Sahihi ohh Samia Must go!!yaani tumuombee kwa kuvuruga amani?
Raisi Samia yuko kikatiba hawezi ondolewa kwa vimaandanamano uchwara vya barabara za vumbi shenzi type
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi ohh Samia Must go!!yaani tumuombee kwa kuvuruga amani?
Waulize ccm wenzako watakupa jibu.Lema anajikana au kuna mwingine tena?
Kina Slaa ndio wanaamuru polisi wazuie maandamano?Hii ikitokea mwakani upinzani watachukua nchi sababu yeye na wenzake hakina Lipumba, Dr. Slaa ndio chanzo cha ccm kuendelea kutawala
Wewe Bibi kizee ndo mmoja wa wanufaika wa WASIOJULIKANA?Apigwe risasi na nani huyo? Huyo anaingizwa nyuma ya landrover tu, akanyee debe.
Ndoto ya mwendawazimu hiiHii ikitokea mwakani upinzani watachukua nchi sababu yeye na wenzake hakina Lipumba, Dr. Slaa ndio chanzo cha ccm kuendelea kutawala
Ujanielewa,.Kina Slaa ndio wanaamuru polisi wazuie maandamano?
Hayo maneno uwa yanatamkwa na wale watu wa UPINDE!Ndoto ya mwendawazimu hii
Roho yako ilazwe peponi gani wewe chairman Mbowe? acha vichekesho bana 🤣Kauli hii ameitoa leo kupitia X Spaces alipokjwa akiwahutubia wananchi wenye mapenzi mema kwa anchi na waliojipanga kushiriki kwa amani maandamano ya tarehe 23 Septemba 2024.
View attachment 3103371
Mbowe amesema kuwa mkisikia amepigwa risasi iombeeni roho yake ipumzike mahali pema peponi. Ninyi songeni mbele.
Tanzania Salama bila utekaji na mauaji ya raia inawezekana.
Polisi waache kutishia raia.
Polisi watoe ulinzi kwa waandamanaji
Polisi wasianzishe vurugu
Mbona wewe ccm halafu ndugu zako Chadema siyo wote wa Imani Moja pengine watoto wake act je?Wakina Tsh Wanasema aende na mke wake na watoto wake!
Wewe mwenyewe mganga wako wa Tanga umemuacha? Halafu amesema iombee roho yake hajachagua maombi!Roho yako ilazwe peponi gani wewe chairman Mbowe? acha vichekesho bana 🤣
Mtu yeyote tu akifa tutamuomba Mungu aiweke Roho yake mahala ambapo anastahili, basi! Lakini sio huo ushirikina.
Eti peponi, labda aache konyagi 🤣
maswala ya peponi si ya kumpangia Mungu. Mpaka kwanza ajibu machozi ya wanaolia na kulalamika juu yake mbele za haki ndipo itajulikana na kuamuliwa na Mungu mwenyewe ikiwa ni wa peponi au wa kule kwingineko 🐒Wewe mwenyewe mganga wako wa Tanga umemuacha? Halafu amesema iombee roho yake hajachagua maombi!
Marufuku Iko pale pale 👇👇Kauli hii ameitoa leo kupitia X Spaces alipokjwa akiwahutubia wananchi wenye mapenzi mema kwa anchi na waliojipanga kushiriki kwa amani maandamano ya tarehe 23 Septemba 2024.
View attachment 3103371
Mbowe amesema kuwa mkisikia amepigwa risasi iombeeni roho yake ipumzike mahali pema peponi. Ninyi songeni mbele.
Tanzania Salama bila utekaji na mauaji ya raia inawezekana.
Polisi waache kutishia raia.
Polisi watoe ulinzi kwa waandamanaji
Polisi wasianzishe vurugu
Kwa kuwa nyie mmejaa laana mnadhani kila mtu yupo hivyoRoho yako ilazwe peponi gani wewe chairman Mbowe? acha vichekesho bana 🤣
Mtu yeyote tu akifa tutamuomba Mungu aiweke Roho yake mahala ambapo anastahili, basi! Lakini sio huo ushirikina.
Eti peponi, labda aache konyagi 🤣
Kesho huenda mikoa 20 ikawa kwenye maandamano, ikiwa Jeshi la Polisi itashindwa kutegua mtego inaoingizwa na Chadema, wakajazana Dar.Kauli hii ameitoa leo kupitia X Spaces alipokjwa akiwahutubia wananchi wenye mapenzi mema kwa anchi na waliojipanga kushiriki kwa amani maandamano ya tarehe 23 Septemba 2024.
View attachment 3103371
Mbowe amesema kuwa mkisikia amepigwa risasi iombeeni roho yake ipumzike mahali pema peponi. Ninyi songeni mbele.
Tanzania Salama bila utekaji na mauaji ya raia inawezekana.
Polisi waache kutishia raia.
Polisi watoe ulinzi kwa waandamanaji
Polisi wasianzishe vurugu
siku ya mwisho mbele za haki kwa Mungu mpaka ujibu kwanza vilio na machozi uliyoyadhulumu humu duniani ndipo utajua wewe ni wa peponi au kule kwingineko.🐒Kwa kuwa nyie mmejaa laana mnadhani kila mtu yupo hivyo
Huu ni ujasiri na uzalendo wa hali ya juu kabisa kuwahi kutokea hapa nchini! Mbowe tupo pamoja hadi mwisho!Kauli hii ameitoa leo kupitia X Spaces alipokjwa akiwahutubia wananchi wenye mapenzi mema kwa anchi na waliojipanga kushiriki kwa amani maandamano ya tarehe 23 Septemba 2024.
View attachment 3103371
Mbowe amesema kuwa mkisikia amepigwa risasi iombeeni roho yake ipumzike mahali pema peponi. Ninyi songeni mbele.
Tanzania Salama bila utekaji na mauaji ya raia inawezekana.
Polisi waache kutishia raia.
Polisi watoe ulinzi kwa waandamanaji
Polisi wasianzishe vurugu