Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Chini wapi?Hadi chini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chini wapi?Hadi chini.
Kumbe unauelewa mdogo kiasi hiki?Huyo Mbowe ndio ataishusha?
Tatiza lako ni nini haswa?Kumbe unauelewa mdogo kiasi hiki?
Kama huu mkutano ulivunja rekodi basi Lissu hakuwa chochote mbele ya Mwamba JPM kwenye kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020.Kauli hii Muhimu imetolewa na Mwamba wa siasa za Tanzania Mh. Freeman Mbowe huko Ikungi Mkoani Singida.
Akihutubia Maelfu ya wananchi wa Ikungi, katika Mkutano unaodhaniwa kuvunja rekodi ya mahudhurio ya watu kwa mikutano ya hadhara iliyowahi kufanyika Mkoa wa Singida tangu mkoa huo uanzishwe, Mbowe amesema kwamba, wewe ukijifanya mjanja kwa kudhan kwamba siasa haikuhusu, basi jiandae kwa Tozo, mfumuko wa bei, ugumu wa maisha na taabu zote za dunia.
Mbowe amewakumbusha Watanzania kwamba SIASA NI MAISHA, hakuna yeyote aliye hai anayeweza kujitenga nayo.
endeleeni kubishaKama huu mkutano ulivunja rekodi basi Lissu hakuwa chochote mbele ya Mwamba JPM kwenye kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020.
Kwenye uchaguzi huwa wanaemda wapiendeleeni kubisha
Kama alivyo mama yako?Huyo ni tapeli tu.
Au mama yako.Kama alivyo mama yako?
Nakubaliana nawe. The big brains should lead the process of development. Not the other way roundKauli hii Muhimu imetolewa na Mwamba wa siasa za Tanzania Mh. Freeman Mbowe huko Ikungi Mkoani Singida.
Akihutubia Maelfu ya wananchi wa Ikungi, katika Mkutano unaodhaniwa kuvunja rekodi ya mahudhurio ya watu kwa mikutano ya hadhara iliyowahi kufanyika Mkoa wa Singida tangu mkoa huo uanzishwe, Mbowe amesema kwamba, wewe ukijifanya mjanja kwa kudhan kwamba siasa haikuhusu, basi jiandae kwa Tozo, mfumuko wa bei, ugumu wa maisha na taabu zote za dunia.
Mbowe amewakumbusha Watanzania kwamba SIASA NI MAISHA, hakuna yeyote aliye hai anayeweza kujitenga nayo.
Unao ushahidi usio na mashaka kuwa Mhe. FAMbowe ni tapeli. Sitakutukania mama yako kamweKama alivyo mama yako?
Karibu sana kamandaKaka umenigusa na hiyo point yako ya tatu... Kwamba upo ifwenkenya unachimba dhahabu na kamsamba unalima mpunga...
Nakuja DM kaka, plz nipokee!!
Yeye mwenyewe mjinga.Kauli hii Muhimu imetolewa na Mwamba wa siasa za Tanzania Mh. Freeman Mbowe huko Ikungi Mkoani Singida.
Akihutubia Maelfu ya wananchi wa Ikungi, katika Mkutano unaodhaniwa kuvunja rekodi ya mahudhurio ya watu kwa mikutano ya hadhara iliyowahi kufanyika Mkoa wa Singida tangu mkoa huo uanzishwe, Mbowe amesema kwamba, wewe ukijifanya mjanja kwa kudhan kwamba siasa haikuhusu, basi jiandae kwa Tozo, mfumuko wa bei, ugumu wa maisha na taabu zote za dunia.
Mbowe amewakumbusha Watanzania kwamba SIASA NI MAISHA, hakuna yeyote aliye hai anayeweza kujitenga nayo.
HayaYeye mwenyewe mjinga.