Pre GE2025 Mbowe: Mimi sijachoka, ukomo wa madaraka ni watu wanaokutaka au kukukataa

Pre GE2025 Mbowe: Mimi sijachoka, ukomo wa madaraka ni watu wanaokutaka au kukukataa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
jamani si kura zitapigwa...msingi wa demokrasia ni :WENGI WAPE;
Chadema itakufa na CCM imefanikiwa sana kuua upinzani kwa kuwatumia wenyeviti wao.

Chama cha kikabila na SACCOS ya Mtu mmoja .

Kama kura za Jumla za madiwani na Wabunge ni za wamachame peke yao basi chama kitadumu .

Nadhani ni vizuri Lisu akajitoa .
Kugombea na Mbowe ni hatari kuliko kuingia msikitini na nguruwe.

Ni wazi Mbowe anaweza akafanya yale ya Chacha Wangwe. Hiki Chama ni mali yake na yupo Tayari kwa lolote alimradi awe mwenyekiti .


Watu wanengempenda Mbowe wangeandamana pamoja na yeye au wangepinga alipokaa gerezani zaidi ya miezi 6. Hakuna aliyeandamana leo anasema bado wanamkubali.


Mh. Lisu Tafadhali ni wakati wa kutafakari kujitoa kama ilivyoahidi kuwa Mwenyekiti akigombea basi wewe hutagombea. Na ulisema mwenyewe .
Lisu wewe ni Mtu mwenye msimamo thabiti na watanzania wote tunajua hilo. Rejea msimamo wapo na simamia ulichokuwa umekimaanisha

Mh. Lisu Huna namna ya kushindana na bilionea Mbowe ambaye serikali pamoja na watu wasiojulikana wapo Nyuma yake . Ndio maana alitajwa mara nyingi kuhusika kwenye utekaji na mauaji lakini hajawahi kukamatwa wala kuhojiwa . Leo hii Tundu Kisu utapambana vipi na mafya aliyesema chama ni cha kwake . Utamshindaje mtu kwenye Chama chake . Wa ananchi wengi sana wapo Nyuma ya Lisu lakini Nyuma ya Mbowe wapo watu wenye pesa nyingi, wa wahuni na matapeli wa kisiasa . Wanufaika wa siasa chafu wameungana kupinga uwazi ,uzalendo na misingi ya katiba za vyama vyao .

Hivi Mbowe akirudi kwenye kiti ,Lisu ataitangaza vipi Chadema na kudai katiba mpya ili ilete mabadiliko yapi tofauti na ndani ya vyama vyao.
 
Chadema itakufa na CCM imefanikiwa sana kuua upinzani kwa kuwatumia wenyeviti wao.

Chama cha kikabila na SACCOS ya Mtu mmoja .

Kama kura za Jumla za madiwani na Wabunge ni za wamachame peke yao basi chama kitadumu .

Nadhani ni vizuri Lisu akajitoa .
Kugombea na Mbowe ni hatari kuliko kuingia msikitini na nguruwe.

Ni wazi Mbowe anaweza akafanya yale ya Chacha Wangwe. Hiki Chama ni mali yake na yupo Tayari kwa lolote alimradi awe mwenyekiti .


Watu wanengempenda Mbowe wangeandamana pamoja na yeye au wangepinga alipokaa gerezani zaidi ya miezi 6. Hakuna aliyeandamana leo anasema bado wanamkubali.


Mh. Lisu Tafadhali ni wakati wa kutafakari kujitoa kama ilivyoahidi kuwa Mwenyekiti akigombea basi wewe hutagombea. Na ulisema mwenyewe .
Lisu wewe ni Mtu mwenye msimamo thabiti na watanzania wote tunajua hilo. Rejea msimamo wapo na simamia ulichokuwa umekimaanisha

Mh. Lisu Huna namna ya kushindana na bilionea Mbowe ambaye serikali pamoja na watu wasiojulikana wapo Nyuma yake . Ndio maana alitajwa mara nyingi kuhusika kwenye utekaji na mauaji lakini hajawahi kukamatwa wala kuhojiwa . Leo hii Tundu Kisu utapambana vipi na mafya aliyesema chama ni cha kwake . Utamshindaje mtu kwenye Chama chake . Wa ananchi wengi sana wapo Nyuma ya Lisu lakini Nyuma ya Mbowe wapo watu wenye pesa nyingi, wa wahuni na matapeli wa kisiasa . Wanufaika wa siasa chafu wameungana kupinga uwazi ,uzalendo na misingi ya katiba za vyama vyao .

