Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha sana kwakweli, sasa hapa ni public anayasema haya, sipati picha huko sirini wanayanena na kujiapiza mambo mabaya kiasi gani.Na huu ndio urithi bwana yule katuachia.
Doto kaiba pesa zote madini yote waliyokamata Airport mipakani majumbani zipo siri nyingi Tundu lisu atazianika baada ya kazi ya kuzika kumalizika huko ChatoHamtaki mabaya yenu yawekwe wazi? Sasa iwe mvua iwe jua tutayaweka tu ili mioyo yetu iwe huru. LISSU kamatia hapohapo hawa mataga ni wapuuzi sana
Kikubwa ni Doto kuiba Hazina ya Nchi nina imani na mama yetu mh Rais samia mara baada ya kuzika lazima atamchukulia hatua kali Doto ambaye alijisahau kwa majivuno makubwaInasikitisha sana kwakweli, sasa hapa ni public anayasema haya, sipati picha huko sirini wanayanena na kujiapiza mambo mabaya kiasi gani.
Ila kuna watu wamekula maisha zama za Kayafa! Ama kwa hakika "What's make Tom happy is not so to Jerry"Kikubwa ni Doto kuiba Hazina ya Nchi nina imani na mama yetu mh Rais samia mara baada ya kuzika lazima atamchukulia hatua kali Doto ambaye alijisahau kwa majivuno makubwa
Ni muoga mno hawezi kuthubutuNa kwa jinsi asivyokuwa na akili timamu anaweza kuamua kuja kweli!
UVCCM ya maana na ya mwisho ilikuwa ya kina Nchimbi hawa wengine ni vijana wavivu wa kufikiri na weupe wa kujibu hoja - kwao njia rahisi ni vurugu ( violence)Hivi kwanini hoja za huyu Lissu zisijibiwe?
Huyu ni mwepesi kuliko pumba na Sufi.Mh...Kabende hii sio saizi yako,acha kujivua nguo!
Dhihaka na matusi ndio hoja? Safari hii atapata ulemavu wa piliHivi kwanini hoja za huyu Lissu zisijibiwe?
Huyo ni pisi kali yani mdangaji,mataga wako hoves yani wanatumia mashine za oxygenUngekuwa na wewe umepigwa risasi 16 tungekusikiliza.
Ushahidi wa wizi wake uko wapi - unatembelea maneno ya uzushi wa kigogoKikubwa ni Doto kuiba Hazina ya Nchi nina imani na mama yetu mh Rais samia mara baada ya kuzika lazima atamchukulia hatua kali Doto ambaye alijisahau kwa majivuno makubwa
Kumbe alipigwa risasi na wazalendo!!!! siyo watu wasiojulikana?? kidogo kidogo tutawajua tu, mtataja mpaka majina na vyeo vyao, damu ya mtu haiwezi kumwagika hihi hivi tu halafu eti mkabaki salama, never!!Lissu akikanyaga Tanzania wazalendo watampiga risasi tena.
Alitusaliti kwenye madini mchana kweupe wananchi wote mashaidi.Usaliti upi kwa Lisu? Hakuna usaliti Hatari kama kupora mali za watu kufunga biashara za watu kufunga Account zao, kupora ushindi kwenye chaguzi zote, huo ndiyo usaliti kwani CCM hawakuwa wamezoea uonevu wa kiwango hicho
Mbona unamkoroga tena mdau mwenzetu?Sawa Taga/Mnyonge umesikika
Wewe UMENENA jambo wasiloweza kulijua WAJINGA. Ni nadra sana kumpenda adui yako, sembuseBinadamu yeyote akinusurika kufa kwa shambulio hawezi kumpenda yule aliyetaka kumteketeza kamwe
Chuki za kupandikizwa mioyoni. Upinzani kuwa uadui. Mihemko isiyo na tija!Na huu ndio urithi bwana yule katuachia.