Mbowe: Mkisikia nimepigwa risasi iombeeni roho yangu ipumzike mahali pema peponi. Ninyi songeni mbele"

Mbowe: Mkisikia nimepigwa risasi iombeeni roho yangu ipumzike mahali pema peponi. Ninyi songeni mbele"

Hii ikitokea mwakani upinzani watachukua nchi sababu yeye na wenzake hakina Lipumba, Dr. Slaa ndio chanzo cha ccm kuendelea kutawala
 
Kauli hii ameitoa leo kupitia X Spaces alipokjwa akiwahutubia wananchi wenye mapenzi mema kwa anchi na waliojipanga kushiriki kwa amani maandamano ya tarehe 23 Septemba 2024.

View attachment 3103371
Mbowe amesema kuwa mkisikia amepigwa risasi iombeeni roho yake ipumzike mahali pema peponi. Ninyi songeni mbele.

Tanzania Salama bila utekaji na mauaji ya raia inawezekana.

Polisi waache kutishia raia.
Polisi watoe ulinzi kwa waandamanaji
Polisi wasianzishe vurugu
Roho yako ilazwe peponi gani wewe chairman Mbowe? acha vichekesho bana 🤣

Mtu yeyote tu akifa tutamuomba Mungu aiweke Roho yake mahala ambapo anastahili, basi! Lakini sio huo ushirikina.

Eti peponi, labda aache konyagi 🤣
 
Roho yako ilazwe peponi gani wewe chairman Mbowe? acha vichekesho bana 🤣

Mtu yeyote tu akifa tutamuomba Mungu aiweke Roho yake mahala ambapo anastahili, basi! Lakini sio huo ushirikina.

Eti peponi, labda aache konyagi 🤣
Wewe mwenyewe mganga wako wa Tanga umemuacha? Halafu amesema iombee roho yake hajachagua maombi!
 
Wewe mwenyewe mganga wako wa Tanga umemuacha? Halafu amesema iombee roho yake hajachagua maombi!
maswala ya peponi si ya kumpangia Mungu. Mpaka kwanza ajibu machozi ya wanaolia na kulalamika juu yake mbele za haki ndipo itajulikana na kuamuliwa na Mungu mwenyewe ikiwa ni wa peponi au wa kule kwingineko 🐒

Tuliza mihemko kidogo gentleman mambo muhimu haya
 
Kauli hii ameitoa leo kupitia X Spaces alipokjwa akiwahutubia wananchi wenye mapenzi mema kwa anchi na waliojipanga kushiriki kwa amani maandamano ya tarehe 23 Septemba 2024.

View attachment 3103371
Mbowe amesema kuwa mkisikia amepigwa risasi iombeeni roho yake ipumzike mahali pema peponi. Ninyi songeni mbele.

Tanzania Salama bila utekaji na mauaji ya raia inawezekana.

Polisi waache kutishia raia.
Polisi watoe ulinzi kwa waandamanaji
Polisi wasianzishe vurugu
Marufuku Iko pale pale 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DAOWePCsolT/?igsh=b3A2NDN2cmdiaHBj
 
Roho yako ilazwe peponi gani wewe chairman Mbowe? acha vichekesho bana 🤣

Mtu yeyote tu akifa tutamuomba Mungu aiweke Roho yake mahala ambapo anastahili, basi! Lakini sio huo ushirikina.

Eti peponi, labda aache konyagi 🤣
Kwa kuwa nyie mmejaa laana mnadhani kila mtu yupo hivyo
 
Kauli hii ameitoa leo kupitia X Spaces alipokjwa akiwahutubia wananchi wenye mapenzi mema kwa anchi na waliojipanga kushiriki kwa amani maandamano ya tarehe 23 Septemba 2024.

View attachment 3103371
Mbowe amesema kuwa mkisikia amepigwa risasi iombeeni roho yake ipumzike mahali pema peponi. Ninyi songeni mbele.

Tanzania Salama bila utekaji na mauaji ya raia inawezekana.

Polisi waache kutishia raia.
Polisi watoe ulinzi kwa waandamanaji
Polisi wasianzishe vurugu
Kesho huenda mikoa 20 ikawa kwenye maandamano, ikiwa Jeshi la Polisi itashindwa kutegua mtego inaoingizwa na Chadema, wakajazana Dar.

Ova
 
Kauli hii ameitoa leo kupitia X Spaces alipokjwa akiwahutubia wananchi wenye mapenzi mema kwa anchi na waliojipanga kushiriki kwa amani maandamano ya tarehe 23 Septemba 2024.

View attachment 3103371
Mbowe amesema kuwa mkisikia amepigwa risasi iombeeni roho yake ipumzike mahali pema peponi. Ninyi songeni mbele.

Tanzania Salama bila utekaji na mauaji ya raia inawezekana.

Polisi waache kutishia raia.
Polisi watoe ulinzi kwa waandamanaji
Polisi wasianzishe vurugu
Huu ni ujasiri na uzalendo wa hali ya juu kabisa kuwahi kutokea hapa nchini! Mbowe tupo pamoja hadi mwisho!
 
Back
Top Bottom