Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlisema hivo hivo na kina Pasco ila wananchi walitoa majibu.... Mind you alirudi kipindi cha mazishi ya Mkapa!!
ntakustua siku anaingia hom na usikimbie wewesisi ndo wenye nchi sasa na itabaki hivo milele, yule insane wenu ataishi ukimbizi maisha
Nadi walinzi wake tunasubili, mambo ya kusaidiwa na wasionulikana yameondoka na dikteta, sasa jitokeze tukunyoe kwapa kwa kiwembe
mnajaribu weeeeeeeee mnashindwa.. ...mae.Kumpuuza Lissu ni pigo tosha kabisa.
Walijitwalia wizara ya madini uchukuzi vitengo vyote muhimu sasa wajiandae kurejea kwaoPumbavu wasukuma nyie
Ushahidi uletewe hapo ghetto kwako ili iweje? au unataka ujue mapema ubuni mbinu za kuharibu ushahidi?Ushahidi wa wizi wake uko wapi - unatembelea maneno ya uzushi wa kigogo
Tawile baba,tawile.mnajaribu weeeeeeeee mnashindwa.. ...mae.
huyu LISSU ndio mpendwa wetu.. MEKO ni mpendwa wa MUNGU kamchukua
hahahaaaaa imeshatoka hiyooo tunaanza upyaaaaaa na MAMAENU ✌️ ✌️ 😛😛😛😛Tawile baba,tawile.
Tutakutana tena 2025 kwenye box la kura ndo tutajua.
Zitendwa mbali zilongwa mbali.
mwambie aje ata leo tunamsubiri kwa hamuLissu ni purely innocent alichokuwa anaongea bungeni ni kutetea wananchi ila kwakuwa madikteta hayapendi kukosolewa mkampiga risasi Sasa akija mguseni tuone.
mwendo ni ule ule kasi mpya ari mpya msitegemee mtelemko HAPA KAZI TUUtawala huu mpya natumai utakuwa utawala bora wenye kuthamini haki za binadamu ndiyo maana watanzania wengi wana tumaini kubwa juu Rais samia Suluhu Hassan
Herry kisanduku aki excute orderCyprian Musiba, Le mutuz Bashite na wasiojulikana ndiyo walikwenda Dodoma kumpiga risasi Tundu lisu kwa mjibu wa FBI waliopo ubalozi wa marekani ambao walichunguza tukio la Tundu lisu kwa Siri kwa kutumia tekinologia ya kisasa .
Yeye hata angepigwa risasi 100 angeendelea kusifu na kuabudu,Usukule kazi, kinachonikera sana wanataka kila mtu awe kama wao.Ungekuwa na wewe umepigwa risasi 16 tungekusikiliza.
Magufuli angekuwa na mawazo Kama yako,asingetufikisha tulipo,mawazo ya KiCCM CCM.WanaCCM, Salaam!
Nimepitia maandishi kadhaa ya Tundu Lissu kuhusu anavyochukulia kifo cha Rais John Pombe Magufuli - haya ni baadhi tu ya maneno yake.
Tundu Lissu "nitarejea nchini iwapo tu uongozi wa Tanzania utaniruhusu kuorodhesha na kuanika maovu ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli".
Kwetu sisi wanaccm hii ni Dhihaka iliyopitiliza dhidi ya mpendwa wetu - ni matusi kwa CCM - ni dharau kwa CCM na viongozi wetu wa chama na Serikali. Iwapo ataruhusiwa kuanika mambo ambayo yeye anayaita mabaya. Je, anayemtuhumu atakuwa na uwezo wa kukanusha? Je, mambo hayo mabaya anayafahamu Lissu sisi tusiyajuwe?
Nawaomba vijana wa CCM kote nchini tudhibiti mihemuko ya huyu Tundu Lissu kwa maneno na vitendo. Amebwabwaja sana sasa kwa kauli moja tuseme inatosha "karibu Tanzania Tundu Lissu ili upewe majibu ya uhuni wako".
CCM is stronger than ever!
Tutakudhibiti kwa nguvu moja
"If you lose heart when things go wrong, your strength is not worth much." (Proverb 24:10) The logical thing to do when you are hurt is to forgive and not revenge.WanaCCM, Salaam!
Nimepitia maandishi kadhaa ya Tundu Lissu kuhusu anavyochukulia kifo cha Rais John Pombe Magufuli - haya ni baadhi tu ya maneno yake.
Tundu Lissu "nitarejea nchini iwapo tu uongozi wa Tanzania utaniruhusu kuorodhesha na kuanika maovu ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli".
Kwetu sisi wanaccm hii ni Dhihaka iliyopitiliza dhidi ya mpendwa wetu - ni matusi kwa CCM - ni dharau kwa CCM na viongozi wetu wa chama na Serikali. Iwapo ataruhusiwa kuanika mambo ambayo yeye anayaita mabaya. Je, anayemtuhumu atakuwa na uwezo wa kukanusha? Je, mambo hayo mabaya anayafahamu Lissu sisi tusiyajuwe?
Nawaomba vijana wa CCM kote nchini tudhibiti mihemuko ya huyu Tundu Lissu kwa maneno na vitendo. Amebwabwaja sana sasa kwa kauli moja tuseme inatosha "karibu Tanzania Tundu Lissu ili upewe majibu ya uhuni wako".
CCM is stronger than ever!
Tutakudhibiti kwa nguvu moja
Wembe ni uleule akuna kucheka na nyani.hahahaaaaa imeshatoka hiyooo tunaanza upyaaaaaa na MAMAENU [emoji3577] [emoji3577] 😛😛😛😛
Hili la kurejesha nidhamu serikalini mimi sikubaliani nalo,mambo yako zaidi ya kipindi cha JK(Msoga) watu sasa wanatumia akili ya ziada kupiga.Marehemu alikuwa na mazuri yake mengi ikiwemo kurejesha nidhamu Serikalini kuleta maendeleo Nchini lakini pia alikuwa na mabaya yake siyo vibaya yakaachwa yaanikwe pia ili kumsaidia Rais mpya kuendeleza mazuri na kuyaacha yale mabaya yote