Mbowe: Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA

Mkuu nikwambie ukweli ccm hawataki kujenga tahasisi imara Bali wanajenga chama Chao tu.katiba si sehemu ya mahitaji yao kabisa.
 
Fanyeni kazi nyinyi, acheni porojo. Uchumi kwanza.
Mwanasiasa Nazi yake ni kufanya Siasa..
Kumzuia ni kama kumtoa samaki majini ili aendelee kuishi.Kwanza hakuna kipengele chochote iwe katiba au sheria inayo mpa mamlaka au wajibu Rais kusimamia vyama vya Siasa.Ata ingekua Decree ina utaratibu wake.
 
Hilo swala hata chama chake nadhani kilitega sikio kwa makini sana.
Lakini ipo dalili njema kwa wapinzani baadae.
Sisi tusio na vyama bado tupo kwenye sherehe kwakweli. Mama anatupa kucheka kila uchao.
 
Kiukweli pamoja na mapungufu yake ila raisi ameonyesha japo mwelekeo maana lazima kuwe na vipaumbele katika kujenga nchi cha msingi tuwe wavumilivu, kama yeye anasema anaweza kulifanyia kazi basi hakuna tatizo tumpe muda pia maana ameonyesha nia japo mahitaji ya katiba mpya ni muhimu sana
 
Unajiongeresha kama vile umekatwa kichwa. Pumbavu sana nyie wachumia tumbo.
 
Your beloved.
 
Tulieni sindano iwaingie vizuri!! Hivi mlitegemea awatengee biriani mezani?
 
Hivi huyu Elisisi bado yuko madarakani mpaka sasa?.
 
Thanks
'Human rights is not my priority,do u love corruption? Corruption is the cancer'-Bwn yule akiwa zake Uganda kwny mkutano wa waandishi wa habari.
 
me naamin bi mkubwa mpigania haki! ayasilize na kuyafanyia kazi, penye mashiko arekebishe pasiwe tena na ukandamizi..
 
Na kaburi la maalim linagombewa kuchukuliwa mchanga na wananchi mpk ulinzi umewekwa kuzuia Hilo,chato sijui Kuna Hali gani.
Chato Nasikia maombi yamepelekwa Vatican John apewe utakatifu - Seint Magufuli
Mimi nitaunga mkono hilo. Hapa siyo Mchanga ni utakatifu mzima
 
Mipinzani inademka sana siku hizi, enzi za mwenyewe awamu ya 5 yote yaliufyata.
 

Inaonekana ww ni kijana unayebalehe, kama sio basi utakuwa ni mshamba fulani. Maana hivyo viemoj vinaonyesha umri wako.
 
Matoto ya ibilisi ni maongo kama alivyo baba yao.
Uongo
Uongo
Uongo mtupu!!
 
Hivi Tanzania kuna bunge? Au kuna kikundi cha wahuni wa Ccm walio jikusanya na kujiita wabunge?
Kwa mara ya kwanza Mama amechemsha, maana majimbo yote ni Ccm ili pora, anapo sema wabunge wafanye mikutano kwenye majimbo yao, je? Vyama vya upinzani waka fanyie mikutano ya hadhara Kenya?
Kuna tatizo mahali.
Kwamba Mama hajui kama upinzani hawana wabunge?
She is not serious!!!!!
 
Mnamuona faala sasa mwamsheni halafu muanze kutupigia kelele kila anayekuja kwenu m baya hata dunia itawashangaa, nilijua tu hii mara mbeya mara wapi haina jema mlikuwa mnapima upepo, ingieni barabara mtakwenda wasimulia wake zenu, Sisi tupo watoa pole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…