MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,500
HUU TENA SIO WA YULE JIWE MEKO HUU ANGALAO TUNAJUA UTAKATA PALE PANAPOHITAJI KUKATWA. JAMAA YENU ALIKUWA ANAKATA HOVYOHOVYO TU MPAKA WAWEKEZAJI WAKAMKIMBIAWembe ni uleule akuna kucheka na nyani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HUU TENA SIO WA YULE JIWE MEKO HUU ANGALAO TUNAJUA UTAKATA PALE PANAPOHITAJI KUKATWA. JAMAA YENU ALIKUWA ANAKATA HOVYOHOVYO TU MPAKA WAWEKEZAJI WAKAMKIMBIAWembe ni uleule akuna kucheka na nyani.
Hazina mashiko.Hivi kwanini hoja za huyu Lissu zisijibiwe?
Hii Moderator au Mhariri ni sawa kwa jamii yetu hii ya Kitanzania?WanaCCM, Salaam!
Nimepitia maandishi kadhaa ya Tundu Lissu kuhusu anavyochukulia kifo cha Rais John Pombe Magufuli - haya ni baadhi tu ya maneno yake.
Tundu Lissu "nitarejea nchini iwapo tu uongozi wa Tanzania utaniruhusu kuorodhesha na kuanika maovu ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli".
Kwetu sisi wanaccm hii ni Dhihaka iliyopitiliza dhidi ya mpendwa wetu - ni matusi kwa CCM - ni dharau kwa CCM na viongozi wetu wa chama na Serikali. Iwapo ataruhusiwa kuanika mambo ambayo yeye anayaita mabaya. Je, anayemtuhumu atakuwa na uwezo wa kukanusha? Je, mambo hayo mabaya anayafahamu Lissu sisi tusiyajuwe?
Nawaomba vijana wa CCM kote nchini tudhibiti mihemuko ya huyu Tundu Lissu kwa maneno na vitendo. Amebwabwaja sana sasa kwa kauli moja tuseme inatosha "karibu Tanzania Tundu Lissu ili upewe majibu ya uhuni wako".
CCM is stronger than ever!
Tutakudhibiti kwa nguvu moja
WanaCCM, Salaam!
Nimepitia maandishi kadhaa ya Tundu Lissu kuhusu anavyochukulia kifo cha Rais John Pombe Magufuli - haya ni baadhi tu ya maneno yake.
Tundu Lissu "nitarejea nchini iwapo tu uongozi wa Tanzania utaniruhusu kuorodhesha na kuanika maovu ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli".
Kwetu sisi wanaccm hii ni Dhihaka iliyopitiliza dhidi ya mpendwa wetu - ni matusi kwa CCM - ni dharau kwa CCM na viongozi wetu wa chama na Serikali. Iwapo ataruhusiwa kuanika mambo ambayo yeye anayaita mabaya. Je, anayemtuhumu atakuwa na uwezo wa kukanusha? Je, mambo hayo mabaya anayafahamu Lissu sisi tusiyajuwe?
Nawaomba vijana wa CCM kote nchini tudhibiti mihemuko ya huyu Tundu Lissu kwa maneno na vitendo. Amebwabwaja sana sasa kwa kauli moja tuseme inatosha "karibu Tanzania Tundu Lissu ili upewe majibu ya uhuni wako".
CCM is stronger than ever!
Tutakudhibiti kwa nguvu moja
Mimi lema ajipange kwa kweliWanaCCM, Salaam!
Nimepitia maandishi kadhaa ya Tundu Lissu kuhusu anavyochukulia kifo cha Rais John Pombe Magufuli - haya ni baadhi tu ya maneno yake.
Tundu Lissu "nitarejea nchini iwapo tu uongozi wa Tanzania utaniruhusu kuorodhesha na kuanika maovu ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli".
