Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
huyu ni wa kuuawa tu over tena unaanza kukata kidole Kimoja Kimoja pua sikio na wewe tunakuonya uache mara moja tabia yako ya umbeaHivi kwanini hoja za huyu Lissu zisijibiwe ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu ni wa kuuawa tu over tena unaanza kukata kidole Kimoja Kimoja pua sikio na wewe tunakuonya uache mara moja tabia yako ya umbeaHivi kwanini hoja za huyu Lissu zisijibiwe ?
Wewe unaamini hilo, unazijua risasi 16? Hivi kweli upigwe risasi 16 upone acheni mzaha ndugu zangu.Hata huo mfupa wa mguu angekuwa anatembelea mfupa wa punda au nyumbu.Ungekuwa na wewe umepigwa risasi 16 tungekusikiliza ..
Anapomtukana na kumdhihaki marehemu huo ndiyo utawala wa sheria? Hivi sheria mnazijua nyie tu?Mnataka kuanzisha vita aisee?...mmesahau kabisa utawala washeria siyo? mmejimilikisha nchi kabisa,haya yetu macho,kumbukeni kina Musiba walifanya zaidi ya hayo na hakuna aliyewapiga wala kuwashtaki,iweje leo mkuki unaonekana mchungu,Mungu ataendelea kulipa kwa kila baya,hawahi na wala hachelewi.
Sasa si mkashtaki mahakamani,mbona mnataka kujichukulia sheria mikononi?au damu ya watu imewanogea tayari? acheni kujiona first class binadamu kwenye nchi ya kila mtu...eti amemtukana marehemu,mbona mnamuita scraper hakuna anayewapiga kwa kumtukana mlemavu? na hata alipofika Chato kwenye kampeni mlijipanga mkampiga mawe hakuna aliyejali.Anapomtukana na kumdhihaki marehemu huo ndiyo utawala wa sheria? Hivi sheria mnazijua nyie tu?
Kakukosea wewe na nani na wapi haswa kawakosea?Ni wakumuacha alivoo mungu ajue ..
Kwa maaana mungu ndiye mweny mamlaka kwa mwanadamu yeyote anayehishi chini ya jua
Cha msingi tushikamae tuijenge nchi yetu na tuhimarishe mshikamano kwa kuondoa tofauti zetu zikiwemo za kidini, kikabila, kikanda pia na kisiasa kwa maana wote ni wanadamu na akuna mkamilifu
Ila nisiwe msabato sana.. lisuu katukosea sanaa tena sana ila mungu ndio anajua yupi mwenye haki
Mungu azidi kuilaza roho ya shujaa wetu mahali pema
Amina
Wewe ungepigwa risasi 16 ungekaa kimya?Wanaccm, Salaam!
Nimepitia maandishi kadhaa ya Tundu Lissu kuhusu anavyochukulia kifo cha Rais John Pombe Magufuli - haya ni baadhi tu ya maneno yake...
Kwa hiyo hapo umeona kuna hoja ipo au?Hivi kwanini hoja za huyu Lissu zisijibiwe?
Sawa mnyonge mzalendo tumekusikia.Lissu akikanyaga Tanzania wazalendo watampiga risasi tena.
Acheni kuzingizia marehemu hawezi kujibu,kwani alipokuwa mzima alikuwa na uwezo wa kujibu lolote? alikuwa na uwezo wa kujenga hoja kweli? au majibu yake ndo yale ya kupiga watu risasi?Marehemu hawezi kujibu....
Kwa nini?Lissu akikanyaga Tanzania wazalendo watampiga risasi tena.