Pre GE2025 Mbowe: Mimi sijachoka, ukomo wa madaraka ni watu wanaokutaka au kukukataa

Pre GE2025 Mbowe: Mimi sijachoka, ukomo wa madaraka ni watu wanaokutaka au kukukataa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Mbowe anasema wanaosema aachie madaraka wakome, hajachoka, bado ana nguvu za kutosha na kuweza kufanya mikutano 8 kwa siku bila kula, kama kuna mtu ana nguvu kama yeye ajitokeze.

Mbowe asema ukomo wa madaraka ni watu wanaokutaka au kukukataa, na huu ndio ukomo halisi wa demokrasia. Kuna watu wakiongoza mara moja wanakataliwa, lakini wengine wanachaguliwa tena na tena, hawawekewi ukomo kwa sababu watu wanawataka.

Pia soma: Pre GE2025 - Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura

Kama wanachama wanamtaka kiongozi fulani wewe ni nani kusema huyu amekaa miaka mingi aondoke?

Mbowe asema kuwa chama cha upinzani siyo kazi rahisi, ni kazi ambayo inahitaji watu waliyokuwa tayari na siyo kazi ya ukomo, ni kazi ngumu, kwahiyo watu wote wanaofanya kazi hiyo hawapaswi kubezwa wakati wowote, wanapaswa kupongezwa na kutiwa moyo kwasababu hawajajiweka wenyewe kwenye madaraka lakini pia wanafanya kazi ngumu ambayo watu wengi wanaikimbia, hivyo mmoja anatakiwa kupewa haki ya kugombea.

Mbowe ameongeza pia makelele ya mtandaoni hayamnyimi usingizi, anachoangalia ni kukijenga chama, na kuwaonya wanaoendelea kumtukana wasije kufikishana pabaya baada ya uchaguzi
 
Habari zenu wanaJF wenzangu

Habari ndio hiyo. Sasa ni dhahiri uchaguzi mkuu wa chama mwaka huu unaenda kuwa na mnyukano mkali kuliko ule uliopita. Kikubwa wale watakaoshindana nae mwamba huyo wawe wamejipanga na kujiandaa kweli kweli, ili kuepuka kelele za kuibiwa kura hapo baadae.

Tunakwenda kushuhudia pambano kali la hoja, shutuma na maelezo kati ya born town na bush men.
 
Wakuu,

Baada ya kuwepo kwa kelele kuwa kuwa anahitaji kupumzika na kwamba kunatakiwa kuwepo kwa ukomo wa madaraka ndani ya CHADEMA, Mbowe amesema kuwa bado yuko ngangari kuongoza chama

 
Wakuu,

Mbowe anasema wanaosema aachie madaraka wakome, hajachoka, bado ana nguvu za kutosha na kuweza kufanya mikutano 8 kwa siku bila kula, kama kuna mtu ana nguvu kama yeye ajitokeze.

Mbowe asema ukomo wa madaraka ni watu wanaokutaka au kukukataa, na huu ndio ukomo halisi wa demokrasia. Kuna watu wakiongoza mara moja wanakataliwa, lakini wengine wanachaguliwa tena na tena, hawawekewi ukomo kwa sababu watu wanawataka.

Kama wanachama wanamtaka kiongozi fulani wewe ni nani kusema huyu amekaa miaka mingi aondoke?

Mbowe asema kuwa chama cha upinzani siyo kazi rahisi, ni kazi ambayo inahitaji watu waliyokuwa tayari na siyo kazi ya ukomo, ni kazi ngumu, kwahiyo watu wote wanaofanya kazi hiyo hawapaswi kubezwa wakati wowote, wanapaswa kupongezwa na kutiwa moyo kwasababu hawajajiweka wenyewe kwenye madaraka lakini pia wanafanya kazi ngumu ambayo watu wengi wanaikimbia, hivyo mmoja anatakiwa kupewa haki ya kugombea.

Mbowe ameongeza pia makelele ya mtandaoni hayamnyimi usingizi, anachoangalia ni kukijenga chama, na kuwaonya wanaoendelea kumtukana wasije kufikishana pabaya baada ya uchaguzi
Kwahiyo tusisikie kelele siku Mama akibadirisha katiba na kutoa ukomo wa madaraka.
 
Binasfi kama anagombea sawa sanduku la kura ndo litaamua , aya mambo yakusema mtu asigombee ,iwe ni hiyari ya mtu ,cha msingi kura zipigwe kwenye uwazi ,kuhesabika kwa uwazi basi
 
Wakuu,

Mbowe anasema wanaosema aachie madaraka wakome, hajachoka, bado ana nguvu za kutosha na kuweza kufanya mikutano 8 kwa siku bila kula, kama kuna mtu ana nguvu kama yeye ajitokeze.

Mbowe asema ukomo wa madaraka ni watu wanaokutaka au kukukataa, na huu ndio ukomo halisi wa demokrasia. Kuna watu wakiongoza mara moja wanakataliwa, lakini wengine wanachaguliwa tena na tena, hawawekewi ukomo kwa sababu watu wanawataka.

Kama wanachama wanamtaka kiongozi fulani wewe ni nani kusema huyu amekaa miaka mingi aondoke?

Mbowe asema kuwa chama cha upinzani siyo kazi rahisi, ni kazi ambayo inahitaji watu waliyokuwa tayari na siyo kazi ya ukomo, ni kazi ngumu, kwahiyo watu wote wanaofanya kazi hiyo hawapaswi kubezwa wakati wowote, wanapaswa kupongezwa na kutiwa moyo kwasababu hawajajiweka wenyewe kwenye madaraka lakini pia wanafanya kazi ngumu ambayo watu wengi wanaikimbia, hivyo mmoja anatakiwa kupewa haki ya kugombea.

Mbowe ameongeza pia makelele ya mtandaoni hayamnyimi usingizi, anachoangalia ni kukijenga chama, na kuwaonya wanaoendelea kumtukana wasije kufikishana pabaya baada ya uchaguzi
Baadaye wakitaka ccm kubadilisha katiba mama aendelee utasikia si demokrasia. Hawa wapinzani wanatubeba ufala.
 
Back
Top Bottom