Pre GE2025 Mbowe: Mtu wa kwanza kuwajibishwa kwenye matukio ya utekaji ni Rais Samia. CHADEMA kuanza kampeni ya 'Samia Must Go'

Pre GE2025 Mbowe: Mtu wa kwanza kuwajibishwa kwenye matukio ya utekaji ni Rais Samia. CHADEMA kuanza kampeni ya 'Samia Must Go'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mtu makini huliangalia jambo kuanzia mwisho kuja Mwanzo na Siyo Kinyume chake

Kwa Katiba ya JMT Hakunaga namna ya kumtoa Rais Kienyeji

Sasa mh Mbowe anaposema Chadema watakuja na hiyo kitu watatumia sheria gani iwapo hata kumkataa Waziri Mkuu hawawezi Kwa yule Mbunge mmoja Aida waliyenaye bungeni

Cha Msingi ni kuhimiza uchunguzi Huru utakaofanikisha kuwapata akina Soka pia na hao Scotland Yard nawakumbuka walivyochunguza mkasa wa Robert Ouko enzi za Moi pale Kenya

Mlale Unono 🐼
ni muhimu mno kunywa kinywaji na kwenda kulala moja kwa moja sio kwenda kwa press,

ni jambo la maana sana kuobserve drinking manners ndrugu zango:pulpTRAVOLTA:
 
Mtu makini huliangalia jambo kuanzia mwisho kuja Mwanzo na Siyo Kinyume chake

Kwa Katiba ya JMT Hakunaga namna ya kumtoa Rais Kienyeji

Sasa mh Mbowe anaposema Chadema watakuja na hiyo kitu watatumia sheria gani iwapo hata kumkataa Waziri Mkuu hawawezi Kwa yule Mbunge mmoja Aida waliyenaye bungeni

Cha Msingi ni kuhimiza uchunguzi Huru utakaofanikisha kuwapata akina Soka pia na hao Scotland Yard nawakumbuka walivyochunguza mkasa wa Robert Ouko enzi za Moi pale Kenya

Mlale Unono 🐼
Kifo cha Kibao nakihusisha na uchaguzi wa mwaka huu na ule wa mwakani.

Mbowe ni kiongozi pekee wa CHADEMA mwenye kufadhili jeshi la chama maarufu Red Brigade, anapenda sana kuona jamii ikifanya mapinduzi kwa njia haramu na makala zake za miaka mingi za gazeti la Tanzania Daima zilionyesha hulka yake hiyo.

Kibaya kwake ni kwamba CCM ina mtandao mzuri sana mpaka vijijini na inashughulika na shida za moja kwa moja za watu hivyo hata hizo sera zake za kutaka vijana washiriki mapinduzi zinakuwa zikikosa mashiko.
 
Hawa jamaa wanajionaga nini sijuwi kwani chacha Wangwe ilikuwaje? ripoti Yak ilikuwaje namkumbuka sana mchungaji Mtikila kuna vitu alitaka kusema kuhusu hawa kabla ajafik idara ya habari ajali ilimkuta
 
People Power ya konyo, usicheze na moto, fanyeni kujaribu kama mnajikuna masaburi ndio mtajua kilichomtoa kanga manyoya. Kama mnataka kuwatumia waliofundishwa na Ally Mohamed Kibao, basi watakutana na wajuzi wenzao
Okay, kwahiyo marehemu Kibao alikuwa anafanya shughuli ya kuwafundisha red brigade ili siku moja CHADEMA wachukue nchi kwa mapinduzi?.
 
Ka
Mbowe akiwa kwenye mkutano wa waandishi uliohudhuriwa na wanachama wa CHADEMA asema wataanza na kampeni ya Samia Must Go ikiwa hakutakuwa na uwajibikaji kwenye matukio ya utekaji.

Mbowe pia ametoa rai kwa viongozi wa CHADEMA siku 12 kuanzia sasa kuja Dar kwaajili ya kupeana mikakati muhimu kwa hatua zaidi.

=====

"Kisiasa, n ani vyema mkasikia bunge la Tanzania, mwaka jana (2023) katika mabadiliko ya sheria ya usalama wa taifa ilipeleka usimamizi ya idara ya usalama wa taifa moja kwa moja Ikulu kusimamiwa na Rais, na sheria ile ilitoa kwa mara ya kwanza haki ya watu wa usalama wa taifa kukamata watu, kuwaweka kizuizini, bila kueleza mahali popote wala bila kushtakiwa.