Kwetu sisi wanaccm hii ni Dhihaka iliyopitiliza dhidi ya mpendwa wetu - ni matusi kwa CCM - ni dharau kwa CCM na viongozi wetu wa chama na Serikali. Iwapo ataruhusiwa kuanika mambo ambayo yeye anayaita mabaya. Je, anayemtuhumu atakuwa na uwezo wa kukanusha? Je, mambo hayo mabaya anayafahamu Lissu sisi tusiyajuwe?
Nawaomba vijana wa CCM kote nchini tudhibiti mihemuko ya huyu Tundu Lissu kwa maneno na vitendo. Amebwabwaja sana sasa kwa kauli moja tuseme inatosha "karibu Tanzania Tundu Lissu ili upewe majibu ya uhuni wako".
CCM is stronger than ever!
Tutakudhibiti kwa nguvu moja
Mkabili Shangazi yako.WanaCCM, Salaam!
Nimepitia maandishi kadhaa ya Tundu Lissu kuhusu anavyochukulia kifo cha Rais John Pombe Magufuli - haya ni baadhi tu ya maneno yake.
Tundu Lissu "nitarejea nchini iwapo tu uongozi wa Tanzania utaniruhusu kuorodhesha na kuanika maovu ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli".
Kwetu sisi wanaccm hii ni Dhihaka iliyopitiliza dhidi ya mpendwa wetu - ni matusi kwa CCM - ni dharau kwa CCM na viongozi wetu wa chama na Serikali. Iwapo ataruhusiwa kuanika mambo ambayo yeye anayaita mabaya. Je, anayemtuhumu atakuwa na uwezo wa kukanusha? Je, mambo hayo mabaya anayafahamu Lissu sisi tusiyajuwe?
Nawaomba vijana wa CCM kote nchini tudhibiti mihemuko ya huyu Tundu Lissu kwa maneno na vitendo. Amebwabwaja sana sasa kwa kauli moja tuseme inatosha "karibu Tanzania Tundu Lissu ili upewe majibu ya uhuni wako".
CCM is stronger than ever!
Tutakudhibiti kwa nguvu moja
Apumzike mahali anapo stahili.Na huu ndio urithi bwana yule katuachia.
Upuuzi mtupu.WanaCCM, Salaam!
Nimepitia maandishi kadhaa ya Tundu Lissu kuhusu anavyochukulia kifo cha Rais John Pombe Magufuli - haya ni baadhi tu ya maneno yake.
Tundu Lissu "nitarejea nchini iwapo tu uongozi wa Tanzania utaniruhusu kuorodhesha na kuanika maovu ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli".
Kwetu sisi wanaccm hii ni Dhihaka iliyopitiliza dhidi ya mpendwa wetu - ni matusi kwa CCM - ni dharau kwa CCM na viongozi wetu wa chama na Serikali. Iwapo ataruhusiwa kuanika mambo ambayo yeye anayaita mabaya. Je, anayemtuhumu atakuwa na uwezo wa kukanusha? Je, mambo hayo mabaya anayafahamu Lissu sisi tusiyajuwe?
Nawaomba vijana wa CCM kote nchini tudhibiti mihemuko ya huyu Tundu Lissu kwa maneno na vitendo. Amebwabwaja sana sasa kwa kauli moja tuseme inatosha "karibu Tanzania Tundu Lissu ili upewe majibu ya uhuni wako".
CCM is stronger than ever!
Tutakudhibiti kwa nguvu moja
Uzuri au ubaya wa mtu hauwezi kufutika kwa mihemko kama yako.WanaCCM, Salaam!
Nimepitia maandishi kadhaa ya Tundu Lissu kuhusu anavyochukulia kifo cha Rais John Pombe Magufuli - haya ni baadhi tu ya maneno yake.
Tundu Lissu "nitarejea nchini iwapo tu uongozi wa Tanzania utaniruhusu kuorodhesha na kuanika maovu ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli".