Hivi Mbowe akirudi kwenye kiti ,Lisu ataitangaza vipi Chadema na kudai katiba mpya ili ilete mabadiliko yapi tofauti na ndani ya vyama vyao.
🚮🚮🚮
 
Watu wamekuwa wa hovyo sana na wameshakata tamaa ya.maisha.

Mbowe katangaza atachukua fomu na ataendelea kugombea kwani si kuna wengine wamechukua fomu ?

Mbona CCM Mwendazake alibadilisha katiba akachukua peke yake ? Alafu na akafa? Tulieni tutasikiliza kampeni za wagombea nafasi ya uenyekiti, mwenye sera nzuri ndiye atakayechaguliwa.

Mbowe angetangaza kutokuchukua fomu mngesema anamuogopa Lissu, kachukuwa fomu mnaanza kulia lia.

Hebu acheni utoto, tusubirie kusikiliza sera za Wagombea kwanza
 
Chadema itakufa na CCM imefanikiwa sana kuua upinzani kwa kuwatumia wenyeviti wao.

Chama cha kikabila na SACCOS ya Mtu mmoja .

Kama kura za Jumla za madiwani na Wabunge ni za wamachame peke yao basi chama kitadumu .

Nadhani ni vizuri Lisu akajitoa .
Kugombea na Mbowe ni hatari kuliko kuingia msikitini na nguruwe.

Ni wazi Mbowe anaweza akafanya yale ya Chacha Wangwe. Hiki Chama ni mali yake na yupo Tayari kwa lolote alimradi awe mwenyekiti .


Watu wanengempenda Mbowe wangeandamana pamoja na yeye au wangepinga alipokaa gerezani zaidi ya miezi 6. Hakuna aliyeandamana leo anasema bado wanamkubali.


Mh. Lisu Tafadhali ni wakati wa kutafakari kujitoa kama ilivyoahidi kuwa Mwenyekiti akigombea basi wewe hutagombea. Na ulisema mwenyewe .
Lisu wewe ni Mtu mwenye msimamo thabiti na watanzania wote tunajua hilo. Rejea msimamo wapo na simamia ulichokuwa umekimaanisha

Mh. Lisu Huna namna ya kushindana na bilionea Mbowe ambaye serikali pamoja na watu wasiojulikana wapo Nyuma yake . Ndio maana alitajwa mara nyingi kuhusika kwenye utekaji na mauaji lakini hajawahi kukamatwa wala kuhojiwa . Leo hii Tundu Kisu utapambana vipi na mafya aliyesema chama ni cha kwake . Utamshindaje mtu kwenye Chama chake . Wa ananchi wengi sana wapo Nyuma ya Lisu lakini Nyuma ya Mbowe wapo watu wenye pesa nyingi, wa wahuni na matapeli wa kisiasa . Wanufaika wa siasa chafu wameungana kupinga uwazi ,uzalendo na misingi ya katiba za vyama vyao .

Hivi Mbowe akirudi kwenye kiti ,Lisu ataitangaza vipi Chadema na kudai katiba mpya ili ilete mabadiliko yapi tofauti na ndani ya vyama vyao.
Unateseka ukiwa wapi Mkuu ?
makasiriko mengi mpaka unakosea majina ya watu. Mara Lisu mara Kisu.

Tulia Mkuu, Kama ni riziki ya Lissu atachaguliwa tu kama sio Yeye ataweka rekodi ya kupambana na jabari la siasa za upinzani.
 
Acheni ujinga ,katiba ya sasa ya chadema inasemaje? au imebadilishwa ? Hicho kifungu cha ukomo bado hakijafanyiwa kazi , kwa iyo mnataka mtamshi yenu ndo yawe sheria mama wakati katiba kifungu hicho bado hakijabadilshwa?

Mpaka sasa Mbowe hajavunja katiba ya chama maana hicho kifungu hakijabadilishwa
katiba ya mwanzo ilikuwa na ukomo kabla ya kubadirishwa na huyu mlevi
 
Unateseka ukiwa wapi Mkuu ?
makasiriko mengi mpaka unakosea majina ya watu. Mara Lisu mara Kisu.

Tulia Mkuu, Kama ni riziki ya Lissu atachaguliwa tu kama sio Yeye ataweka rekodi ya kupambana na jabari la siasa za upinzani.


Siasa za kimafya hazina riziki .

Lisu alisema mwenyewe wazi kuwa kama mwenyekiti atachukua fomu basi yeye hatagombea .

Sasa kwa nini asisimamie msimamo wake .