"Sheria hii ilivyopitishwa Rais aliipitisha na akajimilikisha mamlaka ya usalama wa taifa. Sasa mimi kwa niaba ya CHADEMA na vikao na vikao vyangu, tuna declare mtu wa kwanza kuwajibishwa katika masuala hay ani Rais Samia Suluhu Hassan.

"Na sisi tunasema tunaanza moja kwa moja kampeni inayoitwa ‘Samia Must Go’, hiyo ndiyo rai yetu. Sasa basi, kwasababu bado tuna msiba, tumekubaliana kwamba tuna msiba kwasababu kuna viongozi wetu hatujui wako wapi. Kwahiyo sisi kama chama hatujamaliza msiba. Tutaendelea na msiba wetu kitaifa na bender azote za chama zitapeperushwa nusu mlingoti hadi tujue watu wetu wako wapi, wako hai au mauti

"Lingine, kuanzia siku ya Jumatatu, tar 23/9/2024 mkumbuke nilitangaza tar 21 tunategemea tuone hatua za watu kuwajibika zimeanza. Kama hawatachukuliana hatua wenyewe kwa wenyewe, sisi kuanzia tarehe 23 jiji lote la Dar es Salaam, kila kata kila mtaa.. ndugu zangu tumekuwa tunafanya utani mara nyingi, lakini kwa wakati huu hatuna utani.

"Kuanzia jumatatu sisi tutaingia barabarani kudai tunachoona ni uhai wa watu wetu waliopotenzwa unless serikali imechukua hatua za haraka na za makusudi kuwarejesha, watu kujiuzulu na watu wote kuwajibika kwa mujibu wa tamko letu la leo." -
Amesema Mbowe katika mkutano kwenye ofisi za CHADEMA, Mikocheni leo 11/9/2024


Mbowe akiwa kwenye mkutano wa waandishi uliohudhuriwa na wanachama wa CHADEMA asema wataanza na kampeni ya Samia Must Go ikiwa hakutakuwa na uwajibikaji kwenye matukio ya utekaji.

Mbowe pia ametoa rai kwa viongozi wa CHADEMA siku 12 kuanzia sasa kuja Dar kwaajili ya kupeana mikakati muhimu kwa hatua zaidi.

=====

"Kisiasa, n ani vyema mkasikia bunge la Tanzania, mwaka jana (2023) katika mabadiliko ya sheria ya usalama wa taifa ilipeleka usimamizi ya idara ya usalama wa taifa moja kwa moja Ikulu kusimamiwa na Rais, na sheria ile ilitoa kwa mara ya kwanza haki ya watu wa usalama wa taifa kukamata watu, kuwaweka kizuizini, bila kueleza mahali popote wala bila kushtakiwa.

"Sheria hii ilivyopitishwa Rais aliipitisha na akajimilikisha mamlaka ya usalama wa taifa. Sasa mimi kwa niaba ya CHADEMA na vikao na vikao vyangu, tuna declare mtu wa kwanza kuwajibishwa katika masuala hay ani Rais Samia Suluhu Hassan.

"Na sisi tunasema tunaanza moja kwa moja kampeni inayoitwa ‘Samia Must Go’, hiyo ndiyo rai yetu. Sasa basi, kwasababu bado tuna msiba, tumekubaliana kwamba tuna msiba kwasababu kuna viongozi wetu hatujui wako wapi. Kwahiyo sisi kama chama hatujamaliza msiba. Tutaendelea na msiba wetu kitaifa na bender azote za chama zitapeperushwa nusu mlingoti hadi tujue watu wetu wako wapi, wako hai au mauti

"Lingine, kuanzia siku ya Jumatatu, tar 23/9/2024 mkumbuke nilitangaza tar 21 tunategemea tuone hatua za watu kuwajibika zimeanza. Kama hawatachukuliana hatua wenyewe kwa wenyewe, sisi kuanzia tarehe 23 jiji lote la Dar es Salaam, kila kata kila mtaa.. ndugu zangu tumekuwa tunafanya utani mara nyingi, lakini kwa wakati huu hatuna utani.

"Kuanzia jumatatu sisi tutaingia barabarani kudai tunachoona ni uhai wa watu wetu waliopotenzwa unless serikali imechukua hatua za haraka na za makusudi kuwarejesha, watu kujiuzulu na watu wote kuwajibika kwa mujibu wa tamko letu la leo." -
Amesema Mbowe katika mkutano kwenye ofisi za CHADEMA, Mikocheni leo 11/9/2024

Kama watakuwa serious na mimi nitashiriki ila najua Mbowe atapewa asali arudishe silaha kwenye ala.
 
