Mbowe, mkanye Lissu

Wembe ni uleule akuna kucheka na nyani.
HUU TENA SIO WA YULE JIWE MEKO HUU ANGALAO TUNAJUA UTAKATA PALE PANAPOHITAJI KUKATWA. JAMAA YENU ALIKUWA ANAKATA HOVYOHOVYO TU MPAKA WAWEKEZAJI WAKAMKIMBIA

 
Hii Moderator au Mhariri ni sawa kwa jamii yetu hii ya Kitanzania?
 
 
Mimi lema ajipange kwa kweli
 
Mkabili Shangazi yako.
 
Upuuzi mtupu.
 
Uzuri au ubaya wa mtu hauwezi kufutika kwa mihemko kama yako.
Kwanza yaseme mazuri ya JPM tusiyoyajua unayoyajua wewe tu. KIsha Lisu naye atatueleze mabaya ya jpm tusiyoyajua anayoyajua yeye.

NB: Kwanza pitia mateso aliyopitia Lisu ndipo ujustify porojo zako za kijinga. Short of that kafanye homework ya shule, kakojoe kisha ukalale mapema ili kesho uwahi shule.
 
Msomi wa CCM anayeongoza kwa akili kuliko wenzake wote duniani anajua sentensi hii tu: "CCM is stronger than ever!". Zaidi ya hapo unamtaka mabaya
 

huyu wala asijali, mguu wake uguse tu bongo polisi watuachie tu sisi tumshuhulikie! ule mguu mwingine bado ni mrefu
 
Kwani wewe unajua maumivu aliyopata huyu Lissu kutokana na zile risasi? Waache hao wababe wawili watwangane. Atakayeshindwa anyoshe mikono tumsaidie.
 
kenge ww, nchi inaongozwa kisheria sio kihuni, enzi za kuwashugulikia watu kinyume na sheria Zishaisha
 
Nani alimpiga risasi Lissu?
 
huyu mbuzi wenu ndo anawadanganya eti flyover hazina kazi, sgr sio muhimu! tutamyoosha wenyewe polisi watuachie kazi
Jibuni hoja zake kwa usahihi atanyamaza, lakini ninyi wote ni mabogos, hamuwezi kujenga hoja zitakazomfanya lissu atekewe.
Mnaropoka ropoka tu.
 
Kiongozi umeandika upuuzi..ungechambua andiko lake..sio ushamba uleule wa kutishia kumpiga risasi nafikiri mambo ya kishamba na kijima ya ubabe na kupigana risasi badala ya majadiliano tuyaache Sasa tuanze upya.
Wamerithi tabia mbaya sana hawa jamaa. Badala ya kujibu hoja za Lissu wao wanawaza kama marehemu, kupiga risasi na kumfanyia fujo mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…