Mbowe, mkanye Lissu

Mbowe, mkanye Lissu

Heeeh! Kumbe TAL kamtukana Mungu wa Wanyonge ???.
Muombeeni kifo basi kabla ya kuzika!
 
Mlisema hivo hivo na kina Pasco ila wananchi walitoa majibu.... Mind you alirudi kipindi cha mazishi ya Mkapa!!


Mtu kama huyu unatamchuliaje?


Tanzania’s five years of devastation under the presidency of John Pombe Magufuli
By Tundu AM Lissu• 22 March 2021


The late Tanzanian president John Pombe Magufuli. (Photo: Flickr / GCIS) Less


Africa did not mourn the passing of Idi Amin, Bokassa, Mobutu Sese Seko or, more recently, Robert Mugabe. It should not be mourning John Magufuli, a vicious tyrant who, with crude anti-imperialist phrase-mongering, masqueraded as a great African patriot while terrorising his countrymen and women and looting the country’s treasury in order to transform his lakeside village of Chato into Tanzania’s Gbadolite.
 
Yes kaeleza hisia zake tena ndani ya mipaka ya demokrasia.....

Kila mtu ana pande mbili duniani kwa kuwa tu ww umekutana na upande mmoja wa JPM ila Lissu alikutana na upande wa pili wa JPM ssa usilazimishe maoni yafanane maana wote mmemjua kwa sura mbili tofauti kabisa.
 
mnajaribu weeeeeeeee mnashindwa.. ...mae.
huyu LISSU ndio mpendwa wetu.. MEKO ni mpendwa wa MUNGU kamchukua
Tawile baba,tawile.
Tutakutana tena 2025 kwenye box la kura ndo tutajua.
Zitendwa mbali zilongwa mbali.
 
Tawile baba,tawile.
Tutakutana tena 2025 kwenye box la kura ndo tutajua.
Zitendwa mbali zilongwa mbali.
hahahaaaaa imeshatoka hiyooo tunaanza upyaaaaaa na MAMAENU ✌️ ✌️ 😛😛😛😛
 
Lissu ni purely innocent alichokuwa anaongea bungeni ni kutetea wananchi ila kwakuwa madikteta hayapendi kukosolewa mkampiga risasi Sasa akija mguseni tuone.
mwambie aje ata leo tunamsubiri kwa hamu
 
Utawala huu mpya natumai utakuwa utawala bora wenye kuthamini haki za binadamu ndiyo maana watanzania wengi wana tumaini kubwa juu Rais samia Suluhu Hassan
mwendo ni ule ule kasi mpya ari mpya msitegemee mtelemko HAPA KAZI TU
 
WanaCCM, Salaam!

Nimepitia maandishi kadhaa ya Tundu Lissu kuhusu anavyochukulia kifo cha Rais John Pombe Magufuli - haya ni baadhi tu ya maneno yake.

Tundu Lissu "nitarejea nchini iwapo tu uongozi wa Tanzania utaniruhusu kuorodhesha na kuanika maovu ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli".

Kwetu sisi wanaccm hii ni Dhihaka iliyopitiliza dhidi ya mpendwa wetu - ni matusi kwa CCM - ni dharau kwa CCM na viongozi wetu wa chama na Serikali. Iwapo ataruhusiwa kuanika mambo ambayo yeye anayaita mabaya. Je, anayemtuhumu atakuwa na uwezo wa kukanusha? Je, mambo hayo mabaya anayafahamu Lissu sisi tusiyajuwe?

Nawaomba vijana wa CCM kote nchini tudhibiti mihemuko ya huyu Tundu Lissu kwa maneno na vitendo. Amebwabwaja sana sasa kwa kauli moja tuseme inatosha "karibu Tanzania Tundu Lissu ili upewe majibu ya uhuni wako".

CCM is stronger than ever!
Tutakudhibiti kwa nguvu moja
Magufuli angekuwa na mawazo Kama yako,asingetufikisha tulipo,mawazo ya KiCCM CCM.
 
WanaCCM, Salaam!

Nimepitia maandishi kadhaa ya Tundu Lissu kuhusu anavyochukulia kifo cha Rais John Pombe Magufuli - haya ni baadhi tu ya maneno yake.

Tundu Lissu "nitarejea nchini iwapo tu uongozi wa Tanzania utaniruhusu kuorodhesha na kuanika maovu ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli".

Kwetu sisi wanaccm hii ni Dhihaka iliyopitiliza dhidi ya mpendwa wetu - ni matusi kwa CCM - ni dharau kwa CCM na viongozi wetu wa chama na Serikali. Iwapo ataruhusiwa kuanika mambo ambayo yeye anayaita mabaya. Je, anayemtuhumu atakuwa na uwezo wa kukanusha? Je, mambo hayo mabaya anayafahamu Lissu sisi tusiyajuwe?

Nawaomba vijana wa CCM kote nchini tudhibiti mihemuko ya huyu Tundu Lissu kwa maneno na vitendo. Amebwabwaja sana sasa kwa kauli moja tuseme inatosha "karibu Tanzania Tundu Lissu ili upewe majibu ya uhuni wako".

CCM is stronger than ever!
Tutakudhibiti kwa nguvu moja
"If you lose heart when things go wrong, your strength is not worth much." (Proverb 24:10) The logical thing to do when you are hurt is to forgive and not revenge.
 
Marehemu alikuwa na mazuri yake mengi ikiwemo kurejesha nidhamu Serikalini kuleta maendeleo Nchini lakini pia alikuwa na mabaya yake siyo vibaya yakaachwa yaanikwe pia ili kumsaidia Rais mpya kuendeleza mazuri na kuyaacha yale mabaya yote
Hili la kurejesha nidhamu serikalini mimi sikubaliani nalo,mambo yako zaidi ya kipindi cha JK(Msoga) watu sasa wanatumia akili ya ziada kupiga.
 
Back
Top Bottom