Mbowe akiwa kwenye mkutano wa waandishi uliohudhuriwa na wanachama wa CHADEMA asema wataanza na kampeni ya Samia Must Go ikiwa hakutakuwa na uwajibikaji kwenye matukio ya utekaji.

Mbowe pia ametoa rai kwa viongozi wa CHADEMA siku 12 kuanzia sasa kuja Dar kwaajili ya kupeana mikakati muhimu kwa hatua zaidi.

=====

"Kisiasa, n ani vyema mkasikia bunge la Tanzania, mwaka jana (2023) katika mabadiliko ya sheria ya usalama wa taifa ilipeleka usimamizi ya idara ya usalama wa taifa moja kwa moja Ikulu kusimamiwa na Rais, na sheria ile ilitoa kwa mara ya kwanza haki ya watu wa usalama wa taifa kukamata watu, kuwaweka kizuizini, bila kueleza mahali popote wala bila kushtakiwa.

"Sheria hii ilivyopitishwa Rais aliipitisha na akajimilikisha mamlaka ya usalama wa taifa. Sasa mimi kwa niaba ya CHADEMA na vikao na vikao vyangu, tuna declare mtu wa kwanza kuwajibishwa katika masuala hay ani Rais Samia Suluhu Hassan.

"Na sisi tunasema tunaanza moja kwa moja kampeni inayoitwa ‘Samia Must Go’, hiyo ndiyo rai yetu. Sasa basi, kwasababu bado tuna msiba, tumekubaliana kwamba tuna msiba kwasababu kuna viongozi wetu hatujui wako wapi. Kwahiyo sisi kama chama hatujamaliza msiba. Tutaendelea na msiba wetu kitaifa na bender azote za chama zitapeperushwa nusu mlingoti hadi tujue watu wetu wako wapi, wako hai au mauti

"Lingine, kuanzia siku ya Jumatatu, tar 23/9/2024 mkumbuke nilitangaza tar 21 tunategemea tuone hatua za watu kuwajibika zimeanza. Kama hawatachukuliana hatua wenyewe kwa wenyewe, sisi kuanzia tarehe 23 jiji lote la Dar es Salaam, kila kata kila mtaa.. ndugu zangu tumekuwa tunafanya utani mara nyingi, lakini kwa wakati huu hatuna utani.

"Kuanzia jumatatu sisi tutaingia barabarani kudai tunachoona ni uhai wa watu wetu waliopotenzwa unless serikali imechukua hatua za haraka na za makusudi kuwarejesha, watu kujiuzulu na watu wote kuwajibika kwa mujibu wa tamko letu la leo." -
Amesema Mbowe katika mkutano kwenye ofisi za CHADEMA, Mikocheni leo 11/9/2024

Washatolewa kwenye reli tayari. Wakiandamna wanatiwa ndani hadi chaguzi zote 24/25 ipite. CCM wanayataka madaraka bana.
 
Hivi kwa lugha rahisi tu, unaweza sema Rais wa nchi Must Go..!? Huu sio uhaini? Yaani easily unasema Rais wa nchi Must Go..? Just easily on the podium, No way..!!

Huu ni ukiukwaji wa Katiba kabisa..!!
 
Haya mambo ni kuomba tu yasitokee. Ushahidi upo mwingi wengi wa namna unayowasema walifurushwa ikulu.
Unajua baada ya yale mapinduzi ya mwisho kutokea ya Nyerere, Jeshi na Vikosi vyote vya Ulinzi na Usalama vimebadirishiwa Muundo.

Hivyo sio jambo rahisi wao kumpindua Rais wa Nchi.
 
Hivi kwa lugha rahisi tu, unaweza sema Rais wa nchi Must Go..!? Huu sio uhaini? Yaani easily unasema Rais wa nchi Must Go..? Just easily on the podium, No way..!!

Huu ni ukiukwaji wa Katiba kabisa..!!
Ndio malengo ya Mbowe yalivyo, anapenda sana kuona vijana wakifanya vurugu lakini kakuta hii ni nchi ambayo ilikabidhiwa kwa Mungu siku moja kabla ya uhuru hivyo anapoteza muda wake.
 
Back
Top Bottom