Samantha Lewthwaite
JF-Expert Member
- Sep 11, 2024
- 298
- 729
Mambo dada!Et atatikisa nchi labda atikise ziwa
Akirudi Tanzania ndo ntaamini kuwa anaunga mkono maandamano sio anaongelea huko ughaibuni!
Kwanza polisi washapiga marufuku maandamano hayo!
PoaMambo dada!
Hii ni bongo baba tunajuana,, hizo nchi nyingine hawapo kama huku,, ,huku wengi ji ma keyboard warriors tu,,,,labda hayo maandamano waruhusu wenyewe serikali ila sio ya kufosiMaandamano yanaazia-ga mitandaoni kwa miaka ya hivi karibuni mitandaoni ndio sehemu rahisi ya ku organised.
Refer Misri, libya etc tech imekuwa nyenzo kubwa kuliko unavyofikiri
Takataka itakuwa unamaanisha mmeo!Taka taka nyie
Mnadhani watanzania hawana kazi za kufanya
Waeleze.Maandamano yanaazia-ga mitandaoni kwa miaka ya hivi karibuni mitandaoni ndio sehemu rahisi ya ku organised.
Refer Misri, libya etc tech imekuwa nyenzo kubwa kuliko unavyofikiri
Ma keyboard warriors wanaeleweka.........isije kua kama ya enzi za JPM siku ya tukio mji mweupeee
huyuhuyu aliyewatukana chadema baada ya kushindwa kuandamana mara ya kwanza leo tena kaunga mkono? mkishindwa tyu kuandamana anawatukana tenaMaandamano ya WANANCHI yanayoratibiwa na chama kikuu cha upinzani Chadema chini ya Mwenyekiti wake Freeman Mbowe.
Yameendelea kuungwa mkono
na wananchi mbalimbali huku
Mwanaharakati tishio Tanzania na Diaspora Mange kimambi akiyaunga mkono.
Kupitia mtandao wa Instagram mange ameweka clip huku akinukuliwa "guys nimeamua nijitokeze kwa njia ya clip maana kuandika inaniwia ngumu.... ni hivi maandamano ya wananchi yaliyotangazwa na chadema waingie barabarani niko tayari kuyaunga mkono na kuhamasisha watanzania wenzangu waliochoshwa na serikali hii ya kipumbavu...."
mange ameendelea kuishutumu serikali Kwa utekaji na utesaji unaondelea nchini baada ya kutekwa na kuuawa kwa Bwana Ali Mohamed Kibao kada wa chadema.
Duru za kisiasa zinasema kujitosa kwa mange kimambi kwenye Maandamano hayo kutatikisa nchi.
hivyo serikali inapaswa ifanyie kazi yale mambo ambayo Mwenyekiti wa chadema taifa Freeman Mbowe aliyo yataja kwenye mkutano wake na wanachadema jijini Dar es salam huku akiipa serikali siku kumi itoe majibu.
Wee Massawe wa wapi wewe hutaki watu waiondoe CCM?!Taka taka nyie
Mnadhani watanzania hawana kazi za kufanya
Vip mbona kijani huko nyuma ya nyumba.....mambo hadoEt atatikisa nchi labda atikise ziwa
Akirudi Tanzania ndo ntaamini kuwa anaunga mkono maandamano sio anaongelea huko ughaibuni!
Kwanza polisi washapiga marufuku maandamano hayo!
DahMaandamano ya WANANCHI yanayoratibiwa na chama kikuu cha upinzani Chadema chini ya Mwenyekiti wake Freeman Mbowe.
Yameendelea kuungwa mkono
na wananchi mbalimbali huku
Mwanaharakati tishio Tanzania na Diaspora Mange kimambi akiyaunga mkono.
Kupitia mtandao wa Instagram mange ameweka clip huku akinukuliwa "guys nimeamua nijitokeze kwa njia ya clip maana kuandika inaniwia ngumu.... ni hivi maandamano ya wananchi yaliyotangazwa na chadema waingie barabarani niko tayari kuyaunga mkono na kuhamasisha watanzania wenzangu waliochoshwa na serikali hii ya kipumbavu...."
mange ameendelea kuishutumu serikali Kwa utekaji na utesaji unaondelea nchini baada ya kutekwa na kuuawa kwa Bwana Ali Mohamed Kibao kada wa chadema.
Duru za kisiasa zinasema kujitosa kwa mange kimambi kwenye Maandamano hayo kutatikisa nchi.
hivyo serikali inapaswa ifanyie kazi yale mambo ambayo Mwenyekiti wa chadema taifa Freeman Mbowe aliyo yataja kwenye mkutano wake na wanachadema jijini Dar es salam huku akiipa serikali siku kumi itoe majibu.
Kwa amani ipi unayoona tunayo au uoga2Watz hatuna mda na mambo ya kipuuz ya kuvuruga amani ya nchi yetu, nina uhakika maandamano hayo yatafanywa online na nyumbu wachache wa chadema.
hivi kumbe anaitwa kimambi, muda wote huu nikajua anaitwa KIMAVI yaan MANGE KIMAVIMaandamano ya WANANCHI yanayoratibiwa na chama kikuu cha upinzani Chadema chini ya Mwenyekiti wake Freeman Mbowe.
Yameendelea kuungwa mkono
na wananchi mbalimbali huku
Mwanaharakati tishio Tanzania na Diaspora Mange kimambi akiyaunga mkono.
Kupitia mtandao wa Instagram mange ameweka clip huku akinukuliwa "guys nimeamua nijitokeze kwa njia ya clip maana kuandika inaniwia ngumu.... ni hivi maandamano ya wananchi yaliyotangazwa na chadema waingie barabarani niko tayari kuyaunga mkono na kuhamasisha watanzania wenzangu waliochoshwa na serikali hii ya kipumbavu...."
mange ameendelea kuishutumu serikali Kwa utekaji na utesaji unaondelea nchini baada ya kutekwa na kuuawa kwa Bwana Ali Mohamed Kibao kada wa chadema.
Duru za kisiasa zinasema kujitosa kwa mange kimambi kwenye Maandamano hayo kutatikisa nchi.
hivyo serikali inapaswa ifanyie kazi yale mambo ambayo Mwenyekiti wa chadema taifa Freeman Mbowe aliyo yataja kwenye mkutano wake na wanachadema jijini Dar es salam huku akiipa serikali siku kumi itoe majibu.