Acheni kuhamasisha chiki na migawanyiko kwa taifa.Wanaccm, Salaam!
Nimepitia maandishi kadhaa ya Tundu Lissu kuhusu anavyochukulia kifo cha Rais John Pombe Magufuli - haya ni baadhi tu ya maneno yake.....
Sawa Taga/Mnyonge umesikikaSawa mnyonge tumekusikia, ila pigwa risasi 16 kwanza ndo uje tuongee kuhusu hili la kumpuuza
Mataga/Wanyonge wanadhani kila utawala haufati sheria na taratibu.Huu utawala sio wa Magufuli, acheni kuishi kwa kukariri, shauri yenu sheria itachukua mkondo wake na mtafungwa. Kaeni kuhamasishana upuuzi upuuzi tu.
Subirini waanziwe Ole Sabaaya na Makonda kwanza, ndio mjue Madame President hana ushosti na wajinga wajinga wanajiona nchi ya baba yao.
CCM mkienda ulaya kuomba omba misaada huwapigia magoti wazungu na kuwaita wafadhili wahisani lakini CCM hao hao wakifanya ujinga alafu wazungu waukatae ndipo hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jikeLisu anaishi kwa kutegemea 071 kwa mabeberu hawezi kuja Tanzania.View attachment 1733706
Cyprian Musiba, Le mutuz Bashite na wasiojulikana ndiyo walikwenda Dodoma kumpiga risasi Tundu lisu kwa mjibu wa FBI waliopo ubalozi wa marekani ambao walichunguza tukio la Tundu lisu kwa Siri kwa kutumia tekinologia ya kisasa .Mnataka kuanzisha vita aisee?...mmesahau kabisa utawala washeria siyo? mmejimilikisha nchi kabisa,haya yetu macho,kumbukeni kina Musiba walifanya zaidi ya hayo na hakuna aliyewapiga wala kuwashtaki,iweje leo mkuki unaonekana mchungu,Mungu ataendelea kulipa kwa kila baya,hawahi na wala hachelewi.
Naona ndugu yako hana nia ya kurudi, kubadilisha jina na mtawala yaweza kuchukua siku moja.Hivi kwanini hoja za huyu Lissu zisijibiwe ?
Kibaya kuliko vyote ni ile Tabia mbovu ya task force kuwafungia wafanyabiashara biashara zao kienyeji kishamba shamba kufunga Account zao kuwachukulia pesa kiasi cha kupelekea baadhi yao kufariki kwa pressure mojawapo ni subash Patel, na wengineo kibaoLazima tuweke wazi yaliyotokea kabla ya kendelea na safari. Inaitwa forgive and forget and not bury and forget.
Tundu Lisu anachokitaka siyo kurudi Tanzania bali anachotaka watanzania wajue ni mapungufu udhaifu madhambi ya utawala wa marehemuNaona ndugu yako hana nia ya kurudi, kubadilisha jina na mtawala yaweza kuchukua siku moja.
Lakini kubadilisha utawala (establishment ) yaweza kuchukua hata miaka kumi, analazimisha wamtafute, atawakuta wanamsubiri.
Achana na hao ng'ombe mkuu.Wewe Sasa ndiyo umesema ukweli wazalendo watampiga risasi tena. Wale waliotaka KUMUONGEZEA muda Magufuri BAADA ya kumaliza MIAKA kumi. Vipi hamkuweza KUMUONGEZEA uhai kwanza? Sasa tunataka tumuongezee mama Samia aongoze MIAKA 20 au ile ilikuwa kwa ajili ya marehemu Magufuri tu?
Tatizo hawana mtu wa kujibu hoja hizoHivi kwanini hoja za huyu Lissu zisijibiwe ?
Utawala huu mpya natumai utakuwa utawala bora wenye kuthamini haki za binadamu ndiyo maana watanzania wengi wana tumaini kubwa juu Rais samia Suluhu HassanHoja (dhihaka) ya tundu kaiweka hewani hapa Tundu Lissu: Tanzania’s five years of devastation under the presidency of John Pombe Magufuli
Ktk nchi ya mfumo wa demokrasia wa vyama vyingi hoja hujibiwa kwa hoja. Ukishindwa wewe peleka kwa katibu mwenezi wako... Hiyo ndio kazi take kuu. Mbona nape aliweza ?!?!?
Binadamu yeyote akinusurika kufa kwa shambulio hawezi kumpenda yule aliyetaka kumteketeza kamweMwacheni Tundu Lissu aponye majeraha yake kwa kusherehekea kifo cha MFITINI wake, zile mvua za risasi alizonyeshewa halikuwa jambo la kiubinadamu kabisa. MATAGA, hapa duniani tunapita tu. Kibuli, Dharau, Mabavu na UHALIFU mwingineo msivipe nafasi katika maisha haya.
Nyie ni kundi la kushindwa, mlishindwa kwa risasi mmeshindwa daimaWanaccm, Salaam!
Nimepitia maandishi kadhaa ya Tundu Lissu kuhusu anavyochukulia kifo cha Rais John Pombe Magufuli - haya ni baadhi tu ya maneno yake....
Yaani ukiona akili za wanaCCM tena wenye maamuzi kama waizi Mkuu.Unagundua kabisa wana akili hii.Lisu anaishi kwa kutegemea 071 kwa mabeberu hawezi kuja Tanzania.View attachment 1733706
Lazima tuweke wazi yaliyotokea kabla ya kendelea na safari. Inaitwa forgive and forget and not bury and forget.
Hoja (dhihaka) ya tundu kaiweka hewani hapa Tundu Lissu: Tanzania’s five years of devastation under the presidency of John Pombe Magufuli
Ktk nchi ya mfumo wa demokrasia wa vyama vyingi hoja hujibiwa kwa hoja. Ukishindwa wewe peleka kwa katibu mwenezi wako... Hiyo ndio kazi take kuu. Mbona nape aliweza ?!?!?