Mbowe, mkanye Lissu

Mbowe, mkanye Lissu

Popote ulipo mwenyekiti wa chama.

Tunakufikishia salamu hizi sisi Watanzania tusio na chama na wanachama wa CHADEMA.

Mwambie Tundu Lissu akae kimya wakati huu, aache tabia za kuropoka ropoka na kujibishana asiye jibishane naye.

Mwambie kwenye msiba tamaduni zetu ni kuungana na kua wamoja huo utofauti anaoulazimisha utazidi kumuumbua na kukiumbua chama chenu.

Mwambie hata kama ana uchungu na kisasi kwa yale aliyofanyiwa mwambie kwa nafasi yake hastahili kufanya anayoyafanya labda kama hana mpango wakugombea.

Mwambie anaharibu image ya chama, kama anajua hatarudi wala kugombea mwambie anawaponza wenzake. Mbona wewe (Mbowe) hupost post au anadhani huna bando au smartphone?

Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lissu behave like gentleman.
Unauhakika.Unafikiri kwanini usilikanye somo lako kabla hajakanywa? Manenonhaya sio kabisa.....
 
Mkanye wewe si ndio unasoma post zake huko mitandaoni, Kila mtu ana Uhuru wa kutoa maoni yake, Wakati watanzania tunamchangia ili aokoe uhai wake baada ya Marehemu na Bunge lake kumkatalia hamkujua kwamba sio utamaduni?
Mleta mada ni wa kupuuziwa tu
 
Kwendeni zenu wewe kwa akili yako mtu ambae amepitia trainings alenge shabaha risasi 16 akosee! ukiambiwa lete ushahidi utaleta? unafikiri vita ya kiuchumi ni lelemama mtu yoyote anaweza kutumika kumshambulisha mtu fulani ilimradi tu wananchi wagombane na serikali yao.
Mungu sio mama yako mdogo ... Hamtaki kuamini kama JIWE kamuacha mwanasheria TL anapumua.
 
You have to keep an open mind! Ushahidi kwamba ameua mtu yeyote uko wapi? Kumtuhumu mtu bila ushahidi wowote ni chuki binafsi na uonevu.

Critics wengi wa serikali huuawa bila maagizo yoyote ya viongozi wakuu. Kuna mashabiki ambao hawaoni shida kumuondoa mtu ambaye wanadhani ni headache kwa kiongozi wanayempenda wao. Mashabiki wa aina ya wafuasi wa Trump, kwa mfano, hawahitaji maagizo yoyote kutoka kwa Trump kumfyekelea mbali mtu ambaye wanamuona ni tishio kwa kiongozi wao. Hawa ni wahalifu wanaoamini kimakosa kwamba matendo yao yana maslahi kwa taifa!

Hata mimi nikijianika mahali nikawa mkosoaji mkali sana wa Lissu au Mbowe, kila uchao, ninaweza kutekwa na kuuawa na wafuasi wao hata bila wao wenyewe kutoa maagizo yoyote. Hii ndiyo kasoro kubwa inayoambatana na ushabiki.
Ishu ya Lissu kupigwa risasi usijitoe ufahamu hapa wkt waliondoa walinzi na camera.

Tufunge mjadala.. Marehemu JPM alikuwa Malaika (nimekubali)
 
Mbona madaraja tunayataja na hamkatai.. iweje mauaji aliyofanya tuyafiche kisa kafa

Ukoo wa panya nyie
Kweli watu weusi tunavichwa maji ikiwepo wewe hivi ulisha sikia wapi ulaya kiongizi wa chama pinzani kapigwa risasi kwani nini ni kwetu tu africa ndo itokee kwani ulaya uwongozi mbovu hakuna na upinzani wanazungu uwongozi mbovu kila leo
 
Ishu ya Lissu kupigwa risasi usijitoe ufahamu hapa wkt waliondoa walinzi na camera.

Tufunge mjadala.. Marehemu JPM alikuwa Malaika (nimekubali)

Inashangaza jinsi ambavyo wakati mwingine huwa tunalishwa vitu fulani na sisi kuvimeza bila kuhoji chochote. Nani amewahi kuanika ushahidi wa haya madai?

Hivi kumshambulia Lissu akiwa elsewhere (including njiani) ilikuwa haiwezekani kabisa mpaka tu pale mahali alipokuwa anaishi? Obviously, kama walinzi na camera vilikuwa vikwazo, wangeweza kumlia timing mahali pengine muafaka.

Hakuna anayesema JPM alikuwa malaika. Hata hivyo, kutokuwa kwake malaika haitupi sisi uhalali wa kumtuhumu kwa kila uovu tunaoufikiria hata kama hatuna ushahidi wa kuhusika kwake!
 
Inashangaza jinsi ambavyo wakati mwingine huwa tunalishwa vitu fulani na sisi kuvimeza bila kuhoji chochote. Nani amewahi kuanika ushahidi wa haya madai?

Hivi kumshambulia Lissu akiwa elsewhere (including njiani) ilikuwa haiwezekani kabisa mpaka tu pale mahali alipokuwa anaishi? Obviously, kama walinzi na camera vilikuwa vikwazo, wangeweza kumlia timing mahali pengine muafaka.

Hakuna anayesema JPM alikuwa malaika. Hata hivyo, kutokuwa kwake malaika haitupi sisi uhalali wa kumtuhumu kwa kila uovu tunaoufikiria hata kama hatuna ushahidi wa kuhusika kwake!
Kumbuka Lisu kalalamika kabla ya tukio kuwa kuna watu wanamfatilia na kutoa taarifa kwa wahusika,
Lakini pia baada shambulio serikali ilkataa Lisu asiombewe wala wahusika kusomewa albadil
Muda si muda kanyimwa stahiki zake na kunyang’anywa ubunge.
Yaani kwa ujumla film ya Lisu huitaji kumtafuta aliyekuwa anaratibu hiyo mipango.
All in all Mungu fundi.
 
Popote ulipo mwenyekiti wa chama.

Tunakufikishia salamu hizi sisi Watanzania tusio na chama na wanachama wa CHADEMA.

Mwambie Tundu Lissu akae kimya wakati huu, aache tabia za kuropoka ropoka na kujibishana asiye jibishane naye.

Mwambie kwenye msiba tamaduni zetu ni kuungana na kua wamoja huo utofauti anaoulazimisha utazidi kumuumbua na kukiumbua chama chenu.

Mwambie hata kama ana uchungu na kisasi kwa yale aliyofanyiwa mwambie kwa nafasi yake hastahili kufanya anayoyafanya labda kama hana mpango wakugombea.

Mwambie anaharibu image ya chama, kama anajua hatarudi wala kugombea mwambie anawaponza wenzake. Mbona wewe (Mbowe) hupost post au anadhani huna bando au smartphone?

Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lissu behave like gentleman.
Na wewe mkanye mumeo aache kudoea pombe,kuna siku tutamgeuzia kibao atulipe kimtindo
 
Kweli watu weusi tunavichwa maji ikiwepo wewe hivi ulisha sikia wapi ulaya kiongizi wa chama pinzani kapigwa risasi kwani nini ni kwetu tu africa ndo itokee kwani ulaya uwongozi mbovu hakuna na upinzani wanazungu uwongozi mbovu kila leo
Ujinga wako baki nao mwenyewe wala usinitupie mimi..

majinga sana nyie
 
Back
Top Bottom