Apigwe risasi na nani huyo? Huyo anaingizwa nyuma ya landrover tu, akanyee debe.Kauli hii ameitoa leo kupitia X Spaces alipokjwa akiwahutubia wananchi wenye mapenzi mema kwa anchi na waliojipanga kushiriki kwa amani maandamano ya tarehe 23 Septemba 2024.
View attachment 3103371
Mbowe amesema kuwa mkisikia amepigwa risasi iombeeni roho yake ipumzike mahali pema peponi. Ninyi songeni mbele.
Tanzania Salama bila utekaji na mauaji ya raia inawezekana.
Polisi waache kutishia raia.
Polisi watoe ulinzi kwa waandamanaji
Polisi wasianzishe vurugu
That is it. Keep it up.Kauli hii ameitoa leo kupitia X Spaces alipokjwa akiwahutubia wananchi wenye mapenzi mema kwa anchi na waliojipanga kushiriki kwa amani maandamano ya tarehe 23 Septemba 2024.
View attachment 3103371
Mbowe amesema kuwa mkisikia amepigwa risasi iombeeni roho yake ipumzike mahali pema peponi. Ninyi songeni mbele.
Tanzania Salama bila utekaji na mauaji ya raia inawezekana.
Polisi waache kutishia raia.
Polisi watoe ulinzi kwa waandamanaji
Polisi wasianzishe vurugu
Kauli hii ameitoa leo kupitia X Spaces alipokjwa akiwahutubia wananchi wenye mapenzi mema kwa anchi na waliojipanga kushiriki kwa amani maandamano ya tarehe 23 Septemba 2024.
View attachment 3103371
Mbowe amesema kuwa mkisikia amepigwa risasi iombeeni roho yake ipumzike mahali pema peponi. Ninyi songeni mbele.
Tanzania Salama bila utekaji na mauaji ya raia inawezekana.
Polisi waache kutishia raia.
Polisi watoe ulinzi kwa waandamanaji
Polisi wasianzishe vurugu
Hakuna wa kumpiga risasi dalali mkuu wa kuuza upinzani… uwepo wake chakademus ni muhimu sana kwa watalwalaKauli hii ameitoa leo kupitia X Spaces alipokjwa akiwahutubia wananchi wenye mapenzi mema kwa anchi na waliojipanga kushiriki kwa amani maandamano ya tarehe 23 Septemba 2024.
View attachment 3103371
Mbowe amesema kuwa mkisikia amepigwa risasi iombeeni roho yake ipumzike mahali pema peponi. Ninyi songeni mbele.
Tanzania Salama bila utekaji na mauaji ya raia inawezekana.
Polisi waache kutishia raia.
Polisi watoe ulinzi kwa waandamanaji
Polisi wasianzishe vurugu
RIP shujaa Magufuli
Muda wake wa maokotoNi yeye au imeigizwa?
Baba ndubwi is not a threatSidhani kama weye ni miongoni mwa watesi
Watesi hawapigi risasi wala hawakuuwi.Sidhani kama weye ni miongoni mwa watesi
Hivi ulitegemea nini zaidi toka kwa huyu Mzee?Anatafuta kiki za kijinga tu.