Pre GE2025 Mbowe: Mtu wa kwanza kuwajibishwa kwenye matukio ya utekaji ni Rais Samia. CHADEMA kuanza kampeni ya 'Samia Must Go'

Pre GE2025 Mbowe: Mtu wa kwanza kuwajibishwa kwenye matukio ya utekaji ni Rais Samia. CHADEMA kuanza kampeni ya 'Samia Must Go'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Maandamano yanaazia-ga mitandaoni kwa miaka ya hivi karibuni mitandaoni ndio sehemu rahisi ya ku organised.
Refer Misri, libya etc tech imekuwa nyenzo kubwa kuliko unavyofikiri
Hii ni bongo baba tunajuana,, hizo nchi nyingine hawapo kama huku,, ,huku wengi ji ma keyboard warriors tu,,,,labda hayo maandamano waruhusu wenyewe serikali ila sio ya kufosi
 
Ma keyboard warriors wanaeleweka.........isije kua kama ya enzi za JPM siku ya tukio mji mweupeee

..hata Polisi nao wanaogopa.

..wanajua watu wakijaa mtaani hakuna namna ya kufanya itabidi Polisi wawe wapole.

..nadhani unakumbuka mapokezi ya Lissu. Polisi walichimba mkwara, lakini wananchi walijitokeza kwa idadi kubwa ikabidi Polisi watoe ushirikiano.

..jambo la msingi ni Polisi kuchukua hatua kwa genge linaloteka na kuua vijana wa upinzani.

..Chadema na wanaharakati wana kila sababu kukasirishwa na yanayowafika, na kuitisha maandamano.
 
Maandamano ya WANANCHI yanayoratibiwa na chama kikuu cha upinzani Chadema chini ya Mwenyekiti wake Freeman Mbowe.

Yameendelea kuungwa mkono
na wananchi mbalimbali huku
Mwanaharakati tishio Tanzania na Diaspora Mange kimambi akiyaunga mkono.

Kupitia mtandao wa Instagram mange ameweka clip huku akinukuliwa "guys nimeamua nijitokeze kwa njia ya clip maana kuandika inaniwia ngumu.... ni hivi maandamano ya wananchi yaliyotangazwa na chadema waingie barabarani niko tayari kuyaunga mkono na kuhamasisha watanzania wenzangu waliochoshwa na serikali hii ya kipumbavu...."
mange ameendelea kuishutumu serikali Kwa utekaji na utesaji unaondelea nchini baada ya kutekwa na kuuawa kwa Bwana Ali Mohamed Kibao kada wa chadema.

Duru za kisiasa zinasema kujitosa kwa mange kimambi kwenye Maandamano hayo kutatikisa nchi.
hivyo serikali inapaswa ifanyie kazi yale mambo ambayo Mwenyekiti wa chadema taifa Freeman Mbowe aliyo yataja kwenye mkutano wake na wanachadema jijini Dar es salam huku akiipa serikali siku kumi itoe majibu.
huyuhuyu aliyewatukana chadema baada ya kushindwa kuandamana mara ya kwanza leo tena kaunga mkono? mkishindwa tyu kuandamana anawatukana tena
 
Maandamano ya WANANCHI yanayoratibiwa na chama kikuu cha upinzani Chadema chini ya Mwenyekiti wake Freeman Mbowe.

Yameendelea kuungwa mkono
na wananchi mbalimbali huku
Mwanaharakati tishio Tanzania na Diaspora Mange kimambi akiyaunga mkono.

Kupitia mtandao wa Instagram mange ameweka clip huku akinukuliwa "guys nimeamua nijitokeze kwa njia ya clip maana kuandika inaniwia ngumu.... ni hivi maandamano ya wananchi yaliyotangazwa na chadema waingie barabarani niko tayari kuyaunga mkono na kuhamasisha watanzania wenzangu waliochoshwa na serikali hii ya kipumbavu...."
mange ameendelea kuishutumu serikali Kwa utekaji na utesaji unaondelea nchini baada ya kutekwa na kuuawa kwa Bwana Ali Mohamed Kibao kada wa chadema.

Duru za kisiasa zinasema kujitosa kwa mange kimambi kwenye Maandamano hayo kutatikisa nchi.
hivyo serikali inapaswa ifanyie kazi yale mambo ambayo Mwenyekiti wa chadema taifa Freeman Mbowe aliyo yataja kwenye mkutano wake na wanachadema jijini Dar es salam huku akiipa serikali siku kumi itoe majibu.
Dah

Chakademus mko pamoja na mange?
 
Maandamano ya WANANCHI yanayoratibiwa na chama kikuu cha upinzani Chadema chini ya Mwenyekiti wake Freeman Mbowe.

Yameendelea kuungwa mkono
na wananchi mbalimbali huku
Mwanaharakati tishio Tanzania na Diaspora Mange kimambi akiyaunga mkono.

Kupitia mtandao wa Instagram mange ameweka clip huku akinukuliwa "guys nimeamua nijitokeze kwa njia ya clip maana kuandika inaniwia ngumu.... ni hivi maandamano ya wananchi yaliyotangazwa na chadema waingie barabarani niko tayari kuyaunga mkono na kuhamasisha watanzania wenzangu waliochoshwa na serikali hii ya kipumbavu...."
mange ameendelea kuishutumu serikali Kwa utekaji na utesaji unaondelea nchini baada ya kutekwa na kuuawa kwa Bwana Ali Mohamed Kibao kada wa chadema.

Duru za kisiasa zinasema kujitosa kwa mange kimambi kwenye Maandamano hayo kutatikisa nchi.
hivyo serikali inapaswa ifanyie kazi yale mambo ambayo Mwenyekiti wa chadema taifa Freeman Mbowe aliyo yataja kwenye mkutano wake na wanachadema jijini Dar es salam huku akiipa serikali siku kumi itoe majibu.
hivi kumbe anaitwa kimambi, muda wote huu nikajua anaitwa KIMAVI yaan MANGE KIMAVI
 
Back
Top Bottom