Mbowe: Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA

Mbowe: Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA

Habari wana Jamvi

Naweka record vizuri, Freeman Aikaeli Mbowe, Form 6 alipata Div 0, hivyo mtu wa Div 0 asije akasumbua kutaka mikusanyiko ya siasa wakati hakuna kampeni. Only indoors meeting ya vyama vya siasa haina shida, ila mikutano ya hadhara na kampeni zilishaisha hii haifai na haikubaliki hadi wakati wa kampeni kisheria ukifika. Hii ndio akili ya Mbowe, yaani kuwe na mikutano ya hadhara siku zote, nchi nzima, hii ndio madhara au matokeo ya Div 0. Nchi gani itakuwa kila kukicha mikutano ya hadhara? Hilo kamwe haliwezekani, vikao vya ndani hakuna tatizo. Uchumi gani utajengwa, au Mbowe kwa akili ya Div 0 anadhani kila siku kuwe na mikutano ya siasa, hiyo nchi ya wapi? That is rubbish. Div 0 outcome yake mnaona sasa.

Mh. Rais wetu, Mama Samia, umefanya uamuzi sahihi kabisa, tujenge uchumi kwanza, kwa sasa mikutano ya hadhara big Noooo, muda wa kampeni ukifika mikutano ya hadhara ruksa.. Mbowe wala asikusumbue ana div 0 kubwa.

Have a great day.
Miaka 60 hamjajenga nchi ndio mjenge leo kwasababu yakusema mzuie mikutano ya hadhara.

Hunambwa.
 
Elimu inaweza kukubeba na inaweza kukushusha pia. Div 0 yake kaitumia vizuri hasa pale alipokubali kuoa binti wa mwenye chama ni bonge la ngekewa
 
Safiii Mama yetu Samia, never allow mikusanyiko ya kisiasa, hadi uchaguzi ukaribie, ila vikao vya ndani ruksa.. Muda wa kampeni uliisha, sasa ni kujenga nchi, sio kila siku iwe mikutano ya siasa nchi nzima, mikusanyiko isiyoisha nchi nzima, hilo kamwe usiruhusu milele, vikao vya ndani vya vyama havina tatizo, mikusanyiko mwiko kabisa, hadi muda wa kampeni ufike..

Safii safiii Mama yetu Mh. Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Mh. Rais, usibabaike na Mbowe, form 6 ana division 0 kubwa, kataga kabisa. Disregard him.
Pumbaaaf, bwege na chizi mkubwa!!!
Kumbuka inachomtokea mhuni mwenzako Ole Sabaya!!! Kuna mijitu ya CCM bado hamjajitamhua hata baada ya pigo la Jiwe lao! Mungu haha hadhihakiwi!!
Soma alama za nyakati ujitambue!!!
 
Mama kama mwenyekiti wa CCM amesema mara kadhaa kwamba asubiriwe kidogo. Hapo utasemaje CCM hawataki katiba mpya?

Nini shida tena??
Tusubiri kidogo mpaka lini,jambo lolote lenye plan,linakuwa na timeframe, kuhusu uchumi na ajira, ni zao la katiba mbaya na kandamizi, KATIBA ni msingi wa yote, Kwani kilichoharibu uchumi na hata ajira si kilitokana na katiba,iliyotengeneza mamlaka isiyo wajibishwa??? Na kwa kweli ili si jambo la CCM,ni jambo la taifa,Hatujadili kuhusu katibu mwenezi wa CCM,tunajadili mustakabali wa taifa,watu 60,million, Tuwasikilize.kiongozi anachaguliwa na wananchi na wala kiongozi achagui wananchi.Wananchi wanataka kusema nchi iongozweje, wao ndio waamuzi wa namna gani waendeshe nchi yao.Mambo ya kuteka fikra za watu yameshapitwa na wakati.
 
If you read mbowe between the lines he is acting.
 
Tulifikiri kuwa baada ya pombe ni suluhu kumbe majaliwa ya nchi bado ni mpango wa kivuli cha Magufuli!
 
Habari wana Jamvi

Naweka record vizuri, Freeman Aikaeli Mbowe, Form 6 alipata Div 0, hivyo mtu wa Div 0 asije akasumbua kutaka mikusanyiko ya siasa wakati hakuna kampeni. Only indoors meeting ya vyama vya siasa haina shida, ila mikutano ya hadhara na kampeni zilishaisha hii haifai na haikubaliki hadi wakati wa kampeni kisheria ukifika. Hii ndio akili ya Mbowe, yaani kuwe na mikutano ya hadhara siku zote, nchi nzima, hii ndio madhara au matokeo ya Div 0. Nchi gani itakuwa kila kukicha mikutano ya hadhara? Hilo kamwe haliwezekani, vikao vya ndani hakuna tatizo. Uchumi gani utajengwa, au Mbowe kwa akili ya Div 0 anadhani kila siku kuwe na mikutano ya siasa, hiyo nchi ya wapi? That is rubbish. Div 0 outcome yake mnaona sasa.

Mh. Rais wetu, Mama Samia, umefanya uamuzi sahihi kabisa, tujenge uchumi kwanza, kwa sasa mikutano ya hadhara big Noooo, muda wa kampeni ukifika mikutano ya hadhara ruksa.. Mbowe wala asikusumbue ana div 0 kubwa.

Have a great day.
hahahaaaa kumbe tunahangaishwa na LIZIRO DIVISION? ndiyo maana mpaka wafuasi wake wanafujo kumbe wanaongozwa na zero duuuuu aibu
 
Mdude Nyagali ametoka RUMANDE kwa huruma ya mh. Rais Samia Suluhu Hassan......

Masheikh wa UAMSHO wanakula biriani mtaani kwa sababu ya huruma ya mh. Rais Samia Suluhu Hassan......

Mbowe amefutiwa kesi yake na kurudishiwa milioni zake 300 kwa sababu ya huruma ya mh. Rais Samia Suluhu Hassan......

Kwani MDUDE NA WENZAKE wangeendelea kukaa RUMANDE kingebadilika KIPI huku mitaani ?!!!!!!


#ChademaWameanzaKubeep
Nyambafu hiyo sio HISANI .....Haki haiombwi...azidi kuunguwa huko Jehanamu
 
Pumbaaaf, bwege na chizi mkubwa!!!
Kumbuka inachomtokea mhuni mwenzako Ole Sabaya!!! Kuna mijitu ya CCM bado hamjajitamhua hata baada ya pigo la Jiwe lao! Mungu haha hadhihakiwi!!
Soma alama za nyakati ujitambue!!!
Tulia dawa ikuingie!

Na bado chanjo nayo tutakuchanja utake usitake
 
Back
Top Bottom