Kwetu sisi wanaccm hii ni Dhihaka iliyopitiliza dhidi ya mpendwa wetu - ni matusi kwa CCM - ni dharau kwa CCM na viongozi wetu wa chama na Serikali. Iwapo ataruhusiwa kuanika mambo ambayo yeye anayaita mabaya. Je, anayemtuhumu atakuwa na uwezo wa kukanusha? Je, mambo hayo mabaya anayafahamu Lissu sisi tusiyajuwe?
Nawaomba vijana wa CCM kote nchini tudhibiti mihemuko ya huyu Tundu Lissu kwa maneno na vitendo. Amebwabwaja sana sasa kwa kauli moja tuseme inatosha "karibu Tanzania Tundu Lissu ili upewe majibu ya uhuni wako".
CCM is stronger than ever!
Tutakudhibiti kwa nguvu moja
Msomi wa CCM anayeongoza kwa akili kuliko wenzake wote duniani anajua sentensi hii tu: "CCM is stronger than ever!". Zaidi ya hapo unamtaka mabayaWanaCCM, Salaam!
Nimepitia maandishi kadhaa ya Tundu Lissu kuhusu anavyochukulia kifo cha Rais John Pombe Magufuli - haya ni baadhi tu ya maneno yake.
Tundu Lissu "nitarejea nchini iwapo tu uongozi wa Tanzania utaniruhusu kuorodhesha na kuanika maovu ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli".
Kwetu sisi wanaccm hii ni Dhihaka iliyopitiliza dhidi ya mpendwa wetu - ni matusi kwa CCM - ni dharau kwa CCM na viongozi wetu wa chama na Serikali. Iwapo ataruhusiwa kuanika mambo ambayo yeye anayaita mabaya. Je, anayemtuhumu atakuwa na uwezo wa kukanusha? Je, mambo hayo mabaya anayafahamu Lissu sisi tusiyajuwe?
Nawaomba vijana wa CCM kote nchini tudhibiti mihemuko ya huyu Tundu Lissu kwa maneno na vitendo. Amebwabwaja sana sasa kwa kauli moja tuseme inatosha "karibu Tanzania Tundu Lissu ili upewe majibu ya uhuni wako".
CCM is stronger than ever!
Tutakudhibiti kwa nguvu moja
Wanapaparika tu Kama kuku wa aliyechinjwa kwa mganga wa kienyejiHivi kwanini hoja za huyu Lissu zisijibiwe?
WanaCCM, Salaam!
Nimepitia maandishi kadhaa ya Tundu Lissu kuhusu anavyochukulia kifo cha Rais John Pombe Magufuli - haya ni baadhi tu ya maneno yake.
Tundu Lissu "nitarejea nchini iwapo tu uongozi wa Tanzania utaniruhusu kuorodhesha na kuanika maovu ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli".
Kwetu sisi wanaccm hii ni Dhihaka iliyopitiliza dhidi ya mpendwa wetu - ni matusi kwa CCM - ni dharau kwa CCM na viongozi wetu wa chama na Serikali. Iwapo ataruhusiwa kuanika mambo ambayo yeye anayaita mabaya. Je, anayemtuhumu atakuwa na uwezo wa kukanusha? Je, mambo hayo mabaya anayafahamu Lissu sisi tusiyajuwe?
Nawaomba vijana wa CCM kote nchini tudhibiti mihemuko ya huyu Tundu Lissu kwa maneno na vitendo. Amebwabwaja sana sasa kwa kauli moja tuseme inatosha "karibu Tanzania Tundu Lissu ili upewe majibu ya uhuni wako".
CCM is stronger than ever!
Tutakudhibiti kwa nguvu moja
Wanapaparika tu Kama kuku wa aliyechinjwa kwa mganga wa kienyeji
Kwani wewe unajua maumivu aliyopata huyu Lissu kutokana na zile risasi? Waache hao wababe wawili watwangane. Atakayeshindwa anyoshe mikono tumsaidie.WanaCCM, Salaam!
Nimepitia maandishi kadhaa ya Tundu Lissu kuhusu anavyochukulia kifo cha Rais John Pombe Magufuli - haya ni baadhi tu ya maneno yake.
