Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
- Thread starter
-
- #261
hapana msikariri unapotafuta amani haina haha ya kutumia njia ile ile iliyopoteza amani. Tulipinga na hatukufurahia aliyotendewa Lissu na hata sasa hatukubaliani na njia anayoitumia kwakua itazidi kumuumiza yeye..Mbowe anajua mateso aliyopitia Tundu Lissu.
..yeye ndiye aliyehangaika naye baada ya serikali na bunge kumsusia mgonjwa tena akiwa mahututi.
..wanaosema Mbowe amkanye Tundu Lissu ndio waliokuwa wakimuombea afe, na baadae wakawa wakimcheka kuwa ni mlemavu.
bongo atapaona Twitter tuu🤣🤣
ndugu kuna makosa yalifanyika tusonge mbele tuijenge nchi, Kwanza Lusi anatakiwa amshukuru saana Mungu kuliko watu woote kwamaana alistahili kufa ila Mungu alizuia Wala si madaktari wala nn. Now he need peace na si kejeli..hoja ya walinzi wa area D kuondolewa halafu Lissu akashambuliwa haina uzito?!
hizi ni zama za ustaarabu ndugu..mama yake Abdullah Kassim Hanga alishangilia kifo cha Abeid Karume.
..sijui kwanini mnashangaa kusikia kwamba walioumizwa na utawala wa Jiwe hawasikitikii kifo chake.
mtafute Twitter utaona post zakeSijaelewa,kwani ameropoka akasemaje
Wewe si umkanye uliyeona madhaifu yake.Mwenyekiti wa Hilo lichama hajaona chochote ameona yote poa tu.Au unaogopa.Umeandika kitabu kireefu wala sijaambua chochote.Sana sana tunazidi kuwapandisha hasira hawa jamaa.Laiti ungelijua ungewaacha tu.Popote ulipo mwenyekiti wa chama.
Tunakufikishia salamu hizi sisi watanzania tusio na chama na wanachama wa CHADEMA.
Mwambie Tundu Lissu akae kimya wakati huu, aache tabia za kuropoka ropoka na kujibishana asiye jibishane naye.
Mwambie kwenye msiba tamaduni zetu ni kuungana na kua wamoja huo utofauti anaoulazimisha utazidi kumuumbua na kukiumbua chama chenu.
Mwambie atakama anauchungu na kisasi kwa Yale aliyofanyiwa mwambie kwa nafasi yake hastahili kufanya anayoyafanya labda kama hana mpango wakugombea.
Mwambie anaharibu image ya chama, kama anajua hatarudi wala kugombea mwambie anawaponza wenzake. Mbona wewe (Mbowe) hupost post au anadhani huna bando au smartphone?
Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lissu behave like gentalman.
Inasemaje,si uweke hapa tuzione.Sisi hatutaki majungu.Weka hapa.mtafute Twitter utaona post zake
Kwani aliandika nini,mbona mwazunguruka tu.Mimi sijaona naona mafumbo humu.Weka hapa bana.Ili na mimi nione ubaya wake.Afadhali umenena, kuna siku nilikuta katweet mambo ya ajabu kuhusu Mh. Rais nikadhani ni account feki.
Hadhi yake na anayoandika hayaendani kabisa.
Alipaswa kuandika ideas na sio kumgeuza chigogwo role model wake.
Huwa simkubali lkn siku hizi anazidi kuwa mweupe sana. Mwambieni atulie aandike vitu ambavyo hata wajukuu wa taifa hili wakisoma waseme huyu ni mtu aliyewahi kuwepo nchini nap kuleta tija
Kama mwanaharakati sawa ila Kama presidential candidate aibu aisee
Anaboa,Hana jipyaPopote ulipo mwenyekiti wa chama.
Tunakufikishia salamu hizi sisi watanzania tusio na chama na wanachama wa CHADEMA.
Mwambie Tundu Lissu akae kimya wakati huu, aache tabia za kuropoka ropoka na kujibishana asiye jibishane naye.
Mwambie kwenye msiba tamaduni zetu ni kuungana na kua wamoja huo utofauti anaoulazimisha utazidi kumuumbua na kukiumbua chama chenu.
Mwambie atakama anauchungu na kisasi kwa Yale aliyofanyiwa mwambie kwa nafasi yake hastahili kufanya anayoyafanya labda kama hana mpango wakugombea.
Mwambie anaharibu image ya chama, kama anajua hatarudi wala kugombea mwambie anawaponza wenzake. Mbona wewe (Mbowe) hupost post au anadhani huna bando au smartphone?
Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lissu behave like gentalman.
Unataka nani amshauri.Si jitoe ufahamu wewe umshauri.Mbona unauza kazi bila kukubaliana malipo aisee.Njoo tukae tukubaliane tutayarishe cha kumshauri kama unacho maana si mtu wa kawaida kabisa.Kama unajiamini njoo.Kama ni kweli Mungu kamlipia Tundu Lissu sasa yeye anahangaika na nini???
No ukweli wazi asingeweza kabisa kumfanya lolote Hayati...
Ni kweli watanzania wala mabeberu hata mmoja aliyemsaidia....
If so why he keep insult people especially marehemu??
Akae akijua Mungu Hana upendeleo kama alimuadhibu Meko basi atamuazibu na yeye Kama atafanya upuuzi arejee kisa Cha Musa alipopewa adhabu ya kifo baada ya kukiuka maagizo ya Mungu, hivyo mumshauri asipotoke.
Kwahiyo yeye alipompiga risasi hakuwahi kumuomba msamaha,ccm akili zenu kama yule mkalimani....mataga ni pisi kaliPopote ulipo mwenyekiti wa chama.
Tunakufikishia salamu hizi sisi watanzania tusio na chama na wanachama wa CHADEMA.
Mwambie Tundu Lissu akae kimya wakati huu, aache tabia za kuropoka ropoka na kujibishana asiye jibishane naye.
Mwambie kwenye msiba tamaduni zetu ni kuungana na kua wamoja huo utofauti anaoulazimisha utazidi kumuumbua na kukiumbua chama chenu.
Mwambie atakama anauchungu na kisasi kwa Yale aliyofanyiwa mwambie kwa nafasi yake hastahili kufanya anayoyafanya labda kama hana mpango wakugombea.
Mwambie anaharibu image ya chama, kama anajua hatarudi wala kugombea mwambie anawaponza wenzake. Mbona wewe (Mbowe) hupost post au anadhani huna bando au smartphone?
Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lissu behave like gentalman.
Mataga akili zao za kitapelitapeli kama mkalimani waoLissu waue baba.
Hii swali linataka jibu gani tena.Hakika kipindi hiki maswali hayajibiki.Tutabaki kupat 0 tu.Stupid, of you, risasi 16 unaweza kuzitolea maelezo. Mshenzi mkubwa sana wewe. Ben na Azory wako wapi?
Marehemu ndio wa ajabu,yani mataga mnatia huruma kma nyani wa ndugaiAfadhali umenena, kuna siku nilikuta katweet mambo ya ajabu kuhusu Mh. Rais nikadhani ni account feki.
Hadhi yake na anayoandika hayaendani kabisa.
Alipaswa kuandika ideas na sio kumgeuza chigogwo role model wake.
Huwa simkubali lkn siku hizi anazidi kuwa mweupe sana. Mwambieni atulie aandike vitu ambavyo hata wajukuu wa taifa hili wakisoma waseme huyu ni mtu aliyewahi kuwepo nchini nap kuleta tija
Kama mwanaharakati sawa ila Kama presidential candidate aibu aisee
Kwani uwezo wa kumpa hiyo kwani tunao?????? Je atakubali????.Si unajua tulishamjeruhi,Si rahisi kama unavyotaka.Ukiona mtu anashabikia vitendo vya Lissu, ni sawa na mtu anavyomchochea mbwa kuuma watu wakati yeye hawezi kufanya tendo hilo. Kuna watu wanaweza kazi za aina hiyo. Muacheni Lissu afanye anachokiweza, Akija anataka kazi ya maana kama alivyofanya, tutampa 12.75%.
Hata kupigwa kwake risasi kulikua ni agizo la marehemu wenu,yani mtameza ulimi kipindi hiki mungu kampa kelbu moja takatifu jamaa kameza ulimi..[emoji870]kwa marehemuYote anayofanya Tundu Lissu yana baraka za chama!
Ameropoka akasemaje,mbona huweki mambo hadharani ili tumchambue unabaki kusema tu kuropoka ropoka, kwani jamani kasemaje?????? Si mseme tu labda ndio anachapa kazi tena nimezungumza naye leo kwenye simu.OooopNaunga mkono.
Anaonyesha hata ukimpatia nchi atakuwa mtu wa visasi,ajifunze na sio kuropoka ropoka hovyo hovyo.
Hivi ana mshauri kweli?