Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kauli hii Muhimu imetolewa na Mwamba wa siasa za Tanzania Mh. Freeman Mbowe huko Ikungi Mkoani Singida.
Akihutubia Maelfu ya wananchi wa Ikungi, katika Mkutano unaodhaniwa kuvunja rekodi ya mahudhurio ya watu kwa mikutano ya hadhara iliyowahi kufanyika Mkoa wa Singida tangu mkoa huo uanzishwe, Mbowe amesema kwamba, wewe ukijifanya mjanja kwa kudhan kwamba siasa haikuhusu, basi jiandae kwa Tozo, mfumuko wa bei, ugumu wa maisha na taabu zote za dunia.
Mbowe amewakumbusha Watanzania kwamba SIASA NI MAISHA, hakuna yeyote aliye hai anayeweza kujitenga nayo.
Akihutubia Maelfu ya wananchi wa Ikungi, katika Mkutano unaodhaniwa kuvunja rekodi ya mahudhurio ya watu kwa mikutano ya hadhara iliyowahi kufanyika Mkoa wa Singida tangu mkoa huo uanzishwe, Mbowe amesema kwamba, wewe ukijifanya mjanja kwa kudhan kwamba siasa haikuhusu, basi jiandae kwa Tozo, mfumuko wa bei, ugumu wa maisha na taabu zote za dunia.
Mbowe amewakumbusha Watanzania kwamba SIASA NI MAISHA, hakuna yeyote aliye hai anayeweza kujitenga nayo.