Tundu Lissu "nitarejea nchini iwapo tu uongozi wa Tanzania utaniruhusu kuorodhesha na kuanika maovu ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli".
Kwetu sisi wanaccm hii ni Dhihaka iliyopitiliza dhidi ya mpendwa wetu - ni matusi kwa CCM - ni dharau kwa CCM na viongozi wetu wa chama na Serikali. Iwapo ataruhusiwa kuanika mambo ambayo yeye anayaita mabaya. Je, anayemtuhumu atakuwa na uwezo wa kukanusha? Je, mambo hayo mabaya anayafahamu Lissu sisi tusiyajuwe?
Nawaomba vijana wa CCM kote nchini tudhibiti mihemuko ya huyu Tundu Lissu kwa maneno na vitendo. Amebwabwaja sana sasa kwa kauli moja tuseme inatosha "karibu Tanzania Tundu Lissu ili upewe majibu ya uhuni wako".
CCM is stronger than ever!
Tutakudhibiti kwa nguvu moja
kenge ww, nchi inaongozwa kisheria sio kihuni, enzi za kuwashugulikia watu kinyume na sheria ZishaishaWanaCCM, Salaam!
Nimepitia maandishi kadhaa ya Tundu Lissu kuhusu anavyochukulia kifo cha Rais John Pombe Magufuli - haya ni baadhi tu ya maneno yake.
Tundu Lissu "nitarejea nchini iwapo tu uongozi wa Tanzania utaniruhusu kuorodhesha na kuanika maovu ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli".
Kwetu sisi wanaccm hii ni Dhihaka iliyopitiliza dhidi ya mpendwa wetu - ni matusi kwa CCM - ni dharau kwa CCM na viongozi wetu wa chama na Serikali. Iwapo ataruhusiwa kuanika mambo ambayo yeye anayaita mabaya. Je, anayemtuhumu atakuwa na uwezo wa kukanusha? Je, mambo hayo mabaya anayafahamu Lissu sisi tusiyajuwe?
Nawaomba vijana wa CCM kote nchini tudhibiti mihemuko ya huyu Tundu Lissu kwa maneno na vitendo. Amebwabwaja sana sasa kwa kauli moja tuseme inatosha "karibu Tanzania Tundu Lissu ili upewe majibu ya uhuni wako".
CCM is stronger than ever!
Tutakudhibiti kwa nguvu moja
Nani alimpiga risasi Lissu?Ni wakumuacha alivyo Mungu ajue.
Kwa maaana mungu ndiye mweny mamlaka kwa mwanadamu yeyote anayehishi chini ya jua
Cha msingi tushikamae tuijenge nchi yetu na tuhimarishe mshikamano kwa kuondoa tofauti zetu zikiwemo za kidini, kikabila, kikanda pia na kisiasa kwa maana wote ni wanadamu na akuna mkamilifu.
Ila nisiwe msabato sana.. lisuu katukosea sanaa tena sana ila mungu ndio anajua yupi mwenye haki.
Mungu azidi kuilaza roho ya shujaa wetu mahali pema.
Amina.
Jibuni hoja zake kwa usahihi atanyamaza, lakini ninyi wote ni mabogos, hamuwezi kujenga hoja zitakazomfanya lissu atekewe.huyu mbuzi wenu ndo anawadanganya eti flyover hazina kazi, sgr sio muhimu! tutamyoosha wenyewe polisi watuachie kazi
Wamerithi tabia mbaya sana hawa jamaa. Badala ya kujibu hoja za Lissu wao wanawaza kama marehemu, kupiga risasi na kumfanyia fujo mtuKiongozi umeandika upuuzi..ungechambua andiko lake..sio ushamba uleule wa kutishia kumpiga risasi nafikiri mambo ya kishamba na kijima ya ubabe na kupigana risasi badala ya majadiliano tuyaache Sasa tuanze upya.
bora zingebaki media
Mimi sijuiNani alimpiga risasi Lissu?