Pre GE2025 Mbowe: Mtu wa kwanza kuwajibishwa kwenye matukio ya utekaji ni Rais Samia. CHADEMA kuanza kampeni ya 'Samia Must Go'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
chairman akipiaga glass ya ile kitu anakua kama mtoto dah
 
Ndiyo maana leo nikiwa karakana ,nimemuona mkuu anahangaika na malipo ya hela huko Bangladesh nikawa namuuliza mkuu unaagiza city binafsi au vya ofisi ,akadai anaagiza rungu maana zimepungua Sana vituoni .
 
"Samia must Go" ndio itakuwa hashtag kule X?!

Not enough!.

Nasubiri wakutane waje na azimio lingine, haya mambo ni field zaidi sio kuandika huku na kule.
 
Wasijaribu kutumia tukio la bwana yule kuwa mtaji wa kisiasa kulazimisha attention na siasa zao za vurugu ,watashughulikiwa na watasambaratika.

Matamko ya Wazungu hayatawasaidia wakumbuke hata sisi tunaweza toa tamko.la kutaka Uchunguzi dhidi ya Shambulio la Trump.
 
Nadhani hiyo ni wrong approach ambayo itasababisha ccm wote waungane kumtetea m/kiti wao. Nice approach ni kumgombanisha sa100 na wanaccm wenzake.
Wewe ni mjinga sana! Hakuna mtu mwenye akili anaweza kumuunga Samia mkono dhidi ya kuuwawa kwa watu!
Uhai wa mtu hautolewi na Samia!
Hata mimi mwana CCM nampinga kabisa Samia kama hasipowajibika ipasavyo!
Usalama wa Watanzania unasimamiwa na vyombo vya " Kijambazi"!
Mbowe uko sawa!
 
jee walihusika na kifo cha Kibao ili waanzishe hii kampeni ?
 
Mtu makini huliangalia jambo kuanzia mwisho kuja Mwanzo na Siyo Kinyume chake

Kwa Katiba ya JMT Hakunaga namna ya kumtoa Rais Kienyeji

Sasa mh Mbowe anaposema Chadema watakuja na hiyo kitu watatumia sheria gani iwapo hata kumkataa Waziri Mkuu hawawezi Kwa yule Mbunge mmoja Aida waliyenaye bungeni

Cha Msingi ni kuhimiza uchunguzi Huru utakaofanikisha kuwapata akina Soka pia na hao Scotland Yard nawakumbuka walivyochunguza mkasa wa Robert Ouko enzi za Moi pale Kenya

Mlale Unono 🐼
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…