Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Sasa itabidi Lisu aanze kuvaa bullet proof mapaka miguuni😁😂washaharibu sasa vita itakuwa kubwa sanaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa itabidi Lisu aanze kuvaa bullet proof mapaka miguuni😁😂washaharibu sasa vita itakuwa kubwa sanaaaa
Umekufa wewe..Dah huyu jamaa kanivunja moyo sana, nilikua namheshimu ila ndio basi tena. Upinzani Tanzania umekufa rasmi.
Waambie ccm maneno hayo..Baadaye wakitaka ccm kubadilisha katiba mama aendelee utasikia si demokrasia. Hawa wapinzani wanatubeba ufala.
Safi mwambaaa,Wakuu,
Mbowe anasema wanaosema aachie madaraka wakome, hajachoka, bado ana nguvu za kutosha na kuweza kufanya mikutano 8 kwa siku bila kula, kama kuna mtu ana nguvu kama yeye ajitokeze.
Mbowe asema ukomo wa madaraka ni watu wanaokutaka au kukukataa, na huu ndio ukomo halisi wa demokrasia. Kuna watu wakiongoza mara moja wanakataliwa, lakini wengine wanachaguliwa tena na tena, hawawekewi ukomo kwa sababu watu wanawataka.
Kama wanachama wanamtaka kiongozi fulani wewe ni nani kusema huyu amekaa miaka mingi aondoke?
Mbowe asema kuwa chama cha upinzani siyo kazi rahisi, ni kazi ambayo inahitaji watu waliyokuwa tayari na siyo kazi ya ukomo, ni kazi ngumu, kwahiyo watu wote wanaofanya kazi hiyo hawapaswi kubezwa wakati wowote, wanapaswa kupongezwa na kutiwa moyo kwasababu hawajajiweka wenyewe kwenye madaraka lakini pia wanafanya kazi ngumu ambayo watu wengi wanaikimbia, hivyo mmoja anatakiwa kupewa haki ya kugombea.
Mbowe ameongeza pia makelele ya mtandaoni hayamnyimi usingizi, anachoangalia ni kukijenga chama, na kuwaonya wanaoendelea kumtukana wasije kufikishana pabaya baada ya uchaguzi
Hamjaanza leo kusema upinzani umekufa.Dah huyu jamaa kanivunja moyo sana, nilikua namheshimu ila ndio basi tena. Upinzani Tanzania umekufa rasmi.
Huna lolote la kuanika.Lissu has nothing to lose natamani amu expose huyu fisadi A mpaka Z ili wajumbe wafanye maamuzi sahihi. Hatuwezi kubali huu udikteta
CCM watatumia maneno yake mwenyewe wakati muda wa kubadilisha katiba ili mama abuu aendeleeWaambie ccm maneno hayo..
Yaaani kanikata kata vipande vidogo vidogo sana miye moyo wangu.Dah huyu jamaa kanivunja moyo sana, nilikua namheshimu ila ndio basi tena. Upinzani Tanzania umekufa rasmi.
Tofautisha kuongoza chama cha siasa na kuongoza nchi!Mbona alipinga JPM asiongezewe muhula? Mnafiki sana huyu mzee.
Sidhani kama ana huo uwezo Lissu ila mda utatupa majibu.Lissu has nothing to lose natamani amu expose huyu fisadi A mpaka Z ili wajumbe wafanye maamuzi sahihi. Hatuwezi kubali huu udikteta
Kura bado sasa kwishney ya vipi ,hakuna sababu ya kumlazimisha mtu asigombee acha kura ziongee, kazi kwa wajumbe sasa ,kukivusha chama au la ,simple.CHADEMA kwishney
Umeandika nini hichi?. Ujinga mtupu.Tofautisha kuongoza chama cha siasa na kuongoza nchi!
Mtu aliyechoka hahitaji kuambiwa asiendelee..lbd km hujui kusoma body language.CCM watatumia maneno yake mwenyewe wakati muda wa kubadilisha katiba ili mama abuu aendelee
🚮🚮🚮Bora kauua chama yeye mwenyewe, ameshindwa kusoma arama za nyakati.........
Imara gani? Walau Lissu alikua anakipa uhai chama ila huyu Mbowe hana new ideas na siku akifariki ghafla utatokea ugomvi mkubwa sana wa madaraka. Bora angepisha mapema wagombee wengine ili awape mentorship akiwa bado yupo Hai. Mbona Odinga kapisha na zito kapisha why ahodhi madaraka mpaka leo?Hamjaanza leo kusema upinzani umekufa.
Mbowe ni mwamba Imara, ni jabali.
We kaandani na mumeo muache mbowe akapige kazi
🚮🚮🚮 Chama cha siasa ni kundi la watu wamejiunga pamoja kutafuta ridhaa ya kuongoza nchi, sasa unawapangiaje muda wa kujiongoza?Umeandika nini hichi?. Ujinga mtupu.
Huu uchaguzi umetu expose sana unafiki wetu. Wanasema ubunge, udiwani na ngazi za chini uwe na ukomo wa awamu tatu mind you tulipinga JPM kuongezewa muhula. Cha ajabu leo tunapinga maneno yetu yale yaleSasa hawa jamaa huwa wanahubiri ya nini kuhusu demokrasia? Kumbe ukomo ni watu? Hii downfall ya hawa jamaa inapaswa kufundishwa mashuleni