Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Au LissuWatesi hawapigi risasi wala hawakuuwi.
Muulize Ulimboka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au LissuWatesi hawapigi risasi wala hawakuuwi.
Muulize Ulimboka.
And you are so happy of it kiasi cha kuandika post kama hii?! Now the devil is real.Apigwe risasi na nani huyo? Huyo anaingizwa nyuma ya landrover tu, akanyee debe.
Kama mashekhe wale wa uamsho ambao walinyea debe Toka enzi za kikwete, Magufuli....🤣🤣🤣😅🤣😅Apigwe risasi na nani huyo? Huyo anaingizwa nyuma ya landrover tu, akanyee debe.
Kwahiyo Ghaddafi alikuwa mtu mbaya Kwa akili yako ya uteja wa mabeberu?Atanyea sawa hata huyo wenu itakuja siku atanyee unafikiri hii dunia ina formula, kumbuka mwamba Gadafi pale kwenye mfereji? Yule kijana alikataa billion dollar alitaka roho yake.
Walikuwa selo moja na Mbowe.Kama mashekhe wale wa uamsho ambao walinyea debe Toka enzi za kikwete, Magufuli....🤣🤣🤣😅🤣😅
Udini unakusumbua sanaWalikuwa selo moja na Mbowe.
Umesahau?
Hapo kuna mtu umelenga kumshambulia tofauti na mbowe.Bila kusahahu kuwa hakufaulu kidata cha nne (mjinga)
mwanamke wewe kuolewa itakuchukua mudasanaApigwe risasi na nani huyo? Huyo anaingizwa nyuma ya landrover tu, akanyee debe.
Wenye D mbili tunakuelewa....hamna upizani katika nchi masikini Zaid ya kutumika kuleta machafuko na kuvuruga Ili kufanikisha mipango ya giant.disclosed
Kwani Mzee Mbowe alifaulu kidato cha nne?Hapo kuna mtu umelenga kumshambulia tofauti na mbowe.
Asingechaguliwa kusoma kidato cha 5 bila kufaulu kidato cha 4. Kuna mtu umemlenga tofauti na mbowe.Kwani Mzee Mbowe alifaulu kidato cha nne?
Lema anajikana au kuna mwingine tena?Asingechaguliwa kusoma kidato cha 5 bila kufaulu kidato cha 4. Kuna mtu umemlenga tofauti na mbowe.