Pre GE2025 Mbowe: Mimi sijachoka, ukomo wa madaraka ni watu wanaokutaka au kukukataa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Safi mwambaaa,
Wenye nongwa wajinyongeee
 
Dah huyu jamaa kanivunja moyo sana, nilikua namheshimu ila ndio basi tena. Upinzani Tanzania umekufa rasmi.
Hamjaanza leo kusema upinzani umekufa.
Mbowe ni mwamba Imara, ni jabali.
We kaandani na mumeo muache mbowe akapige kazi
 
CHADEMA kwishney
Kura bado sasa kwishney ya vipi ,hakuna sababu ya kumlazimisha mtu asigombee acha kura ziongee, kazi kwa wajumbe sasa ,kukivusha chama au la ,simple.

Ninachojua lissu penye ugum ndo huwa anapenya ,mnakumbuka lile kipindi kile anagombea TLS alikutana na vikwazo vingapi na kushinda?
 
Hamjaanza leo kusema upinzani umekufa.
Mbowe ni mwamba Imara, ni jabali.
We kaandani na mumeo muache mbowe akapige kazi
Imara gani? Walau Lissu alikua anakipa uhai chama ila huyu Mbowe hana new ideas na siku akifariki ghafla utatokea ugomvi mkubwa sana wa madaraka. Bora angepisha mapema wagombee wengine ili awape mentorship akiwa bado yupo Hai. Mbona Odinga kapisha na zito kapisha why ahodhi madaraka mpaka leo?

Hiki chama ndio mwisho wake huu.
 
Sasa hawa jamaa huwa wanahubiri ya nini kuhusu demokrasia? Kumbe ukomo ni watu? Hii downfall ya hawa jamaa inapaswa kufundishwa mashuleni
Huu uchaguzi umetu expose sana unafiki wetu. Wanasema ubunge, udiwani na ngazi za chini uwe na ukomo wa awamu tatu mind you tulipinga JPM kuongezewa muhula. Cha ajabu leo tunapinga maneno yetu yale yale

So embarrassing
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