FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Hana ubunifu kabisa.Baba ndubwi is not a threat
He has entangled himself too deep to threat anything
Ni dalali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana ubunifu kabisa.Baba ndubwi is not a threat
He has entangled himself too deep to threat anything
Ni dalali
Atanyea sawa hata huyo wenu itakuja siku atanyee unafikiri hii dunia ina formula, kumbuka mwamba Gadafi pale kwenye mfereji? Yule kijana alikataa billion dollar alitaka roho yake.Apigwe risasi na nani huyo? Huyo anaingizwa nyuma ya landrover tu, akanyee debe.
Yaani nilifikiri uzoefu wa siasa wa miaka kibao atakuja na ubunifu wa sera za kuing'oa madarakani CCM, kumbe akili za mbege na ganja.Hivi ulitegemea nini zaidi toka kwa huyu Mzee?
Kauli hii ameitoa leo kupitia X Spaces alipokjwa akiwahutubia wananchi wenye mapenzi mema kwa anchi na waliojipanga kushiriki kwa amani maandamano ya tarehe 23 Septemba 2024.
View attachment 3103371
Mbowe amesema kuwa mkisikia amepigwa risasi iombeeni roho yake ipumzike mahali pema peponi. Ninyi songeni mbele.
Tanzania Salama bila utekaji na mauaji ya raia inawezekana.
Polisi waache kutishia raia.
Polisi watoe ulinzi kwa waandamanaji
Polisi wasianzishe vurugu
Itakuwa vema ili CDM ipate mwenyekiti mpya.Huyu hatauliwa ila atapata kipigo kitakatifu kama alichopata Prof Lipumba wakati wa JK.Kauli hii ameitoa leo kupitia X Spaces alipokjwa akiwahutubia wananchi wenye mapenzi mema kwa anchi na waliojipanga kushiriki kwa amani maandamano ya tarehe 23 Septemba 2024.
View attachment 3103371
Mbowe amesema kuwa mkisikia amepigwa risasi iombeeni roho yake ipumzike mahali pema peponi. Ninyi songeni mbele.
Tanzania Salama bila utekaji na mauaji ya raia inawezekana.
Polisi waache kutishia raia.
Polisi watoe ulinzi kwa waandamanaji
Polisi wasianzishe vurugu
Bi Mkubwa umesahau Ile iliyomkosa ikamuua msichana kwenye daladala Mkwajuni, Kinondoni?Apigwe risasi na nani huyo? Huyo anaingizwa nyuma ya landrover tu, akanyee debe.
Watesi hawapigi risasi wala hawakuuwi.
Muulize Ulimboka.
Wewe pia ni mtesi?Watesi hawapigi risasi wala hawakuuwi.
Muulize Ulimboka.
Hao wanaosema hivyo, kwani wameambiwa waende na watoto wao.Wakina Tsh Wanasema aende na mke wake na watoto wake!
Bila kusahahu kuwa hakufaulu kidata cha nne (mjinga)Yaani nilifikiri uzoefu wa siasa wa miaka kibao atakuja na ubunifu wa sera za kuing'oa madarakani CCM, kumbe akili za mbege na ganja.
Nani?Bila kusahahu kuwa hakufaulu kidata cha nne (mjinga)