Mbowe, mkanye Lissu

Mbowe, mkanye Lissu

..Mbowe anajua mateso aliyopitia Tundu Lissu.

..yeye ndiye aliyehangaika naye baada ya serikali na bunge kumsusia mgonjwa tena akiwa mahututi.

..wanaosema Mbowe amkanye Tundu Lissu ndio waliokuwa wakimuombea afe, na baadae wakawa wakimcheka kuwa ni mlemavu.
hapana msikariri unapotafuta amani haina haha ya kutumia njia ile ile iliyopoteza amani. Tulipinga na hatukufurahia aliyotendewa Lissu na hata sasa hatukubaliani na njia anayoitumia kwakua itazidi kumuumiza yeye
 
..hoja ya walinzi wa area D kuondolewa halafu Lissu akashambuliwa haina uzito?!
ndugu kuna makosa yalifanyika tusonge mbele tuijenge nchi, Kwanza Lusi anatakiwa amshukuru saana Mungu kuliko watu woote kwamaana alistahili kufa ila Mungu alizuia Wala si madaktari wala nn. Now he need peace na si kejeli
 
Mimi huwa naamini akili za lisu ni sawasawa na akili za CCM 40 ukiwachanganya kwa pamoja, kuna Mambo mengine ya Lissu hata Mimi huwa na chukuaga muda kuyangamua lakini baadaye huwa nagundua kuwa Lissu alitumia akili kubwa Sana
Kwa kipindi hiki ninachomwomba Lissu ni aendelee tu kuwapiga spana za kichwa mpaka waseme , azory na Ben wakowapi
 
Popote ulipo mwenyekiti wa chama.

Tunakufikishia salamu hizi sisi watanzania tusio na chama na wanachama wa CHADEMA.

Mwambie Tundu Lissu akae kimya wakati huu, aache tabia za kuropoka ropoka na kujibishana asiye jibishane naye.

Mwambie kwenye msiba tamaduni zetu ni kuungana na kua wamoja huo utofauti anaoulazimisha utazidi kumuumbua na kukiumbua chama chenu.

Mwambie atakama anauchungu na kisasi kwa Yale aliyofanyiwa mwambie kwa nafasi yake hastahili kufanya anayoyafanya labda kama hana mpango wakugombea.

Mwambie anaharibu image ya chama, kama anajua hatarudi wala kugombea mwambie anawaponza wenzake. Mbona wewe (Mbowe) hupost post au anadhani huna bando au smartphone?

Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lissu behave like gentalman.
Wewe si umkanye uliyeona madhaifu yake.Mwenyekiti wa Hilo lichama hajaona chochote ameona yote poa tu.Au unaogopa.Umeandika kitabu kireefu wala sijaambua chochote.Sana sana tunazidi kuwapandisha hasira hawa jamaa.Laiti ungelijua ungewaacha tu.

Labda na Mkiti anakumbukia tulivyomfanyia huku Dar, kule kwake kwenye mashamba yake,tukayavuruga kisawasawa.Unadhani atakaa upande wako,hata ingekuwa mimi forget Mr.Hiyo isikupe shida.Mila na desturi zipo,zitaendelea kuwepo,zilikuwepo,zitabaki kuwepo,mambo yataendelea tu.

Nataka ujue na usiumie saaana,ujasiri wa huyu jamaa na nguvu aliyonayo siyo ya mwanadamu awaye yeyote.Na ukishindana naye utaumia sana.Humwezi ,wala sio size yako wala sisi hatumwezi,hivyo achana naye.Ogopa sana mtu yeyote aliyechungulia Mbingu halafu akarudi.Nguvu anayokuja nayo hutaizuia.Huyu achana naye nakushauri.
 
Afadhali umenena, kuna siku nilikuta katweet mambo ya ajabu kuhusu Mh. Rais nikadhani ni account feki.

Hadhi yake na anayoandika hayaendani kabisa.

Alipaswa kuandika ideas na sio kumgeuza chigogwo role model wake.

Huwa simkubali lkn siku hizi anazidi kuwa mweupe sana. Mwambieni atulie aandike vitu ambavyo hata wajukuu wa taifa hili wakisoma waseme huyu ni mtu aliyewahi kuwepo nchini nap kuleta tija

Kama mwanaharakati sawa ila Kama presidential candidate aibu aisee
Kwani aliandika nini,mbona mwazunguruka tu.Mimi sijaona naona mafumbo humu.Weka hapa bana.Ili na mimi nione ubaya wake.
 
Popote ulipo mwenyekiti wa chama.

Tunakufikishia salamu hizi sisi watanzania tusio na chama na wanachama wa CHADEMA.

Mwambie Tundu Lissu akae kimya wakati huu, aache tabia za kuropoka ropoka na kujibishana asiye jibishane naye.

Mwambie kwenye msiba tamaduni zetu ni kuungana na kua wamoja huo utofauti anaoulazimisha utazidi kumuumbua na kukiumbua chama chenu.

Mwambie atakama anauchungu na kisasi kwa Yale aliyofanyiwa mwambie kwa nafasi yake hastahili kufanya anayoyafanya labda kama hana mpango wakugombea.