Juzi Mbowe akasema wazi kuwa akiona chama chake kinapotezwa anaingia mzigoni .Sasa ni wazi kuwa ameona chama kinataka kupotezwa na Lisu ndio maana ameamua kuingia mzigoni
Sasa kwa nini Lisu agombee na mtu mwenye evil mind . ?

Na Kundi la Mbowe na mbowe wenyewe wanaonekana wazi ni genge hatari sana maana lipo kwa ajili ya kugawana pesa na mafisadi .

Sasa Lisu atasurvive vipi katikati ya mbwa mwitu wakali ?

Ni bora ajitoe na kumwachia Mbowe Chama . Na hali ilivyo na kauli za Mbowe imedhihirisha wazi kuwa mtalaki alikua ni Mbowe na genge lake kutetea chama kwa njia haramu.

Chadema sio mama yake Lisu wala baba yake . Zaidi kimamfanya kuwa Mlemavu wa maisha na chama alichokipigania kinamkejeli na kumtukana kwa ulemavu alioupata akipigania chama .

Siasa za Qxenge kabisa !!
 
Wakuu,

Mbowe anasema wanaosema aachie madaraka wakome, hajachoka, bado ana nguvu za kutosha na kuweza kufanya mikutano 8 kwa siku bila kula, kama kuna mtu ana nguvu kama yeye ajitokeze.

Mbowe asema ukomo wa madaraka ni watu wanaokutaka au kukukataa, na huu ndio ukomo halisi wa demokrasia. Kuna watu wakiongoza mara moja wanakataliwa, lakini wengine wanachaguliwa tena na tena, hawawekewi ukomo kwa sababu watu wanawataka.
CCM wataendelea kucheza na hii kete. As long as “wanachaguliwa”…..
 
Binasfi kama anagombea sawa sanduku la kura ndo litaamua , aya mambo yakusema mtu asigombee ,iwe ni hiyari ya mtu ,cha msingi kura zipigwe kwenye uwazi ,kuhesabika kwa uwazi basi
Mbowe kwa miaka aliyoongoza chama ana wajumbe wengi machawa wa kumpigia kura za kushinda uenyekiti!
Ila wanachama wa kawaida tusio wapiga kura na tulio wengi tunamtaka Lissu....huo ndio ukweli mchungu!.
 
Dah huyu jamaa kanivunja moyo sana, nilikua namheshimu ila ndio basi tena. Upinzani Tanzania umekufa rasmi.
Umekufa kwako.usijumuishe hisia zako kwakila mtu.Kama una mawazo mapana ilitakiwa ujue lissu inamfaa ajipange kugombea urais mwakani nasio uenyekiti wa chama.Hili la uenyekiti mnalolishupalia haliwezi kumfikisa lissu kwenye mabadiliko mnayoyatamani.
 
Imara gani? Walau Lissu alikua anakipa uhai chama ila huyu Mbowe hana new ideas na siku akifariki ghafla utatokea ugomvi mkubwa sana wa madaraka. Bora angepisha mapema wagombee wengine ili awape mentorship akiwa bado yupo Hai. Mbona Odinga kapisha na zito kapisha why ahodhi madaraka mpaka leo?

Hiki chama ndio mwisho wake huu.
wewe sema una mahaba na lissu.Kwasababu angekua ni mgombea mwingine na mbowe sidhan kama ungekuja na hizi hoja.Tuheshimu demokrasia kwa mapana yake bila kuvunja sheria.
 
Mbowe kwa miaka aliyoongoza chama ana wajumbe wengi machawa wa kumpigia kura za kushinda uenyekiti!
Ila wanachama wa kawaida tusio wapiga kura na tulio wengi tunamtaka Lissu....huo ndio ukweli mchungu!.
Sema unamtaka.usiweke wingi kwenye jambo la wengi.amini katika mwenyewe.Usijiaminishe sana na wabongo uku mtandaoni utajikuta uko mwenyewe.wengi wetu ni mihemko na wafata mkumbo.
 
Mbona alipinga JPM asiongezewe muhula? Mnafiki sana huyu mzee.
Kwani katiba inasemaje mzee? Mbona unajitoa ufahamu.
Kama katiba inaruhusu njia pekee ni kuibadili katiba ili ikizi matakwa.

Vinginevyo tunajitoa ufahamu tu. Mbona hakuna anayesema CCM isigombee tena iviachie vyama vingine maana imekuwa madarakani muda mrefu.

Kwa vile tuna demokrasia, vyama vyote vinashindana na mshindi anaendelea kutawala.

Vivyo hivyo wapeni chadema kufanya demokrasia. Kama Mbowe hatakiwi kura zikamstaafishe sio kulialia humu amuachie lissu.
 
Back
Top Bottom