!
Umerudi baada ya kuona yule mkatoliki hayupo tena?Fanyeni kazi nyinyi, acheni porojo. Uchumi kwanza.
Mdude ni Kama sikio la kufa! Soon ataanza kutukana viongozi wa Taifa, ilimpasa afungwe walau 10 years ili akili yake iwe na adabu.Mdude Nyagali ametoka RUMANDE kwa huruma ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan......
Masheikh wa UAMSHO wanakula biriani mtaani kwa sababu ya huruma ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan......
Mbowe amefutiwa kesi yake na kurudishiwa milioni zake 300 kwa sababu ya huruma ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan......
Kwani MDUDE NA WENZAKE wangeendelea kukaa RUMANDE kingebadilika KIPI huku mitaani ?!!!!!!
#ChademaWameanzaKubeep
Na mlipopiga Lisu risasi kilibadirika nini?.Mdude Nyagali ametoka RUMANDE kwa huruma ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan......
Masheikh wa UAMSHO wanakula biriani mtaani kwa sababu ya huruma ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan......
Mbowe amefutiwa kesi yake na kurudishiwa milioni zake 300 kwa sababu ya huruma ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan......
Kwani MDUDE NA WENZAKE wangeendelea kukaa RUMANDE kingebadilika KIPI huku mitaani ?!!!!!!
#ChademaWameanzaKubeep
ni sisi pia ndio tulikuwa tukibishana naye na kumwabia hapana, uchumi wetu una hali mbaya kulingana na viashilia tulivyoviona wakati ule..Uchumi uneyumba wapi wkt shujaa alisema uchumi wetu ni moja ya uchumi unaijua kwa kasi Africa?Kumbe jamaa alikua muongo eeh.
Mi tangu kipindi kile bi. mkubwa amesema aliyempiga lissu risasi hawezi kua police wa Bongo maana wao wamefundishwa kulenga hawakosei shabaha,hua namuangalia kwa jicho la pili mkuu.Ni wapuuzi wakubwa hawa Mkuu. Hata haki za msingi za Watanzania hawazijui!!! Huyo mama anatunga tu katiba yake kichwani ili aminye uhuru na haki ya Watanzania na vyama vya uoinzani kukutana hadharani. Dikteta kaanza kuonyesha rangi zake za kweli. Muda si mrefu ataanza kutumia polisi na mahakama kubambikia Watanzania kesi za uchochezi. Yale yale ya dhalimu mwendazake.
Maza anajaribu tu kubehave kama mama lakini wanaanza kumzingua taratibu atawafinya wawe na adabu.Itafika wakati mama atasema fvck these guys, kumbe ndio wako hizi....to hell with them, i will do it my fvcking way....
Mdude Nyagali ametoka RUMANDE kwa huruma ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan......
Masheikh wa UAMSHO wanakula biriani mtaani kwa sababu ya huruma ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan......
Mbowe amefutiwa kesi yake na kurudishiwa milioni zake 300 kwa sababu ya huruma ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan......
Kwani MDUDE NA WENZAKE wangeendelea kukaa RUMANDE kingebadilika KIPI huku mitaani ?!!!!!!
#ChademaWameanzaKubeep
Wacha story za uchumi na kifikra,swali ni je mama Yuko tayari kuleta Katiba mpya ambako jaji mkuu anaweza kusema uchaguzi huu ni batili na urudiwe?Jaji Maraga wa Kenya unamjua.?ni sisi pia ndio tulikuwa tukibishana naye na kumwabia hapana, uchumi wetu una hali mbaya kulingana na viashilia tulivyoviona wakati ule..
Mama anatuambia ukweli hali ya uchumi ilivyo na mivurugano iliyopo ambayo yanahitaji suluhu kuiokoa nchi na kuirudisha kwenye njia, bila shaka hiki kingekuwa kipaumbele cha kila mtu ndio aendelee na mambo mengine..
Katiba ni hitaji la kila mtu sio CDM au wapinzani tu na hii sio agenda ya kisiasa bali agenda ya wananchi tulio wengi....Je tuko tayari kuuanza mchakato kwa maana ya kifikra na kiuchumi?
Upo sahihi kabisa. Bora wewe lapili. Mimi la tatuMi tangu kipindi kile bi. mkubwa amesema aliyempiga lissu risasi hawezi kua police wa Bongo maana wao wamefundishwa kulenga hawakosei shabaha,hua namuangalia kwa jicho la pili mkuu.
Hakuna watu wapuuzi kama ninyi wa kusifu na kuabudu !!.Mdude Nyagali ametoka RUMANDE kwa huruma ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan......
Masheikh wa UAMSHO wanakula biriani mtaani kwa sababu ya huruma ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan......
Mbowe amefutiwa kesi yake na kurudishiwa milioni zake 300 kwa sababu ya huruma ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan......
Kwani MDUDE NA WENZAKE wangeendelea kukaa RUMANDE kingebadilika KIPI huku mitaani ?!!!!!!
#ChademaWameanzaKubeep
Sasa kuna kipindi nitaacha kulaumu Tabia za hayati Magufuli, na CHADEMA waangalie sana maana mama anawapa tabasamu watanzania sasa msije mkazalisha dikteta mpya.
KUNA DIKTETA KWA ASIRI NA DIKTETA WA KUTENGENEZWA. Hata kwenye ndoa kuna tabia za mke zina weza kumfanya mume kuwa mlevi au kuwa na nyumba ndogo
Maza anazuga tu huku nje,lkn akikaa na wadau Kule chamani anawaambia mwendo ni ule ule tu.Maza anajaribu tu kubehave kama mama lakini wanaanza kumzingua taratibu atawafinya wawe na adabu.
Mi tangu kipindi kile bi. mkubwa amesema aliyempiga lissu risasi hawezi kua police wa Bongo maana wao wamefundishwa kulenga hawakosei shabaha,hua namuangalia kwa jicho la pili mkuu.
Huyo beloved wako ukali na ugaidi wake umemfikisha wapi ?!.Kule Misri kuna RAIS aiitwaye EL SISI....huyo asingechezewa na hawa akina MBOWE.....
EL SISI amewaweza nduguze MUSLIM BROTHERHOOD....Leo akina MBOWE NA TUNDU LISSU wanamshambulia mh.Rais Samia Suluhu kiasi hiki ?!!!! Khaaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
REST IN PEACE OUR BELOVED JOHN POMBE MAGUFULI ,AMEN!!!
#KaziInaendelea
#StaunchSupporterOfSSH
KilA kitu kina gharama Yake ata ujinga pia una gharama .kwa hiyo tusijenge msingi imara kuogopa gharama .huko shule mlienda kusomea ujinga.Sasa hiyo katiba ndio unadhani inapatikana tu???
Hajapevuka yeye ambae alisema watu wa kimara wavunjiwe nyumba zao,Ila watu wa Mwz kwa kua walimpigia kura na kumfanya yeye kua rais nyumba zao zisivunjwe.Binafsi nimeshaacha kumlaumu mwendazake juu ya hatua zake dhidi ya wanasiasa na hizi siasa. Nimegundua yule Mzee kuna mahala alikuwa sahihi dhidi ya huu utoto wa wanasiasa wa Tanzania....kifupi bado hawajapevuka...
Mimi nilipoteza imani naye alipotamka kwamba katiba mpya mtasubiri sana. Nikajua tuna dikteta mwingine Ikulu.