Mwambie anaharibu image ya chama, kama anajua hatarudi wala kugombea mwambie anawaponza wenzake. Mbona wewe (Mbowe) hupost post au anadhani huna bando au smartphone?

Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lissu behave like gentalman.
Anaboa,Hana jipya
 
Kama ni kweli Mungu kamlipia Tundu Lissu sasa yeye anahangaika na nini???
No ukweli wazi asingeweza kabisa kumfanya lolote Hayati...
Ni kweli watanzania wala mabeberu hata mmoja aliyemsaidia....
If so why he keep insult people especially marehemu??
Akae akijua Mungu Hana upendeleo kama alimuadhibu Meko basi atamuazibu na yeye Kama atafanya upuuzi arejee kisa Cha Musa alipopewa adhabu ya kifo baada ya kukiuka maagizo ya Mungu, hivyo mumshauri asipotoke.
Unataka nani amshauri.Si jitoe ufahamu wewe umshauri.Mbona unauza kazi bila kukubaliana malipo aisee.Njoo tukae tukubaliane tutayarishe cha kumshauri kama unacho maana si mtu wa kawaida kabisa.Kama unajiamini njoo.
 
Popote ulipo mwenyekiti wa chama.

Tunakufikishia salamu hizi sisi watanzania tusio na chama na wanachama wa CHADEMA.

Mwambie Tundu Lissu akae kimya wakati huu, aache tabia za kuropoka ropoka na kujibishana asiye jibishane naye.

Mwambie kwenye msiba tamaduni zetu ni kuungana na kua wamoja huo utofauti anaoulazimisha utazidi kumuumbua na kukiumbua chama chenu.

Mwambie atakama anauchungu na kisasi kwa Yale aliyofanyiwa mwambie kwa nafasi yake hastahili kufanya anayoyafanya labda kama hana mpango wakugombea.

Mwambie anaharibu image ya chama, kama anajua hatarudi wala kugombea mwambie anawaponza wenzake. Mbona wewe (Mbowe) hupost post au anadhani huna bando au smartphone?

Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lissu behave like gentalman.
Kwahiyo yeye alipompiga risasi hakuwahi kumuomba msamaha,ccm akili zenu kama yule mkalimani....mataga ni pisi kali
 
Stupid, of you, risasi 16 unaweza kuzitolea maelezo. Mshenzi mkubwa sana wewe. Ben na Azory wako wapi?
Hii swali linataka jibu gani tena.Hakika kipindi hiki maswali hayajibiki.Tutabaki kupat 0 tu.
 
Afadhali umenena, kuna siku nilikuta katweet mambo ya ajabu kuhusu Mh. Rais nikadhani ni account feki.

Hadhi yake na anayoandika hayaendani kabisa.

Alipaswa kuandika ideas na sio kumgeuza chigogwo role model wake.

Huwa simkubali lkn siku hizi anazidi kuwa mweupe sana. Mwambieni atulie aandike vitu ambavyo hata wajukuu wa taifa hili wakisoma waseme huyu ni mtu aliyewahi kuwepo nchini nap kuleta tija

Kama mwanaharakati sawa ila Kama presidential candidate aibu aisee
Marehemu ndio wa ajabu,yani mataga mnatia huruma kma nyani wa ndugai
 
Ukiona mtu anashabikia vitendo vya Lissu, ni sawa na mtu anavyomchochea mbwa kuuma watu wakati yeye hawezi kufanya tendo hilo. Kuna watu wanaweza kazi za aina hiyo. Muacheni Lissu afanye anachokiweza, Akija anataka kazi ya maana kama alivyofanya, tutampa 12.75%.
Kwani uwezo wa kumpa hiyo kwani tunao?????? Je atakubali????.Si unajua tulishamjeruhi,Si rahisi kama unavyotaka.
 
Nimeshasema mahali fulani, ninasema tena, tundu la nanii ni mtu mjinga asiye na akili timamu na hekima ya kumwezesha kuishi maisha ya kawaida ya kibinadamu.
Kwa sababu ya huo ujinga, jamaa ameshaona hana future kwenye politics za tanzania kwa hiyo ameamua liwalo na liwe, akitaka aangamie pamoja na chadema. Wakati chadema inatafuta njia za kujijenga upya na kuwa na taswira nzuri kwa wananchi, yeye ameamua kujiropokea chochote kinachomjia akilini bila kufikiri wala kujua kwamba kwa kufanya hivyo anaihujumu chadema na kuipeleka mbali zaidi na wananchi.
Ni kweli mbowe anapaswa kusema na kuweka sawa msimamo na mtazamo wa chama, vinginevyo chadema inajichimbia kaburi la kuonekana ni chama kisichojali wananchi. Keep in mind kwamba chadema huku mitaani imeshapakwa kuwa ni vibaraka wa mabeberu!
 
Naunga mkono.

Anaonyesha hata ukimpatia nchi atakuwa mtu wa visasi,ajifunze na sio kuropoka ropoka hovyo hovyo.

Hivi ana mshauri kweli?
Ameropoka akasemaje,mbona huweki mambo hadharani ili tumchambue unabaki kusema tu kuropoka ropoka, kwani jamani kasemaje?????? Si mseme tu labda ndio anachapa kazi tena nimezungumza naye leo kwenye simu.Oooop
 
Back
Top Bottom